carbamazepine
JF-Expert Member
- Dec 30, 2015
- 46,562
- 285,591
Mrs.Genta ndani ya nyumba[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako
Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
Mwaka unamwendea vibaya huuShunie una mkosi gani huo? Unapendwa na jamaa zombi kama hili??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Tena wako wengi mno na najua hivi leo nilivyomtaja rasmi Shunie yaani wamenuna huku midomo yao wakiwa wameirefusha kutoka Tegeta Nyuki hadi Mbagala Kizuiani.
[emoji23][emoji23][emoji23]yule anaweza kukujia usingizini na nissan ujue?Ngoja nisubiri KK akusahau kwanza nije nilete risala
Nimekuja dada akeeShunie ukuje huku mdogo wangu
Hah hah hah hahUnauliza matako Bafuni?
Habari yangu nzuri kabisa....natumai na ww pia upo vizuri.chief habar yako ndugu
Unajua nyuzi km hizi ,nivema tuzisindikize na nyimbo matata matata tuuuu.
Uwiiiii swahiba me ni mkristoUtakubali kuslim? Shunie hana cha madhabahu.. Kuanzia Leo karibu kwenye JUKWAA LA Entertainment uhudhulie vipindi vyote ndo atakufikiria sawa.
Sio mkosi ni bahati jamanShunie una mkosi gani huo? Unapendwa na jamaa zombi kama hili??
Nimekumbuka sana BANJA, inatabia ya kuforce ukitaka uizuie isitoke inalazimisha kutoka kwa nguvu na kwa sauti kubwa mithili ya baruti
Wanikaribishe vizuri sanaNamkaribisha rasmi Mkoani Mara ( Musoma ), Lindi na Gisenyi nchini Rwanda. Na kuanzia leo nawaomba ' Poti ' zangu wote kutoka Mkoani Mara muwe mnamuheshimu Shemeji yenu Shunie na mumpe ushirikiano wenu wote mkiwa nae humu. Najipanga kufanya Sherehe kubwa kidogo ambayo inaweza ikatikisa si tu Tanzania na Rwanda bali hata na dunia nzima.
Na Harusi yangu au Mahusiano yangu na Shunie yasipofanikiwa hawa Watu watanikoma kwakweli kwani nawajua walivyo na husuda:
Leo Mwanamume nimesema ukweli japo najua watakaonuna ni lukuki / wengi.
- Wahaya ( Kagera )
- Waha ( Kigoma )
- Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida )
- Warangi ( Dodoma )
Naona umepata shemela dadake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kweli mwenye Dada hakosi shemeji!!!
Shunie uko wapi jamani
Hahahahaaaaa.[emoji23][emoji23][emoji23]yule anaweza kukujia usingizini na nissan ujue?
Mzima lakin?
Afadhali umefika. Moyo wa Genta utulieNimefika mama
Mbavu zangu Genta [emoji23][emoji23]Yupo Chumbani Kwake analia kwa furaha sana kwani kumbe hata Yeye amekuwa akizunguka Makanisani kote kuomba tu aombewe ili aweze kuwa Mrs. GENTAMYCINE na hatimaye leo Mwenyezi Mungu amejibu maombi yake. Ashindwe mwenyewe. Kweli Mwanamke yoyote akimuomba Mungu kiukweli na kumaanisha basi hujibiwa pale pale kama ambayo Shunie amejibiwa.
Asante mkuuMbona hata mm namkubali
Ooooohoo![emoji30][emoji30][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yako
Kupendwa na Genta jf na thread juu kukufungulia si jambo la mchezo mchezo [emoji7][emoji7] nakupenda pia sasa utakubali kuwa mume wa pili jaman[emoji39][emoji85][emoji85]
hv huu uchochezi ulianza lin?Sie wataalam ikikupata badala ya kuizuia unafungua kidogo mdomo unahema taratibu hata ikikuponyoka inakua kama sub woofer