Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Kuna maswali umeyahoji hadi mtu anajiuliza "is he really serious!!!"
Yaani kama sio nyie ambao huwa mnashadadia ujinga wa kuwabaka house girls humu. Mambo yakiwageukia ndio mnajua wapo mabinti wa "status zenu".

Haki itendeke, safi sana mke kasimama kama mama.
Na mi namshangaa huyu jamaa, kwahiyo alitaka mke afurahie tabia ya ubakaji wa mumewe?? Kesho akibaka watoto wake?? Huyo ni muhalifu km wengine na miaka 30 ni haki yake.!!

Huyo mwanamke tumjengee sanamu
 
INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!

BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.

SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...

1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.

2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.

3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?

4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?

5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?

CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!

Na hizi ndio NDOA ZENU.

Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.

Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!

Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji


Hata ukioa, kuwa fala ni uchaguzi, Hata ningetegwaje na binti wa kazi, leave alone minor, siwezi lala naye, kikanuni:

1. Hatulali na wanawake nyumbani.
2. Hatulali na wanawake mtaani.
3. Kama nimewahi chepuka ni mkoa.
4. Siwezi chepuka na tutoto.
5. Nathaminisha mapenzi, sio hivo.

Inawezekana kabisa mke kapeleka jamaa magereza, ila kuna ujinga na upumbavu wa jamaa.......

Nimewahi ku solve kesi ya Kubaka ya jamaa kwenye gari lake ambaye hakubaka, ili tugharimu 10m cash, kuizima.

Wanaume tusiwe wajinga na mambo kama haya, na hii haihusiani na ndoa, inahusiana na ujinga wetu.
 
Mkuu umenishangaza sana, kwahiyo ulitaka mke afunike kombe DED aendelee kujilia dada wa kazi?
Tayari mke alikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwa hasira na maumivu ya kusalitiwa tena kwa mtu ambae wanaishi nae.

Itoshe kusema ndoa sio kichaka cha kufichia maovu/waovu, haki itendeke hawa mabeki tatu wanadhalilishwa sana kuna nyumba unakuta kaliwa kuanzia na baba mpaka last born.

Kataa ndoa isikufanye ushindwe kuona hata uovu uliotendeka.
Mtoto sio dada wakazi,unamkosea zaidi mtoto
 
Na mi namshangaa huyu jamaa, kwahiyo alitaka mke afurahie tabia ya ubakaji wa mumewe?? Kesho akibaka watoto wake?? Huyo ni muhalifu km wengine na miaka 30 ni haki yake.!!

Huyo mwanamke tumjengee sanamu
Hakika huyu mama ni shujaa. Mwanaume mpumbavu wa aina hii si wa kuvumilia. Huyo binti ni sawa na mwanae, kama mlezi wake hakupaswa kufanya huo ufirauni kabisa.
 
Hakika huyu mama ni shujaa. Mwanaume mpumbavu wa aina hii si wa kuvumilia. Huyo binti ni sawa na mwanae, kama mlezi wake hakupaswa kufanya huo ufirauni kabisa.
Kabusa ma. Inatakuwa wanawake wote tuwe na misimamo tusiendekeze wabakaji. Leo kambaka mfanyakazi, kesho atabaka watoto wake wa kuwazaa..!
 
Kule mtwara wanawake wana msemo wao" mumeo muombee njaa mkalime vibarua mrudi nyumbani"
Wanamaanisha kuwa ukwasi kwa mwanaume na ndoa huwa havikai pamoja.
 
INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!

BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.

SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...

1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.

2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.

3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?

4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?

5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?

CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!

Na hizi ndio NDOA ZENU.

Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.

Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!

Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Huyu mwanamke ni shetani anaharibu future yake mwenyewe , alichokifanya ded siyo kibaya cha kusema mke ashindwe kumsamehe ni madhaifu tu ya ubinaadamu
 
Sioni kosa kuuuuubwa sana la DED. Hawa watoto wenyewe hii michezo wanaipenda, na hata sheria ya ndoa inaruhusu kwa umri wake.

Kinachoonekana hapa kikubwa ni changamoto ndani ya ndoa ya DED, so mke wake ameona hii ni kama escape plan ya kuachana na mwamba achukue 50% yake.
 
Back
Top Bottom