Waarabu kama waarabu hawajawahi kushinda vita,kwanza tuanze kumjadili Mwarabu ni mtu gani,Assyrians sio waarabu anatolians sio waarabu kurds sio waarabu berbers sio waarabu.waarabu ni "parasites"wanaingia kwenye jamii nyingine na kuiba historia za watu na kujifanya za kwao mimi nataka tumjadili mwarabu ni nani? asili yake ni wapi?tafuta sababu iliyowakimbiza european christian, adi kutafuta root ya kwenda india kwa kuzunguka afrika maana kabla ya apo walikua wanapita njia ya ardhi kupitia uturuki adi india kichapo walichokua wanakipata kutoka kwa mwarabu kilikua hatari.
Wamasai wameanza kutahiri tokea enzi za wamisri wa kale.ila Najua warumi walikuwa wanatahiri. Isipokuwa sina uhakika kutahiri kulianza na wamisri au waarabu.
Kama sijakosea Mwarabu hakuwepo kabla ya Ibrahim Ambae ni baba yake.Kwani Ibrahimu alikuwa Mmisri au Mwarabu?
Hoja ilyopo mezani siyo maendeleo, hoja ni nani amempa nani ustaarabu. Zama kwenye hoja husika, tueleze unachojua. Kuhusu maendeleo ni hoja nyingine. Na hiiyo haina maana ukimfundisha mtu maarifa pia lazima umzidi kiuchumi.Usiamini kila kilichopo katika google. Ukweli ni moja tu, kwamba wenzetu wazungu wametangulia kuzinduka katika katika masuala ya maendeleo. Sisi tunapambana ku copy na ku paste.
Hoja ilyopo mezani siyo maendeleo, hoja ni nani amempa nani ustaarabu. Zama kwenye hoja husika, tueleze unachojua. Kuhusu maendeleo ni hoja nyingine. Na hiiyo haina maana ukimfundisha mtu maarifa pia lazima umzidi kiuchumi.
Kumbuka Afrika ni Continent, kama kuna sehemu walikuwa wanatembea Uchi sehemu nyingine walikuwa na empire's. Na sehemu nyingine walikuwa wanafua v yuma, mfano unafaham kuwa Uganda walikuwa wanafua vyuma kabla ya kuja wazungu?wewe umpe mwenzako ustaarabu yeye akiwa uchi then yeye aanze kuvaa nguo na wewe uje kuwa uchi hadi aje akupe tena ustaarabu wa kuvaa nguo. Haiyo kali sana. Haiwajawahi kutokea na kamwe haitatokea chini ya jua.
hatari sana ..kuna watu mnahoja fikirishi hadi raha..mwalimu huwa anamfundisha mwanafunzi huweza ikatokea mwalimu akapata kuja kuwa waziri au akabaki kuwa mwalimu ..kisha mwanafunzi akajakuwa raisi au akaishia kuwa MTeja mitaaniHoja ilyopo mezani siyo maendeleo, hoja ni nani amempa nani ustaarabu. Zama kwenye hoja husika, tueleze unachojua. Kuhusu maendeleo ni hoja nyingine. Na hiiyo haina maana ukimfundisha mtu maarifa pia lazima umzidi kiuchumi.
uko vizuri sana ..mwaga mamboKumbuka Afrika ni Continent, kama kuna sehemu walikuwa wanatembea Uchi sehemu nyingine walikuwa na empire's. Na sehemu nyingine walikuwa wanafua v yuma, mfano unafaham kuwa Uganda walikuwa wanafua vyuma kabla ya kuja wazungu?
Mange atatusaidianawasalimu jf members, kuna mwanajamvi alitoa uzi usemao mtu mweusi ndie alipeleka ustaarabu ulaya na asia, iyo si kweli bali kuanza kuhubiriwa kwa dini ya kiislam na mtume muhamad 7century kulipelekea mwaka 708 kundi la waarabu kuingia north africa morocco lengo likiwa kueneza dini na ustaarabu wao dunia yote, watu wa north africa wakawapokea waarabu na kukubali kiarabu kua lugha yao na uislam kua dini yao.
mwaka 711 AD chini ya kamanda wa kiarabu tarik ibn zayid (gilbral) likaundwa jeshi (moorish army) lipatako watu 7000, watu weusi 6700 (watu wa north afrika walikua weusi) na waarabu 300 na safari ya kwenda ulaya ikaanza wakapita iberian peninsula kwenye mlima mkubwa wa mawe na hadi leo mlima huo unaitwa tarik mountains (gilbrater), kiarabu wanaita jabal eltarik yote yakisanifu jina la tarik ibn ziyad. baada ya kukanyaga ardhi ya spain tarik akaamuru boti zao zote zichomwe moto lengo likiwa ata yakizuka mapigano washindwe kurudi nyuma wapigane adi kufa ili azma yao ya kupeleka dini itimie. INAENDELEA
kutahiri kumeanzia mashariki ya kati, wakati mwenyezi mungu anaweka agano na abrahamu mwanzo17:10-12Kwani Ibrahimu alikuwa Mmisri au Mwarabu?
Haha...hiyo methodology ya wahindi ilikuwa kiboko!Wahindi waliweka bangi kwenye chetezo Huku walimpa mgonjwa pombe mpaka anapoteza fahamu ndipo wanamfanyia upasuaji
Hata wao pia walitanguliwa.Lakini waroma walitawala
Kweni wewe katika fikra zako Adam na Hawa ilikuwa ni mwaka gani?kipindi icho ata thamani ya kuficha utupu wetu tulikua hatujaujua ndio itakua kutoa 'mkono wa sweta.'