Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Shunie kuanzia leo jiite rasmi Mrs. GENTAMYCINE kwani umeuteka moyo wangu kunakotukuka

Oceans are apart day after day
And I slowly go insane

I hear your voice on the line
But it doesn't stop the pain

If I see you next to never
how can we say forever...

Wherever you go
Whatever you do
I will be right here waiting for you
Wherever it takes
Or how my heart breaks
I will be right here waiting for youuuuuuuu[emoji1][emoji1]
Lyrics matata sana hizi....unamfaa sana bwana Gent [emoji1][emoji1]
 
Uwe labda umeshawahi sijui Kutongozwa humu au huko barabarani au hata kuwa na Mahusiano na Watu wenye Idadi kama Mabehewa yote ya Treni ya Bara au hata kama una mapungufu yako yoyote au hata kama Wewe ni mchawi / kigagula ila leo nikuambie tu rasmi kuwa katika Members wa JamiiForums ambao natamani sana siku moja Mimi na Yeye tusimame Madhabahuni tukiwa tunafunga Ndoa yetu ni Wewe uitwae Shunie.

Nina sifa moja kubwa kama pia si zawadi niliyopewa na Mwenyezi Mungu ya kujua sana kuchagua vitu vizuri, sahihi na makini na kamwe sijawahi kukosea hivyo nakuomba popote pale ulipo kuanzia sasa tena ikibidi ringa na tamba kabisa huku ukijiita Mrs. GENTAMYCINE kwani Moyo wangu Kwako umeshakufa Kitambo hivyo Kazi Kwako Wewe tu Kuuzika.

Bahati nzuri sijawahi Kumtongoza Mwanamke yoyote humu Jamvini tokea nijiunge rasmi hivyo asikutishe ' Kinyankera ' yoyote kuwa sijui nimeshawahi kumtokea au kumbandua / kumbaioloji ila Wewe ndiyo wa Kwanza hivyo jiamini huku ukitembea kifua mbele kuwa Wewe sasa ndiyo Mrs. Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer.

I love you so much Shunie mwaaaaaaaahhhhhhhhhh.....pokea rasmi hilo busu langu la thamani kubwa lililojaa ' mahaba ' ya Kimataifa.

Penzi ni Kikohozi na kulificha siwezi.

Nawasilisha.
Hongera sana mkuu GENTAMYCINE.Nakupongeza kwa kufunguka na kuthubutu pia.
Nakuombea ufanikiwe kwa dhamira ya kuingia madhabahuni na shemeji yetu mtarajiwa "SHUNIE" na siyo ku-sex tu(hapo sipo).
Big Up.
 
Namkaribisha rasmi Mkoani Mara ( Musoma ), Lindi na Gisenyi nchini Rwanda. Na kuanzia leo nawaomba ' Poti ' zangu wote kutoka Mkoani Mara muwe mnamuheshimu Shemeji yenu Shunie na mumpe ushirikiano wenu wote mkiwa nae humu. Najipanga kufanya Sherehe kubwa kidogo ambayo inaweza ikatikisa si tu Tanzania na Rwanda bali hata na dunia nzima.

Na Harusi yangu au Mahusiano yangu na Shunie yasipofanikiwa hawa Watu watanikoma kwakweli kwani nawajua walivyo na husuda:

  1. Wahaya ( Kagera )
  2. Waha ( Kigoma )
  3. Wanyiramba na Wanyaturu ( Singida )
  4. Warangi ( Dodoma )
Leo Mwanamume nimesema ukweli japo najua watakaonuna ni lukuki / wengi.
Heshima kwa shemeji Shunie Hongera kwa kupata dume kutoka mara...
 
Hongera sana mkuu GENTAMYCINE.Nakupongeza kwa kufunguka na kuthubutu pia.
Nakuombea ufanikiwe kwa dhamira ya kuingia madhabahuni na shemeji yetu mtarajiwa "SHUNIE" na siyo ku-sex tu(hapo sipo).
Big Up.
Ushauri mzuri asee, naamini hana lengo hilo tofauti na bwana GuDume mzee wa totoz [emoji1][emoji1][emoji1][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Back
Top Bottom