La gioconda
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 471
- 737
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.
Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.
Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.
Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.
Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.
Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.
Baadhi ya watu si wazuri.