Si kila mtu ni wa kumkaribisha nyumbani kwako

Si kila mtu ni wa kumkaribisha nyumbani kwako

Basi kama unaamini hivyo, wewe wakaribishe, maana unaweza sema huyu simkaribishi sio mwema kumbe ndio mwema, cha msingi izingire nyumba yako kwa damu ya Yesu, ili kama anakuja na matunguli yake ayaache huko huko
Amina kaka nimekuelewa
 
Kukusoma tu inatosha kutambua hilo
Kwann nikaushe ua nawe ni miongoni mwa wenye roho chafu maana kazi yenu kubwa ni kupinga kuficha uovu mtendao
Thibitisha uwepo wa roho ili nijue , na sio kutoa povu kisa umeshindwa kuthibitisha kama hauwezi sioni haja ya kuendelea kuhojiana na wewe ? Sawa binti
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Ni kweli kabisa, kuna ndugu wa namna hii pia.
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Hii ni kweli kabisa
 
Huna tofauti na mlokole aliesema ameoteshwa Au ameona shida sehem ila hawezi ikemea.
Kuna mmoja naishi nae hapa kahamia kutoka ukatoliki mpaka mlokole yani ni tabu kila ndoto anayoiota anataka aitafsiri na tafsiri nyingi ni uongo mtupu, jamaa ni fundi umeme mzuri sana lakini ajabu kila akiitiwa kazi hataki anasema hizo kazi zinakuja katika mrengo wa kishetani
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Moja ya sababu wananchi wengi wa Bongo land hawaendelei ni miroho ya ubinafsi kama hii ambayo inawaza shirki tu. Akuloge nani bwana wewee
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Nina ndugu zangu wako hivi.
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Upo sahihi, kila kitu kinatokea Kwa sababu...!
Sababu inaweza kuwa Negative ama positive...!
Marafiki tunaokutana nao, Jamaa ama Watu wa karibu wote huja kwenye Maisha yetu Kwa sababu ..!
 
Mnatuchanganya sana,

kule kwingine kwa ma entrepreneurs tunaambiwa "Ukiwa mtu wa watu wewe lazima ufanikiwe, Watu ni asset kwenye mafanikio, huwezi kuwa loner ukatusua"

Huku machinjioni, mnatuambia kaa mbali na watu, watakuibia mkeo, watakuloga, watatoa siri zako, watakuwekea ulozi nyumbani kwako, n.k.

Tufanye nini sisi tusiojielewa?
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
WATANZANIA NDIO MAANA HATUENDELEI.
KAMA WEWE NI MSAFI WA ROHO,HAKUNA MTU MCHAFU WA ROHO ANAYEWEZA KUKUCHAFUA.

TOFAUTI NA HAPO,UNAFANYA USHIRIKINA.
 
Kuna watoto um kaz yao n kubisha kila ktu kama ktu hujui funga mdogo wako dunia na walimwengu wakufunze... Ndio mana kuna nyumba ukienda mgen analetewa kiti nje hata seblen uingii utaishia gaden au kibarazan
 
Back
Top Bottom