binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Kupitia comments na maandiko utawajua wabakaji………… na utawajua wanawake walio katika denial kwasababu wamefanyiwa vitendo vya ubakaji hadi wamezoea .
🗑️🚮
🗑️🚮
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aah...nlifikir kisiwa kilichopo Zanzibar mkuuMafia ni wilaya ya mkoa wa pwani bwashee
Najua ni Zanzibar mkuu...nisamehe tuIna maana hujui kama mafia ipo mkoa wa pwani jamaa angu?
Kabisa mkuu...nlidhan ndo kisiwa kinachounda ZanzibarTumalaumu mwalimu wako wa Jiografia darasa la 4 B, shule ya msingi Mtawariani
Asantee kwa kunielewesha mkuu..ndo maana nmeulizaMafia ni zenji ? 😅😅😅We jamaa wale ni watanzania
Umejuaje ni mgogoro wa ndoa?Nani kakwambia kuwa DED kabaka.
What if ni hujuma za Bint na Mama Vs DED?
Ni mashaka na yanayoendelea huko kwenye NDOA YAO.
Huu ni mgogoro wa ndoa.
#YNWA
Huyo sio mwanamke ni njemba hiyo.Inasikitisha kuona comment kama hii inatoka kwa mwanamke (kama kweli ni mwanamke!). Hebu jaribu kufikiria kama huyo binti underage angekuwa ni mtoto wako. Ungeyasema haya?
There is no justification for rape whatsoever. None!; na kwa mtoto ambaye hajafikisha miaka 18 ni unyama usio na kipimo. Inasikitisha kwamba hata wanawake mnaweza kutafuta justification kuhalalisha kile alichokifanya huyu rapist!
Kama alikuwa hapewi unyumba na mkewe si angeenda kutafuta michepuko huko nje? Pesa si anazo?
Nani aoe??unazungumza nini wewe?Hakuna ubakaji uliotokea.
Mkewe kaona apitie hapa ili kumkandamiza mumewe.
Mkiambiwa msioe, makelele mengii NGOJA YAWAKUTE.
#YNWA
Mbwa mwenyewe mbakaji mkubwa weye. Dume zima linashadadia ubakaji 🤡We kiazi Wacha kushabikia upumbavu, mpumbavu wewe!
Nani kakwambia kabaka?
Mnaoa wanawake, haohao ndio wanawasingizia kesi za ubakaji, mbwa nyie.
Endeleeni kuoa ili mfe woteeee
#YNWA
Huyu ni kichaa na mzigo kwa taifaKuna kitu unachokijua ambacho wengine hatukijui kuhusu hii kesi? Kulala na binti under 18 automatically ni rape regardless kama alikukubalia ama la! Kwa nini iwe hakuna rape? 😳
Umeandika rubbish kabisa. Una uwezo mdogo wa kutafakari.INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!
BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.
SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...
1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.
2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.
3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?
4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?
5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?
CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!
Na hizi ndio NDOA ZENU.
Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.
Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!
Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Mimi ni mwanaume na sisi wanawaume huwa tuna ubinafsi sana kwenye mambo ya sex. Fikiria ingekuwa ni mke wa jamaa ametembea na houseboy jinsi ambavyo angeshambuliwa.Kuna maswali umeyahoji hadi mtu anajiuliza "is he really serious!!!"
Yaani kama sio nyie ambao huwa mnashadadia ujinga wa kuwabaka house girls humu. Mambo yakiwageukia ndio mnajua wapo mabinti wa "status zenu".
Haki itendeke, safi sana mke kasimama kama mama.
Swali gumu sana hili umeuliza mkuuatoto sikiliza, hatuungi mkono alichofanya mume kwa ka minor. sheria ichukue tu mkondo wake.
tunachpinga ni mwenzi wako kuvalia njuga ufungwe
wewe huyo DED angekuwa mwanao unge report polisi hilo tukio?
Yeye kugongwa mara ngapi kabla ya kuolewa na DED?MKE ALIISHACHOKA
Hahahahaha sasa kama mke kufungwa kwa mumewe ana maslahi nako watagawana mali anakula 50% share na anaendelea kugongwa na mchepuko wake kwa uhuru.yaani mtu ambaye mnaambiwa ni mwili mmoja anataka ufungwe miaka 30
kataa ndoa mna hoja sana
DED kaingia kwenye mfumo wa mkewe 😂 na mke hakutaka kupoteza muda kaamua amalize show kibabe.Kwahiyo DED
Swali:- Nani kasema DED kabaka?
Jibu:- Ni mkewe.
Soma tena point yangu ya 3
HAKUNA UBAKAJI WOWOTEEE, mwanamke katafuta pa kumpatia mumewe na kapapata..!!!!
#YNWA