Si kila mtu ni wa kumkaribisha nyumbani kwako

Si kila mtu ni wa kumkaribisha nyumbani kwako


Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Katika mambo ambayo waswahilo tunafeli ni kuamini katika haya mambo ya kurogwa , vijicho. husda n.k


Nitatoa mifano huu.


Nyumbani kwetu Bukoba kulikuwa na Friend family moja.

Huyu mama alizaa na wanaume watatu tofauti hakuolewa isipokuwa alikuwa akiwalea watoto wake mwenyewe.

She was smart
Hard worker


Miaka ilivyoenda alianza kuamini mambo ya Ndumba , Wivu na CHUKI ndani yake.


Akaanza Kuhisi marafiki zake ni wachawi , akawa hataki kuwatembelea wala kuwa nao closed

Watoto walikuwa vizuri Sana Darasani.

Kweli walisoma wote hadi form four mmoja alipiga degree yake UDSM.

Ila kwa bahati mbaya aliwaambukiza sumu ambayo haifai ambayo ni

Usikaribishe watu
Usiwe karibu na watu
Watu watawaroga
Ndugu marafiki hawafai
N.k


Leo hii wapo wamesoma Ila wamekuwa wanateseka no JOB no connection no network .


So mtoa mada usipokuwa makini hizi akili za kijinga za kusema watu wana roho za machafuko na ujinga mwingine ni bora uwe nazo wewe Ila usiwarithishe watoto wako utawaharibia maisha.
 
Hapana usini judge kiasi hicho kwetu hatuna hizo iman za kishirika na hakuna hata mmoja ni wacha mungu vibaya mno
Ila unapotoka na kuishi mazingira tofauti na jamii yako na mrengo wako hakika utashuhudia mengi

We upo karibu na dini Ila haupo karibu na mungu nimekaa Sana na watu Kama wewe.

Umewahi kujiuliza kwanini watu wa makanisani ndo huwa wanalalamika kuhusu hizo roho na sio watu wengine?
 
Hilo somo nilijifunza the hard way.

Baada ya kuamia kwenye mji mpya.

Kuna dogo kaka zake wawili nawajua, mkubwa ni rafiki yangu wa karibu sana.

Huyo dogo wao simjui, wenyeji dada zangu kama wawili wanaishi mji huo waliniambia huyo mtoto sio wa kuzoeana nae.

Dada yangu mmoja 90% ya washkaji zake ni wanaume wa mjini Dar (sampuli ya kina Kishimba, Kinje na watoto wa mjini unaowajua wewe). Yaani hana matatizo na watu kabisa hasa watoto wa kiume, kwanza yeye anataka kujuana na kila mtu aijalishi status. Ugomvi wake ni wanawake ambao avintishi-tishi kama yeye (watoto wa mjini) wenzake wa mtaani kweli sio wa kishua.

Mara ya kwanza namsikia huyo dada katika maisha yangu anasema simpendi mtu na katika maisha yake achana na huyo dogo na kunionya kaa mbali na huyo dogo (tena ni age group ambayo anacheka nayo in normal circumstances).

Ugomvi wa dada yangu mara nyingi ni, na mataahira wenzake binafsi uwa auni- shughulishi. Kwanza hata hao wagomvi wake mimi na hao mahasimu wake udada na kaka unaendelea kama kawaida na hawajawi kuingilia. Mambo ya wanawake sio ya kuingilia na wala hana shida mimi kuongea na mahasimu wake.

Iła huyo dogo ni mshamba mpaka yeye anikataze usimzoee huyo mtoto sijui kachefukwa vipi. Mimi sasa kwa sababu nawajua kaka zake tabia zao wa kishua hata kama wametoka ka mji kadogo, nikamchukulia mdogo wangu.

Baada ya hapo shemeji yangu wa kipindi hiko nae akanionya usizoeane na huyo mtoto, ndugu yake nae mwingine akaniambia sisi tunakunywa nae bia mtoto ana mambo ya kishamba tunajua twende nae vipi, wewe humjui usimzoee.

Somo nililopata salaleh, Iła mimi simuachi siku yake ipo.
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Kabisa naongezea 1. Sio kila mtu wa kumwambia mambo yako, mwingine ukimwambia ndio unazidi kuharibikiwa. Tunza siri zako hata kama unapitia changamoto muombe Mungu akupe mtu wa kukusaidia kwenye mapito hata ushauri .
2. Sio kila mtu wa kusex nae, wengine watakuachia uharibifu, mikosi na laana. Kuwa makini na watuu wengine wanchukua nyota yako kupitia sex
 
Hilo somo nilijifunza the hard way.

Baada yq kuamia kwenye mji mpya.

Kuna dogo kaka zake wawili nawajua, mkubwa ni rafiki yangu wa karibu sana.

Huyo dogo wao simjui, wenyeji dada zangu kama wawili wanaishi mji huo wananiambia sio wa kuzoeana nae huyo.

Dada yangu mmoja 90% ya washkaji zake ni wanaume wa mjini Dar (sampuli ya kina Kishimba, Kinje na watoto wa mjini unaowajua wewe). Yaani hana matatizo na watu; ugomvi ni wanawake wenzake ambao avintishi-tishi kama yeye.

Mara ya kwanza namsikia anasema simpendi mtu katika maisha yake achana nae ni huyo dogo (ugomvi mwingine na mataahira wenzake uwa auni shughulishi) kwanza hata hao wagomvi wake mimi nao wao uwa udada na kaka unaendelea mambo ya wanawake sio ya kuingilia na wala hana shida mimi kuongea na mahasimu wake.

Iła huyo dogo ni mshamba mpaka yeye anikataze usimzoee huyo mtoto, mimi sasa kwa sababu nawajua kaka zake tabia zao wa kishua hata kama wametoka ka mji kadogo, nikamchukulia mdogo wangu.

Baada ya hapo shemeji yangu wa kipindi hiko nae akanionya usizoeane na huyo mtoto, ndugu yake nae mwingine akaniambia sisi tunakunywa nae bia mtoto ana mambo ya kishamba tunajua twende nae vipi, wewe humjui.

Somo nililopata salaleh, Iła mimi simuachi siku yake ipo.
Epuka kulipiza ubaya kwa ubaya bali wema kwa ubaya
 
Epuka kulipiza ubaya kwa ubaya bali wema kwa ubaya
Unfortunately I am not like that, ukinifuata personal; I change.

Ogopa sana kufuata watu ambao hawana interest na maisha ya wengine.

Halafu wewe uwafuate personal, huwa ni suala la kuingia anga zao.

Halafu mara nyingi wahusika uwa wanaonywa na wanao wajua hao watu vizuri, huyo mtu hajui mazoea ukimfuata.

Hakuna dawa nyingine ya mtu mjinga zaidi ya kumnyeshwa dose yake.
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Waafrika na imàni potofu sawa na chawa na uchafu,
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
Huyu apuuzwe.
 
Povu tumia kusafisha hiyo roho yako Sawa mzee hivi natoaje uthibitisho kwa umbile lisilo onekana
Unasafishaje roho ambayo hata haujui kama ipo zaidi ya kuhisi tu na maneno ya moto wa imani 🤔 yani wewe unadai una roho wakati hata hauijui wala hauwezi kuthibitisha, madai yako ya uwepo wa roho ni batili na yanapaswa kupuuzwa na kila mtu mwenye akili timamu .
 
Epuka kukaribisha kila mtu nyumban kwako au kwenye makazi yako wengi wao huwa na roho chafu.

Umkaribishapo katika makazi yako bila kuijua roho yake.

Vile anavyo maisha yako na jinsi uishivyo hawapendi na hupelekea kuacha roho chafu hizo katika nyumba yako.

Unaweza mkaribisha mtu katika nyumba baada ya yeye kuondoka.

Mafarakano yakaanza baina yako na mke/mume bila sababu au ukaanza kumwa hovyo kila siku hospital. Basi tambua mtu huyo si mzuri.

Au hata katika biashara lazima uyumbe. Pia epuka kwenda kwenye majumba ya watu hovyo.

Baadhi ya watu si wazuri.
kwahyo umekuja kutugombanisha na majirani zetu tusiombane chumvi wala kutembeleana acha hizo.
 
Nikuchore ili iweje? Sikujui haunijui wala sina sababu ya kukuchora , na hata ningetaka kuchora nisinge kuchora wewe, thibitisha uwepo wa roho🤔
Wapi nimeandika unanichora
Naona Hong over haijakutoka bado
 
Back
Top Bottom