Uchaguzi 2020 Si Magufuli, si Humphrey Polepole waliojaribu hata ku-tweet kushukuru wapiga kura au kusherehekea ushindi mpaka sasa

Uchaguzi 2020 Si Magufuli, si Humphrey Polepole waliojaribu hata ku-tweet kushukuru wapiga kura au kusherehekea ushindi mpaka sasa

Atashukuru tu.atatuomba tumuombee kwa Mungu nasi tutafanya hvo
 
Magu mwenyewe vipi?Kumbuka naongelea hao individuals ,hilo la chama tunalitarajia kwahiyo sio ajabu.
Kwani ashakabidhiwa hati ya Ushindi Hadi atoe shukrani?
Una haraka gani mtoa mada yani unataka timu hata haijakabidhiwa kombe ianze kushangilia kwa kurusha fataki heti kisa imeshinda..

Kesho au kesho kutwa ndo siku sahihi za Jiwe kutweet kwenye account yake kwa ajili ya shukurani maana tayari ndo atakuwa ashakabidhiwa hati ya Ushindi wake.
 
MTASONGA MBELE NA WALE MLIOIBA NAO KURA WENGINE TUNA JAMBO LETU
 
Anafahamu majibu aliyopata pindi ameweka tweet ya kuomba kura

Atapata aibu kubwa mno akiweka ushindi na viongozi duniani watashangaa wakipitia majibu ya watz.

Wananchi wana HASIRA KALI.
 
Waache uselfish.. Walipokuwa wanashinda kina Mbowe, walikuwa hawajitoi.. Leo ugali umehana kina Mbowe wanakua na roho ya kwa nini!
Hata wakijitoa, maadam akaunt namba zao zipo, wataendelea kuingiziwa mshahara kwa kipindi chote cha miaka mitano na hakuna uchaguzi ambao umefanyika.
 
Kama nilivyosema katika uzi wangu wa asubuhi ya leo,mpaka muda huu viongozi hawa wako kimya kabisa licha ya Magufuli kutangazwa mshindi wa kitu cha urais.

Inawezekana chama kinajiandaa kutoa tamko rasmi wakati wowote ule, ila bado nilitarajia kutokana na furaha ya ushindi, mmoja wa viongozi hawa angeshasema lolote kupitia mitandao na hasa mtandao wa Twitter kuhusu ushindi huu wa asilimia zaidi ya 80 ila cha ajabu wako kimya kabisa.

Ni vijana wao wa mitandaoni tu wakiwemo kina Pascal Mayalla ndio wanaojikakamua kusherekea na kusifu na kukejeli wapinzani ila wenye chama mpaka sasa kimya utadhani wao ndio wametangazwa kushindwa.

Anyway,labda nao wao hawana access na internet ndio maana wako kimya.

All in all, hii ni dalili kuwa hata wenyewe hawana raha na matokeo haya na huenda hawakutarajia mambo yangeenda yalivyoenda.

Tunawasubiri mjikaze kutoa taarifa ya ushindi na kupongezana.
Blaza agizia lori la ndimu uendelee kulamba
 
Kama nilivyosema katika uzi wangu wa asubuhi ya leo,mpaka muda huu viongozi hawa wako kimya kabisa licha ya Magufuli kutangazwa mshindi wa kitu cha urais.

Inawezekana chama kinajiandaa kutoa tamko rasmi wakati wowote ule, ila bado nilitarajia kutokana na furaha ya ushindi, mmoja wa viongozi hawa angeshasema lolote kupitia mitandao na hasa mtandao wa Twitter kuhusu ushindi huu wa asilimia zaidi ya 80 ila cha ajabu wako kimya kabisa.

Ni vijana wao wa mitandaoni tu wakiwemo kina Pascal Mayalla ndio wanaojikakamua kusherekea na kusifu na kukejeli wapinzani ila wenye chama mpaka sasa kimya utadhani wao ndio wametangazwa kushindwa.

Anyway,labda nao wao hawana access na internet ndio maana wako kimya.

All in all, hii ni dalili kuwa hata wenyewe hawana raha na matokeo haya na huenda hawakutarajia mambo yangeenda yalivyoenda.

Tunawasubiri mjikaze kutoa taarifa ya ushindi na kupongezana.
Mkuu inawezekana kufungwa kwa mtandao nao imekula kwao.yaani no inasomwa na wote.
 
Mnawatafuta,wanakuja na kauli iliyojaa haswa mpk mkome
 
Mimi naongelea tweet ya Magu wao wananiletea tweet ya chama.

Wanasema waungwana: "the guilty are always afraid."

Anajipanga kutoa vitisho.

Atatuuwa wangapi?

Huyu ni wa kula naye sahani moja.
 
Back
Top Bottom