njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Hujaona picha jamaa kapiga abaya la afu thalathinatanoPicha yake IPO wapi🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaona picha jamaa kapiga abaya la afu thalathinatanoPicha yake IPO wapi🤣🤣🤣
BAKWATA ni kitengo cha Kiislamu ndani ya CCM na jukumu lake kubwa ni kuwaghilib Waislam waiunge mkono CCM nyakati za uchaguzi.Asante sana kwa ufafanuzi.
Naomba kuuliza shura ya imam na bakwata wana kauli moja ama kila mmoja ana kuwa na kauli yake haswa kwa maswala tata kama haya.
Marekani ipo kibao na Ulaya pia.ina hadi maimamu wanawakeWapi huko na msikiti upi?
Hoja hii hapaTuseme alikuwa mwanaume. Jee kiimani anakatazwa kuswali upande wa wanawake!?
Hili jambo lijadiliwe kwa kina.Wapi huko na msikiti upi?
Kamati ya Maadili ya WaislamuMajibu tafadhali ikulu na msemaji wa sirikali!
Watu wengine mna haiba ya kitumwa mpaka inashangaza. Mnaishi wapi wakati dunia imepiga hatua kubwa kabisa na watu wanajitambua? Watu wa usalama ni Malaika? Hawaulizwi? Wana turufu ya kufanya chochote? NB: kwenye hayo ya malumbano ya sijui dume kuingia msikitini siko kwa sababu inawezekana siyo mwanamke. Nimechangia kwa sababu nimeshangaa unavyojidhalilisha kama wewe siyo binadamu mwenye utu.Hawa wanatafuta matatizo.
Watakachokipata watajuta.
Watu WA Usalama Unawauliza na Unataka Wakujibu??
Hadithi za esopo!Marekani ipo kibao na Ulaya pia.ina hadi maimamu wanawake
Gaddafi alikuwa anaingia nao wale wadadaHili jambo lijadiliwe kwa kina.
Huo ni mtizamo.Hoja hii hapa
Ifahamike kuwa Wanawake wa Kiislamu huvaa mavazi ya stara kusitiri aura zao mbele ya wanaume wasio waume zao.
Lakini wanapokuwa sehemu ya wanawake Msikitini huwa huru kupunguza stara zao kwa kuamini kuwa hakuna mwanamume atakaye waumbua.
Jibu hili hapa
Kwa hiyo mwanamume kuingia sehemu hiyo tena kwa kificho, ni kudhamiria kuwaona utupu wanawake hao wachamungu wenye tabia ya kujistiri. Na hiicho ni kitendo kibaya cha kuwadhalilisha na kuwafedhehesha wanawake wachamungu.
Huyo siyo kiumbe toka sayari nyingine kuwa hafahamiki. Watu wanamfahamu na shughuli zake ndiyo maana wameweza kumtambua kwa urahisi.Hakuna mwenye uhakika huyo alikuwa ni mwanaume na mlinzi WA Raisi
Shura ya maimamu ni miongoni mwa taasisi ambazo waislam waliunda kujikomboa toka bakwata,baada ya mwinyi kuambiwa na mufti hemed bin jumaa 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini'.. mwinyi akawaasa waislam waunde taasisi nje ya bakwata,ndiyo likaundwa 'baraza kuu' na taasisi nyingine chini yake ikiwemo shuraAsante sana kwa ufafanuzi.
Naomba kuuliza shura ya imam na bakwata wana kauli moja ama kila mmoja ana kuwa na kauli yake haswa kwa maswala tata kama haya.
Ibada hufanyika pahala pa SiriSheikh anataka kusema viongozi wa kisiasa wanaharibu ibada.
Kwa hio wanaweza kuja kinyume na Shura ya ImamBAKWATA ni kitengo cha Kiislamu ndani ya CCM na jukumu lake kubwa ni kuwaghilib Waislam waiunge mkono CCM nyakati za uchaguzi.
Masharubu huyaoni?Kama ni huyo kwenye picha ni wakike huyo