Si kila anaeenda dukani anatafuta pesa, Wengine wanaenda sababu wamechoka kukaa nyumbani, auze asiuze bado atakuja na gari na kula vizuri

Si kila anaeenda dukani anatafuta pesa, Wengine wanaenda sababu wamechoka kukaa nyumbani, auze asiuze bado atakuja na gari na kula vizuri

Mkuu ni duka classique, nguo za 50 hadi laki 3🤣
Ndio hao hao wakipewa mitaji ya milioni 10 wanaanza kuwaza biashara wanazoziona kwenye muvi na series za wakorea maana hata mtaji wamepewa tu hawajui uchungu wa kuumiza kichwa hata kupata location nzuri wao popote sawa tu

Hebu msome huyo namba mbili niliemweka
 
Ndio hao hao wakipewa mitaji ya milioni 10 wanaanza kuwaza biashara wanazoziona kwenye muvi na series za wakorea maana hata mtaji wamepewa tu hawajui uchungu/

Hebu msome huyo namba mbili niliemweka
😀😀😀😀😀
 
Katika sehemu nilizowahi kufanya biashara nimewahi kukutana na haya,

Sehemu ya kwanza kulikuwa na frem laki 3, mmama flani akaja akaweka vi choclate na vineti vya mbu yani hata wateja kwenda pale ni nadra, ila kila siku anakuja na gari yake ya apha na ananunua chakula kwa order ugali kuku, ikifika saa 11 jioni huyo anaondoka, ile sehem mara nyingi wenzake wanakuja wanapiga stori anawapa soda bure kabisa.

Sehemu ya pili jamaa flani anapiga kazi shirika la serikali alimpa mtaji mchepuko wake, huo mtaji akanunulia mabox ya nyembe za kunyolea nywele / ndevu pamoja na mabox ya vijiti vya kusafishia masikio, yani hapo dukani anaweza kufungua saa tatu na nusu ikifika saa tano huyo kaenda kwenye misele anawaambia maduka ya karibu wamuangalizie, hapo anarudi jioni, kwa mbali alijitahidi kuweka mdada hapo ofisini ila yeye kama kawa ikifika saa tano ni mwendo wa bata. akija mchana basi kaleta rafiki zake hapo kuwaonyesha duka lake kisha wanaondoka.

Mwengine kuna dogo alikuwa na miaka 22 hivi alilipiwa frem na mshua wake kipindi kamaliza chuo kama sio six nadhani, akaweka vinguo vichache tu , huyu dogo kwenda dukani ni saa nne, dukani kaweka play station na tv kubwa basi hapa marafiki zake wakija wanacheza sana, internet alikuwa analipia laki na nusu kila mwezi ya vodacom ihaina kikomo.

Sinza sijafatilia ila naskia wapo wanaoingiza pesa kwa njia za panya wameweka tu maduka yawe ya kujibia swali "unapata hizi hela wapi"
Ila wakt mwingine wale wanawake Ni madanga mm Niko ktk frem fln hapa ddm mwanamke huyu anafungua duka lake saa tano au sita na Ni miamala anafanya Kodi 300k
 
Huyo nina uhakika kabisa hata Tin Namba na leseni sio zake na kama ni zake basi aliletewa hakuzitafuta yeye wala hajui jinsi ya kuzipata.

Trust me brother, aina hii ya watu ni sifuri kabisa kuhusu kujiongeza, hata kusema kuna wanafunzi wengi wanapita hio sehemu aweke auze hata kalamu, hilo wazo hana kabisa
Watu wako wanatakatisha pesa tu,hizo biashara zao ni zuga tu!!
 
biashara zina siri nyingi sana aisee.

ndio sababu sio kila mtu anafanya[emoji28][emoji28].

unapata frem kodi 150k kwa mwezi,unajaza bidhaa za mtaji hata wa 5miln,kwa siku zinatoka bidhaa 2 za 20k@
ukitoa gharama za ulanguzi,ghalama za frem,chakula ukiwa hapo,nauli ukienda,bando na umeme unaotumia ukiwa hapo.sijui unabaki na shingapi!!lakini mtu anayo frem husika miaka unaiona tu[emoji28][emoji28].
 
Niliwahi kufanya kazi kwenye biashara ya mtu, alikua kati ya hapo watatu uliowataja hapo juu, ilikua raha sana, ni mda umepita ila bado ipo vilevile.
 
Katika sehemu nilizowahi kufanya biashara nimewahi kukutana na haya,

Sehemu ya kwanza kulikuwa na frem laki 3, mmama flani akaja akaweka vi choclate na vineti vya mbu yani hata wateja kwenda pale ni nadra, ila kila siku anakuja na gari yake ya apha na ananunua chakula kwa order ugali kuku, ikifika saa 11 jioni huyo anaondoka, ile sehem mara nyingi wenzake wanakuja wanapiga stori anawapa soda bure kabisa.

Sehemu ya pili jamaa flani anapiga kazi shirika la serikali alimpa mtaji mchepuko wake, huo mtaji akanunulia mabox ya nyembe za kunyolea nywele / ndevu pamoja na mabox ya vijiti vya kusafishia masikio, yani hapo dukani anaweza kufungua saa tatu na nusu ikifika saa tano huyo kaenda kwenye misele anawaambia maduka ya karibu wamuangalizie, hapo anarudi jioni, kwa mbali alijitahidi kuweka mdada hapo ofisini ila yeye kama kawa ikifika saa tano ni mwendo wa bata. akija mchana basi kaleta rafiki zake hapo kuwaonyesha duka lake kisha wanaondoka.

Mwengine kuna dogo alikuwa na miaka 22 hivi alilipiwa frem na mshua wake kipindi kamaliza chuo kama sio six nadhani, akaweka vinguo vichache tu , huyu dogo kwenda dukani ni saa nne, dukani kaweka play station na tv kubwa basi hapa marafiki zake wakija wanacheza sana, internet alikuwa analipia laki na nusu kila mwezi ya vodacom ihaina kikomo.

Sinza naskia ndio kufuru, ukiachan na aina ya watu kama niliowataja juu yapo makundi ya watakatisha fedha na wanaofanya shughuli haramu madukani.

  • a. ) watakatisha fedha - hawa wanaingiza pesa kwa njia zinazokiuka sheria aidha ujambazi, kuuza madawa, kudalalisha malaya, n.k, wameweka maduka haya yawe ya kutakatisha fedha hizo za shughuli za kando zionekane zimepatikana kihalali, mtu anakuwa mlipa kodi halali kabisa inaonekana pesa zake anapata kwa duka au maduka yake, kwa siku hata asipouza anatoa risiti feki kwamba kauza

  • b) waliogeuza maduka kufanyia shughuli haramu - mtu anatumia duka directly dukani hapo hapo ama indirectly kuuza bangi, unga, kudalalisha malaya, n.k. Sinza ni sehemu ina vijana wengi walau wenye uwezo wenye maisha ya mjini mjini wapo wanaopenda kutumia madawa, hapa mtu anaweza kutumia duka liwe stoo, mtu akihitaji anampelekea mzigo au kama kawa mteja wa mara kwa mara anamwambia awe anakuja dukani moja kwa moja, wengine haya maduka inakua vituo vya kununulia malaya, mwenye duka ndio dalali anachukua mgao wake. Ikifika jioni wenye hayo maduka wanapitia hesabu.

View attachment 2702264
Ila sisi binadamu wa kiume tuna taabu sana. Ni sehemu chache sana unamkuta mwanamke anamsapoti au kumweka mjini mwanamume. Aisee, hizo zote ni mojawapo za tabia za ukwasi uliopitiliza kwa wanamume maana si kwa kujikamua huko kusiko na faida ili kumfurahisha mtu. Mtu ashinde dukani buree hadi jioni na bila tija! Wengine wananufaika kutokana na wenye mali/mwenye duka au mradi kutokuwa na mipango madhubuti na ufuatiliaji wa biashara. aidha, mwenye mali yupo mbali na eneo la biashara na muuzaji ni mlipwa mshahara.

Kwa huyo anayefungua duka saa nne au kufunga saa tano asubuhi, hao wote ni wagongwaji/vimada wa watu maana wanavizia watu wakiwa kazini ndo wafanye yao. huyo anayefungua saa nne hana wateja wa uhakika kwa sababu biashara yake inafanyika bila mpangilio maalum.

USHAURI: Kila wakati uzembe katika uendeshaji wa biashara au rasilimali husababishwa na wahusika kutofahamu HASARA inayoweza kuwapata na madhara yanayofuatana na hasara hiyo. Aidha, wahusika wanaweza wakawa wanafanya hivyo kwa makusudi.

KILA MTU NA AFANYE KAMA ALIVYOKUSUDIA MOYONI MWAKE MAANA ATAVUNA KWA WAKATI WAKE.
 
Kuna ndugu yangu ana duka la viatu, fremu analipa bei ghari ila ndani hata piece 100 za viatu hazifiki, na anaweza akamudu kusafiri kwa ndege kuja mkoani, kuna muda anaenda mpaka nje ya nchi eti kuchukua viatu.
 
Sasa Masters wa michezo hii ya kuzuga ni WAHINDI wa kule Kisutu, duka analouza na mali anazomiliki tofauti

Mjini mipango
 
Back
Top Bottom