much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Elimu elimu elimuSijasoma yote ila nmeshanga Rais siku izi ana maamuzi ya kumtengua DED wa viziwan.?au Kuna Mafia nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Elimu elimu elimuSijasoma yote ila nmeshanga Rais siku izi ana maamuzi ya kumtengua DED wa viziwan.?au Kuna Mafia nyingine?
Aah kmmke nimecheka kinomaKwa ufupi
Alichagua kuwa na mnyonge wengine Hawa kwasiku wanaliwa maratatu Hadi 8 ,wann
Akaona afadhari ,anayemfungia ndani kila akirudi ya moto , akinashangazi hadi wakoke MKAA waipashe
Unaharibu maisha yake... ?ukaharibu maisha ya binti wa watu, kisa kimshahara chako cha 50k??
hiyo ni ajali tuINTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!
BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.
SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...
1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.
2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.
3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?
4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?
5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?
CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!
Na hizi ndio NDOA ZENU.
Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.
Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!
Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Je kama mkeo anakudisIla kiukweli ukishakuwa mheshimiwa au una jina kubwa kwenye suala la mbunye unatakiwa uwe makini sana..
Kama ulikuwa mtu wa kuokota okota basi inabidi utulie.