Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Ni kweli kabisa; mabinti wengi wa kazi wamekuwa abused na baba na vijana wa familia. Na wengine wanaishia kuambukizana gonjwa familia nzima.

Hawa mabinti wa kazi karibia wote wanatoka kwenye familia zisizojiweza; wapo hapo kwa ajili ya kutafuta kipato kwa ajili ya kusaidia familia zao. Kuna hatma za familia zao wamezibeba wao kupitia kazi hiyohiyo. Badala ya nyie kuwatreat kama mabinti zenu; mnawalazimisha kuwa wake zenu kinguvu. Mwanaume anayeshindwa kumuheshimu binti wa kazi ambaye ni sawa na binti yake; sitoshangaa kusikia amelala na mabinti zake wa kuwazaa; hapo ndugu wa kike wa mke ndiyo weka mbali kabisa. It's so despicable

Hela mnazo, si mkatafute makahaba wenzenu huko nje; ukaharibu maisha ya binti wa watu, kisa kimshahara chako cha 50k?? Apandacho mtu; ndicho atakachovuna
Nilitaka nikuitee mama malezi, uje utie neno hapa.
 
huyo mke ana akili chache mno Hillary clinton mwenyewe alikaa upande wa mumewe japo ushahid usiotiashaka ulitolewa na monica Lewinsky nguo za ndani za bint zikiwa na janaba la clinton hillary aliangalia ugali wake akaweka ego pembeni
 
Kuna maswali umeyahoji hadi mtu anajiuliza "is he really serious!!!"
Yaani kama sio nyie ambao huwa mnashadadia ujinga wa kuwabaka house girls humu. Mambo yakiwageukia ndio mnajua wapo mabinti wa "status zenu".

Haki itendeke, safi sana mke kasimama kama mama.
kasimama kama mama ila mama mpumbavu
kwani kiapo kinaposema mtaishi kwa shida na raha, kuna shida zaidi ya hiyo
 
INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!

BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.

SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...

1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.

2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.

3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?

4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?

5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?

CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!

Na hizi ndio NDOA ZENU.

Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.

Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!

Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
yaani mtu ambaye mnaambiwa ni mwili mmoja anataka ufungwe miaka 30
kataa ndoa mna hoja sana
 
Shida ilianzia kwa DED alifeli kutembea na Kijakazi , alichopaswa yy nikutafuta nje na nyumba yake , ila mke wa DED nae hajielewi alipaswa atulie ale unga .
Halafu,ni muislamu nadhani.Angemhalalisha kutoa nongwa.Hata kuchukua mbinu kwa Haji Manara alishindwa?Poor DED!
 
Ngoja tusubiri upelelezi wa Polisi tuupate ukweli.
 
Ila haya maisha yana mambo mengi sana ukute DED alimnyang'anya mke wake mke, sasa mke wake akaamua kumpigania mke wake.

Mambo ni mengi sana chini ya hii dunia.

Haiwezekani mke wa jamaa akamteketeza jamaa bila kuwa na kitu anachonufaika nacho. Kwa aina ya kisa chao asilimia nyingi ni wivu wa kimapenzi unauwezo wa kufanya hili litokee.
 
Endeleeni kuteteana kwenye upumbavu tu.
atoto sikiliza, hatuungi mkono alichofanya mume kwa ka minor. sheria ichukue tu mkondo wake.
tunachpinga ni mwenzi wako kuvalia njuga ufungwe
wewe huyo DED angekuwa mwanao unge report polisi hilo tukio?
 
Nani kakwambia kuwa DED kabaka.
What if ni hujuma za Bint na Mama Vs DED?

Ni mashaka na yanayoendelea huko kwenye NDOA YAO.

Huu ni mgogoro wa ndoa.

#YNWA
Ulianza kwa uhakika sana, sasa unaleta what if..... ni maoni yako au facts?
 
Yataongelewa mengi lakini mwisho wa siku kesi itaisha kimya kimya lakini mambo yakishapoa huyo mwanamke na hako kabinti wakae mguu sawa litawapata jambo
 
Ila kiukweli ukishakuwa mheshimiwa au una jina kubwa kwenye suala la mbunye unatakiwa uwe makini sana..

Kama ulikuwa mtu wa kuokota okota basi inabidi utulie.
Na hiki wengi hawakijui. Umalaya ni mbaya ila jitahidi utafute vitu classic na sio kuwinda madada wa kazi.
 
Back
Top Bottom