Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 15,954
- 35,415
Nikajua una ushahidi kumbe umeunga unga dots za uongo na kweli ili uchomekee "kataa ndoa" yako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninayo picha DED akila mzigo ila kuisambaza naogopa tena chumbani kwa dada wa kazi.Nani kakwambia kuwa DED kabaka.
What if ni hujuma za Bint na Mama Vs DED?
Ni mashaka na yanayoendelea huko kwenye NDOA YAO.
Huu ni mgogoro wa ndoa.
#YNWA
We ushahidi wa kubaka UNAO?Nikajua una ushahidi kumbe umeunga unga dots za uongo na kweli ili uchomekee "kataa ndoa" yako.
DED hajabaka nakataaa na ukute hata huo uchi wa Hausi geli haujuiTusigeuze uovu uonekane jambo la kawaida, DED kapata alichostahili kadri ya matendo yake. Wengi wanaona ni rahisi kuongea kwa sababu huo uovu hauwahusu na haujafanyika kwao na hauwagharimu kwa namna yeyote ile.
Sitokaa nikubaliane na maovu yeyote yale hata kama niyafanye mimi, yakibainika ni haki kuwajibishwa.
Shukrani kwa heshima mkuu 🙏.
Hajabaka na wala hajalala na Hausi geli.Ndio maana nikamwambia kataa ndoa isimfanye kutokuona maovu au kuuona uovu ni jambo la kawaida.
Ushahidi sina ila mashahidi ninao.We ushahidi wa kubaka UNAO?
#YNWA
Sio “kama” , ni ubakaji… consent age hapa kwetu ni 18 years… hivyo ili muwe salama inabidi mpeleke madokezo bungeni kuomba age consent iwe 14 au 12 kabisa, kusudi muwe huru kufanya nao mtakayo bila kuwa na wasiwasi wa kupelekwa korokoroni mkibainika….Kama kuwagonga under 18 ni ubakaji basi wasichana wengi wanabakwa 😁 mtaani! Sababu kuna vitoto vya std 6 hadi form 2 vimewiva vinatafunwa balaa na hakuna rape cases! Hilo ni pigo la mke na kapitia udhaifu wa beki 3 kuwa minor.
Inategemea kama mtoto ni wako ila kama sio wako jua tu lazma nikutoe nishaiSio “kama” , ni ubakaji… consent age hapa kwetu ni 18 years… hivyo ili muwe salama inabidi mpeleke madokezo bungeni kuomba age consent iwe 14 au 12 kabisa, kusudi muwe huru kufanya nao mtakayo bila kuwa na wasiwasi wa kupelekwa korokoroni mkibainika….
Wakati huo huo, binti yako wa 12/14 ukimkuta na njemba unachukua binti unarudisha nyumbani na unaagana na njemba kiroho safi, hopefully unaona consequence zake.
Hakuna rape cases kwasababu ya mazoea, kuporomoka kwa maadili, na irresponsible parenting. Ila kisheria hizo zote ni rape cases.. Binafsi nikikukuta mtaani na mtoto mdogo nitakuanzishia viboko kabla hatujafikishana kwa pilato.
Bado unabaka, na bado unanitoa nishai… kwenye miaka 30 tutajitahidi tukuongezee iwe 33 🤣Inategemea kama mtoto ni wako ila kama sio wako jua tu lazma nikutoe nishai
Sawa wakili Mwabukusi😁Bado unabaka, na bado unanitoa nishai… kwenye miaka 30 tutajitahidi tukuongezee iwe 33 🤣
Nilimsikia malaika wako akiniitaNilitaka nikuitee mama malezi, uje utie neno hapa.
Wanastahili heshima na appreciation kubwa sana. Roles wanazoplay kwenye maisha yetu na watoto wetu; daah Mungu awabariki wadada wote wanaotunza familia zetu kwa uaminifu na upendo. Na atusaidie na sisi tusikose fadhila juu yao.Wanapitia magumu sana hawa wasaidizi wa kazi, hiyo 50K wengine bado wanawadhulumu ndio maana wengine hufikia hatua ya kufanya matukio ya ajabu na ya kikatili kwenye familia za waajiri wao.
Wanastahili kuheshimika sio kwa sababu ya shida zake ndio iwe fursa ya kuwatumia tutakavyo. Kuna familia ndugu wote wa kiume wamepita na dada wa kazi, hii ni aibu na sio sawa kabisa.
Na iwe hivyo na wao wanahitaji upendo wa familia.Wanastahili heshima na appreciation kubwa sana. Roles wanazoplay kwenye maisha yetu na watoto wetu; daah Mungu awabariki wadada wote wanaotunza familia zetu kwa uaminifu na upendo. Na atusaidie na sisi tusikose fadhila juu yao.
Wanawake siku zote ni watu wa kukurupuka, baadae litajifanya limepitiwa mazafanta...Kuna maswali umeyahoji hadi mtu anajiuliza "is he really serious!!!"
Yaani kama sio nyie ambao huwa mnashadadia ujinga wa kuwabaka house girls humu. Mambo yakiwageukia ndio mnajua wapo mabinti wa "status zenu".
Haki itendeke, safi sana mke kasimama kama mama.
Hapa mwamba atakuwa kala. Mke kaamua kumwaga mboga. Hajataka vita na mwanamke mwenzakeIla kiukweli ukishakuwa mheshimiwa au una jina kubwa kwenye suala la mbunye unatakiwa uwe makini sana..
Kama ulikuwa mtu wa kuokota okota basi inabidi utulie.
Hakuna ubakaji wowoteee uliofanyikaSio “kama” , ni ubakaji… consent age hapa kwetu ni 18 years… hivyo ili muwe salama inabidi mpeleke madokezo bungeni kuomba age consent iwe 14 au 12 kabisa, kusudi muwe huru kufanya nao mtakayo bila kuwa na wasiwasi wa kupelekwa korokoroni mkibainika….
Wakati huo huo, binti yako wa 12/14 ukimkuta na njemba unachukua binti unarudisha nyumbani na unaagana na njemba kiroho safi, hopefully unaona consequence zake.
Hakuna rape cases kwasababu ya mazoea, kuporomoka kwa maadili, na irresponsible parenting. Ila kisheria hizo zote ni rape cases.. Binafsi nikikukuta mtaani na mtoto mdogo nitakuanzishia viboko kabla hatujafikishana kwa pilato.
Na mungu awasaidie baba wotee wanaosingiziwa ujinga na wake zao.Wanastahili heshima na appreciation kubwa sana. Roles wanazoplay kwenye maisha yetu na watoto wetu; daah Mungu awabariki wadada wote wanaotunza familia zetu kwa uaminifu na upendo. Na atusaidie na sisi tusikose fadhila juu yao.
DED hajabaka na kataaa, na ukute hata ladha ya mbunye ya Dada wa kazi haijui.Ubakaji ni faida?