Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
- #81
Kwasababu DED haujui uchi wa house gal kabisaaaa.Kwa nini iwe hakuna rape? 😳
Hii ni mission ya MKE kumuangamiza mume.
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwasababu DED haujui uchi wa house gal kabisaaaa.Kwa nini iwe hakuna rape? 😳
Na mi namshangaa huyu jamaa, kwahiyo alitaka mke afurahie tabia ya ubakaji wa mumewe?? Kesho akibaka watoto wake?? Huyo ni muhalifu km wengine na miaka 30 ni haki yake.!!Kuna maswali umeyahoji hadi mtu anajiuliza "is he really serious!!!"
Yaani kama sio nyie ambao huwa mnashadadia ujinga wa kuwabaka house girls humu. Mambo yakiwageukia ndio mnajua wapo mabinti wa "status zenu".
Haki itendeke, safi sana mke kasimama kama mama.
Kabisa anastahili hizo adhabu tuache kutetea wabakaji, ingekuwa ni mtoto wake kafanyiwa hayo angeweka uzi wa kiwaki km huu??Msijustify mambo ya kihuni hapa...DED amebaka na anatakiwa kufungwa maisha jela au miaka 30. Mamaeh.
DED hajabakaKabisa anastahili hizo adhabu tuache kutetea wabakaji, ingekuwa ni mtoto wake kafanyiwa hayo angeweka uzi wa kiwaki km huu??
Lete ushahidiDED hajabaka
Ni plan na mission za MKE kumpoteza mume.
DED alioa kichaaaa
#YNWA
INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!
BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.
SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...
1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.
2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.
3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?
4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?
5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?
CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!
Na hizi ndio NDOA ZENU.
Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.
Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!
Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Mtoto sio dada wakazi,unamkosea zaidi mtotoMkuu umenishangaza sana, kwahiyo ulitaka mke afunike kombe DED aendelee kujilia dada wa kazi?
Tayari mke alikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwa hasira na maumivu ya kusalitiwa tena kwa mtu ambae wanaishi nae.
Itoshe kusema ndoa sio kichaka cha kufichia maovu/waovu, haki itendeke hawa mabeki tatu wanadhalilishwa sana kuna nyumba unakuta kaliwa kuanzia na baba mpaka last born.
Kataa ndoa isikufanye ushindwe kuona hata uovu uliotendeka.
Hakika huyu mama ni shujaa. Mwanaume mpumbavu wa aina hii si wa kuvumilia. Huyo binti ni sawa na mwanae, kama mlezi wake hakupaswa kufanya huo ufirauni kabisa.Na mi namshangaa huyu jamaa, kwahiyo alitaka mke afurahie tabia ya ubakaji wa mumewe?? Kesho akibaka watoto wake?? Huyo ni muhalifu km wengine na miaka 30 ni haki yake.!!
Huyo mwanamke tumjengee sanamu
Hakuna ubakaji wowotee uliotokea.
Hii mi mission ya MKE kumuangamiza mume.
#YNWA
Katoe ushahidi mahakamani.DED hajabaka
Ni plan na mission za MKE kumpoteza mume.
DED alioa kichaaaa
#YNWA
Kwakweli, maana kakomaa kweli!Inawezekana kuna mengi ambayo unayajua kuhusu hii kesi
Kabusa ma. Inatakuwa wanawake wote tuwe na misimamo tusiendekeze wabakaji. Leo kambaka mfanyakazi, kesho atabaka watoto wake wa kuwazaa..!Hakika huyu mama ni shujaa. Mwanaume mpumbavu wa aina hii si wa kuvumilia. Huyo binti ni sawa na mwanae, kama mlezi wake hakupaswa kufanya huo ufirauni kabisa.
Mafia ni wilaya ya mkoa wa pwani bwasheeSijasoma yote ila nmeshanga Rais siku izi ana maamuzi ya kumtengua DED wa viziwan.?au Kuna Mafia nyingine?
Ili?Kwasababu DED haujui uchi wa house gal kabisaaaa.
Hii ni mission ya MKE kumuangamiza mume.
#YNWA
Huyu mwanamke ni shetani anaharibu future yake mwenyewe , alichokifanya ded siyo kibaya cha kusema mke ashindwe kumsamehe ni madhaifu tu ya ubinaadamuINTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!
BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.
SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...
1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.
2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.
3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?
4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?
5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?
CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!
Na hizi ndio NDOA ZENU.
Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.
Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!
Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Shetani Hana sababu.Ili?
Wabakaji si wa kuwavumilia.Kabusa ma. Inatakuwa wanawake wote tuwe na misimamo tusiendekeze wabakaji. Leo kambaka mfanyakazi, kesho atabaka watoto wake wa kuwazaa..!