Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili kwa vile linahusu usalama wa Rais wanaweza wakalipotezea tu litajiishia lenyewe. Ni upepo tu utapita.KUMEKUCHA
Msemaji Makoba amefikiwa
Kazi yake ya kwanza hiyo tunampima kama atafaulu
Hakuna,Ila Quran inaaguza kutogusana jinsia tofauti baada ya kutia udhu,swala ya kiislam kwenye safu nyayo hugusana,japo Aya hiyo Kuna tafsiri pia kwamba kugusa hapo maana yake kugonga Kama Maryam alivyosema kwenye Aya nyingine 'nitapataje mtoto ilhali sijaguswa na mwanaume',so ili uwe salama baada ya udhu usigusane na jinsia tofautiLakini Kuna andiko linakataza mwanaume kuswali na wanawake!?
Hujawahi kuona mwanamke mwenye masharubu?Masharubu huyaoni?
Asante kwa kutufahamisha mkuu, kwa hio kwa ujumla wake wanaweza wasiive chungu kimoja, maana msimamo wao huu naamini kabisa bakwata wangekuja vinginevyo.Shura ya maimamu ni miongoni mwa taasisi ambazo waislam waliunda kujikomboa toka bakwata,baada ya mwinyi kuambiwa na mufti hemed bin jumaa 'inaelekea Nyerere hakukwambia bakwata ni nini'.. mwinyi akawaasa waislam waunde taasisi nje ya bakwata,ndiyo likaundwa 'baraza kuu' na taasisi nyingine chini yake ikiwemo shura
Msikiti mmojawapo huo hapo wakisali wanawake na wanaume pamoja hawatenganiWapi huko na msikiti upi?
Maybe brother, ni wanazuoni wale.Huo ni mtizamo.
Jee Kuna andiko limetumika kujenga mtizamo huo!?
NdiyoKwa hio wanaweza kuja kinyume na Shura ya Imam
Tusubiri Baraza la Ulema “Maulamaa”, hawa ndiyo kila kitu.Asante sana kwa ufafanuzi.
Naomba kuuliza shura ya imam na bakwata wana kauli moja ama kila mmoja ana kuwa na kauli yake haswa kwa maswala tata kama haya.
Maana bila andiko (surah) wakija BAKWATA wakasema PSU walikuwa sahihi kuingiza mwanaume msikitini, hapo utazuka utata.Maybe brother.
Mwisho wa siku watafungwa na hoja ulazima wa huyo mlinzi wa rais kuvaa mavazi ya kike, kama ilikua ni lazima kuingia sehemu hio huyo mlinzi kwa nini hadaa imetumika ya kuvaa mavazi ya kike?Maana bila andiko (surah) wakija BAKWATA wakasema PSU walikuwa sahihi kuingiza mwanaume msikitini, hapo utazuka utata.
Ili kusiwe na utata ni lazima mtizamo wa kuunga mkono ama kupinga ujengwe juu ya Quran tukufu ama hadithi inayokubalika kwa wote.
Ndiyo inakatazwa!Tuseme alikuwa mwanaume. Jee kiimani anakatazwa kuswali upande wa wanawake!?
Inawezekana hapo ni mambo ya kiufundi.Mwisho wa siku watafungwa na hoja ulazima wa huyo mlinzi wa rais kuvaa mavazi ya kike, kama ilikua ni lazima kuingia sehemu hio huyo mlinzi kwa nini hadaa imetumika ya kuvaa mavazi ya kike?
Andiko...!??Ndiyo inakatazwa!
Ebu nenda pale Lugalo kawaulize mwenyeweWatu wengine mna haiba ya kitumwa mpaka inashangaza. Mnaishi wapi wakati dunia imepiga hatua kubwa kabisa na watu wanajitambua? Watu wa usalama ni Malaika? Hawaulizwi? Wana turufu ya kufanya chochote? NB: kwenye hayo ya malumbano ya sijui dume kuingia msikitini siko kwa sababu inawezekana siyo mwanamke. Nimechangia kwa sababu nimeshangaa unavyojidhalilisha kama wewe siyo binadamu mwenye utu.
Kuna somo linaitwa Fiqh! Fiqh ni kujua kitu kwa undani. Fiqh ni mjumuisho wa Qur'an na Sunna ambazo zinatoa kanuni na mwongozo. Kwa ujumla Fiqh ni sheria/sharia.Maana bila andiko (surah) wakija BAKWATA wakasema PSU walikuwa sahihi kuingiza mwanaume msikitini, hapo utazuka utata.
Ili kusiwe na utata ni lazima mtizamo wa kuunga mkono ama kupinga ujengwe juu ya Quran tukufu ama hadithi inayokubalika kwa wote.