mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
Duu bahati iliyoje hii. We nitakuandikia ushairi kabisaWaweza kuwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duu bahati iliyoje hii. We nitakuandikia ushairi kabisaWaweza kuwa [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ItapendezaDuu bahati iliyoje hii. We nitakuandikia ushairi kabisa
Mambo coco[emoji137] [emoji137]Imekuwaje leo hulali?? Mida yako ya humu imebadilika leo mmmmmh!
Hahahaaaa. Wametuamulia watu wa Tanga aisee.Niko poa kabisa. We najua tayari unafanya tu upembuzi kabla ya kutoa maamuzi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji818][emoji818]Itapendeza
Nasubiri na wewe ufungukeMambo coco[emoji137] [emoji137]
[emoji23] [emoji23] si unajua tanga ndiko yakoanzia, mafundi wengi mnatokea hukoHahahaaaa. Wametuandama watu wa Tanga ujue.
"Eti upembuzi" lol Upembuzi gani huo Swahiba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka sana Genta kwa hiyo ule uzi uliokeshesha watu usiku wa manane ulikuwa unanihusu jaman shunie mm kupendwa na Genta [emoji4][emoji4] asante kwa kunipenda si unajua vile nilivyo shabiki wako toka sijawa member jf nafatilia thread zako na baadhi ya michango yakoUwe labda umeshawahi sijui Kutongozwa humu au huko barabarani au hata kuwa na Mahusiano na Watu wenye Idadi kama Mabehewa yote ya Treni ya Bara au hata kama una mapungufu yako yoyote au hata kama Wewe ni mchawi / kigagula ila leo nikuambie tu rasmi kuwa katika Members wa JamiiForums ambao natamani sana siku moja Mimi na Yeye tusimame Madhabahuni tukiwa tunafunga Ndoa yetu ni Wewe uitwae Shunie.
Nina sifa moja kubwa kama pia si zawadi niliyopewa na Mwenyezi Mungu ya kujua sana kuchagua vitu vizuri, sahihi na makini na kamwe sijawahi kukosea hivyo nakuomba popote pale ulipo kuanzia sasa tena ikibidi ringa na tamba kabisa huku ukijiita Mrs. GENTAMYCINE kwani Moyo wangu Kwako umeshakufa Kitambo hivyo Kazi Kwako Wewe tu Kuuzika.
Bahati nzuri sijawahi Kumtongoza Mwanamke yoyote humu Jamvini tokea nijiunge rasmi hivyo asikutishe ' Kinyankera ' yoyote kuwa sijui nimeshawahi kumtokea au kumbandua / kumbaioloji ila Wewe ndiyo wa Kwanza hivyo jiamini huku ukitembea kifua mbele kuwa Wewe sasa ndiyo Mrs. Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.
I love you so much Shunie mwaaaaaaaahhhhhhhhhh.....pokea rasmi hilo busu langu la thamani kubwa lililojaa ' mahaba ' ya Kimataifa.
Penzi ni Kikohozi na kulificha siwezi.
Nawasilisha.
Mmh. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125][emoji23] [emoji23] si unajua tanga ndiko yakoanzia, mafundi wengi mnatokea huko
Ngoja nisubiri KK akusahau kwanza nije nilete risalaNasubiri na wewe ufunguke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mbona mbio sana swahibaMmh. [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hongera sanaNdio na me nimeona jaman kumbe nilikuwa mm [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji3][emoji3][emoji3]Gentamycine Mimi nitakuwa bestman wako siku unamleta Shemu wetu kanda ya ziwa
Lukwafya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Mwanamke nampenda sijapata kuona na haijawahi kutokea. Ila hata yeye pia huko alipo au salamu hizi zikimfikia itabidi afurahi kwani amepata dhahabu halisi kabisa hivyo Kazi Kwake tu kuitunza na kuhakikisha kwamba haitamaniwi na wengine ambao usiku na mchana walikuwa wanaota Kupendwa na GENTAMYCINE ila bahati mbaya sana moyo wangu haukuwaona kama ambavyo kila uchao ulikuwa ukimwona tu Shunie.
Hahaaa. Dada nimekumbuka ile siku alivyosema tusubiri masaa sita tukasema hatuwezi acha usingizi kumbe ulikuwa wewe dada lol.Ndio na me nimeona jaman kumbe nilikuwa mm [emoji23][emoji23][emoji23]
Nimefika mama