MONEY IS NOT EVERYTHING
JF-Expert Member
- Sep 11, 2024
- 424
- 765
wewe kama haushi vizuri na majirani zako usiwapotoshe watu kwa imani zako za mizimuKuomba chumvi?? bado unasafari ndefu katika maisha yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe kama haushi vizuri na majirani zako usiwapotoshe watu kwa imani zako za mizimuKuomba chumvi?? bado unasafari ndefu katika maisha yako
Sawawewe kama haushi vizuri na majirani zako usiwapotoshe watu kwa imani zako za mizimu
Hivi unajijua wewe ni mgonjwa wa akili?Wapi nimeandika unanichora
Naona Hong over haijakutoka bado
Wagonjwa wa akili hutambuanaHivi unajijua wewe ni mgonjwa wa akili?
Labda anakaa ushuani. Who knows??!!..wewe kama haushi vizuri na majirani zako usiwapotoshe watu kwa imani zako za mizimu
My formula:Epuka kulipiza ubaya kwa ubaya bali wema kwa ubaya
Mnaweza kuwa mna hangout kitaa au nyumba za ibada kabla ya kumwambia "KARIBU NYUMBANI"Pili unaijuaje roho yake kabla hujamkaribisha
Kila mmoja hujikuna mkono unapofikia..ushirikina ni fikra zako tu za kijima. Nani akuloge na kasebule kako kenye sofa za milioni
Jichanganye na watuMh! imani nyengine hovyo!
Amini amini nakwambia kama mitume yenyewe ilijaribiwa kulogwa na washirikina wa enzi izo wewe ni naniiii wasikupige skadi😂😂Mh! imani nyengine hovyo!
Utazidi kuchochea machafuko pengine huwezi pambana nayoMy formula:
======
Wema kwa wema.
ubaya kwa ubaya.
Wew umefika mbali hadi mzaziNinapo ishi hata mama yangu hapajui sasa hawaeengine wanafikaje kwanza,?
Ninahisi sijazaliwa kumtendea wema mtu m-mbaya..Utazidi kuchochea machafuko pengine huwezi pambana nayo
Utajiiiweka katika risk
Mbaya wako mtendeee wema
Mzazi wa hovyo aliyekutelekeza na wewe mtupe mbali kama toilet paper..Wew umefika mbali hadi mzazi
SameheMzazi wa hovyo aliyekutelekeza na wewe mtupe mbali kama toilet paper..
How..??Samehe
kwa namna yoyote kinyongo si kizuri hasa kwa mzaziHow..??
Umefahamu Vipi Ni Umbile Alafu Lisionekane Tena?Umbile lisiloonekana ambalo lipo pamoja na mwili wa binadamu na kuunda malaika wabaya au wazuri