Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
NiniWeeeee
Umejuaje kama me mwombaji? Huwa namwomba sana Mungu kwa kila jambo, nashukuru pia hajawahi niacha, ntakuja pm tupige storyAmeen G usiache kuomba kabisa
Punguza uoga ufaidi ndugu yangu..Maka me ni muoga unions hivi hivi
Ofcoz yesNdio umeifikisha leo
Huyu anafaa akiKwahiyo ni mkubwa eenh sio Ben10 dada
Ndio mumeo?Hapana huyo ndio kila kitu kwangu huwa ananiulizia
Sawa G karibu sanaUmejuaje kama me mwombaji? Huwa namwomba sana Mungu kwa kila jambo, nashukuru pia hajawahi niacha, ntakuja pm tupige story
Hongera sanaOfcoz yes
Sakayo namuongeleaNdio mumeo?
Sakayo kwa huo umri unapenda kunishauri nini leoWoyoooooo
Shunie ukuje
Ahahhaha kwahiyo nikuanzia 30 kuendeleaHuyu anafaa aki
Nendeni tu, acha tubaki kuuguliaMida yetu mwenyewe mda si mrefu napotea
AsanteHhahahaaa kweli hii nchi ngumu hakyanani!!
Lakini kitu nlichowaza ni jinsi mapenzi yalivyo na nguvu na kama angepatika injinia wa kubadilisha power of love kuwa electrical power basi tusingekuwa na mgao kwenye hii nchi!!
Lakini pia nimetafakari, unawezaje kumpenda mtu ambaye humjui, unless mnajuana otherwise hii itakua maajabu!!
Endeleeni na kiakao wajameni!
USHAURI...
Naona kama ungemfwata pm atleast umuombe namba then mkutane face to face ndio umwage unyenye wako ingekua raisi kidogo kuliko kufanya public kiasi hiki....
[emoji23][emoji23][emoji23]Kwahiyo ni mkubwa eenh sio Ben10 dada
Jichekee tu G maisha yenyewe mafupi haya[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaa mna mamboo
Hiyo ni njia ambayo ungeitumia wewe mkuu, mimi nimetumia njia nyingine lakini lengo ni moja na mlengwa ameelewaHhahahaaa kweli hii nchi ngumu hakyanani!!
Lakini kitu nlichowaza ni jinsi mapenzi yalivyo na nguvu na kama angepatika injinia wa kubadilisha power of love kuwa electrical power basi tusingekuwa na mgao kwenye hii nchi!!
Lakini pia nimetafakari, unawezaje kumpenda mtu ambaye humjui, unless mnajuana otherwise hii itakua maajabu!!
Endeleeni na kiakao wajameni!
USHAURI...
Naona kama ungemfwata pm atleast umuombe namba then mkutane face to face ndio umwage unyenye wako ingekua raisi kidogo kuliko kufanya public kiasi hiki....
Sakayo ahsante mnoo naomba nenda mpk pm ulisistize hiliHuyu anafaa aki
Sawa mwayaa mdada mzuriiSawa G karibu sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shem ukigusa mboni ya jicho lazima lifunge