Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama jamaa alikua anabaka, basi lawama tumpe shetani, kwa akili ya kibinadamu jambo hilo halitamaniki.Inasikitisha kuona comment kama hii inatoka kwa mwanamke (kama kweli ni mwanamke!). Hebu jaribu kufikiria kama huyo binti underage angekuwa ni mtoto wako. Ungeyasema haya?
There is no justification for rape whatsoever; na kwa mtoto ambaye hajafikisha miaka 18 ni unyama usio na kipimo. Inasikitisha kwamba hata wanawake mnaweza kutafuta justification kuhalalisha kile alichokifanya huyu rapist!
Kama alikuwa hapewi unyumba na mkewe si angeenda kutafuta michepuko huko nje? Pesa si anazo?
Mmeanza kupotosha subirieniNani kakwambia kuwa DED kabaka.
What if ni hujuma za Bint na Mama Vs DED?
Ni mashaka na yanayoendelea huko kwenye NDOA YAO.
Huu ni mgogoro wa ndoa.
#YNWA
Mkuu umenishangaza sana, kwahiyo ulitaka mke afunike kombe DED aendelee kujilia dada wa kazi?
Tayari mke alikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwa hasira na maumivu ya kusalitiwa tena kwa mtu ambae wanaishi nae.
Itoshe kusema ndoa sio kichaka cha kufichia maovu/waovu, haki itendeke hawa mabeki tatu wanadhalilishwa sana kuna nyumba unakuta kaliwa kuanzia na baba mpaka last born.
Kataa ndoa isikufanye ushindwe kuona hata uovu uliotendeka.
Uovu hapa hapa kutendewa unatakiwa kuelekezwa kwa binti sio huyo mwanamke.Mkuu umenishangaza sana, kwahiyo ulitaka mke afunike kombe DED aendelee kujilia dada wa kazi?
Tayari mke alikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwa hasira na maumivu ya kusalitiwa tena kwa mtu ambae wanaishi nae.
Itoshe kusema ndoa sio kichaka cha kufichia maovu/waovu, haki itendeke hawa mabeki tatu wanadhalilishwa sana kuna nyumba unakuta kaliwa kuanzia na baba mpaka last born.
Kataa ndoa isikufanye ushindwe kuona hata uovu uliotendeka.
Kwahiyo DEDUnajuaje huyo DED katika uhusiano wake na huyo binti hakumtishia asiseme wala asimwambie mkewe?
Lakini hata kisheria haiwezi kumsaidia huyo DED kwa sababu bint yuko chini ya umri wa miaka 18.
Ushauri,Polisi wa Mafia wasihusike kupeleleza na kuendesha hiyo Kesi watapotosha ushahidi,waletwe wa kutoka Makao makuu Dodoma.
Mkuu umenishangaza sana, kwahiyo ulitaka mke afunike kombe DED aendelee kujilia dada wa kazi?
Tayari mke alikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwa hasira na maumivu ya kusalitiwa tena kwa mtu ambae wanaishi nae.
Itoshe kusema ndoa sio kichaka cha kufichia maovu/waovu, haki itendeke hawa mabeki tatu wanadhalilishwa sana kuna nyumba unakuta kaliwa kuanzia na baba mpaka last born.
Kataa ndoa isikufanye ushindwe kuona hata uovu uliotendeka.
Swali:- Nani kasema DED kabaka?Umeandika mawazo yangu, nashukuru nimepitia kwanza kabla sijaandika maana umesema kila kitu.
Hii post imekupa heshima yangu.
Msaidie mwenzie achomoe sasa!Kwa ushahidi gani?
kesi hii hata mimi nachomoa.
Hii ndio point.Hela mnazo, si mkatafute makahaba wenzenu huko nje; ukaharibu maisha ya binti wa watu, kisa kimshahara chako cha 50k?? Apandacho mtu; ndicho atakachovuna
Ina maana hujui kama mafia ipo mkoa wa pwani jamaa angu?Sijasoma yote ila nmeshanga Rais siku izi ana maamuzi ya kumtengua DED wa viziwan.?au Kuna Mafia nyingine?
Hakuna ubakaji uliotokea.Jitu zima kutembea na mtoto wa miaka 16 ni ubakaji,linastahili kuwa jela saa hizi,acha kutetea upumbavu,team kataa ndoa hatusapoti ubakaji na ushenzi huu.
Hakuna RAPE iliyotokea.Inasikitisha kuona comment kama hii inatoka kwa mwanamke (kama kweli ni mwanamke!). Hebu jaribu kufikiria kama huyo binti underage angekuwa ni mtoto wako. Ungeyasema haya?
There is no justification for rape whatsoever; na kwa mtoto ambaye hajafikisha miaka 18 ni unyama usio na kipimo. Inasikitisha kwamba hata wanawake mnaweza kutafuta justification kuhalalisha kile alichokifanya huyu rapist!
Kama alikuwa hapewi unyumba na mkewe si angeenda kutafuta michepuko huko nje? Pesa si anazo?
Hata huyu DED aliona ushauri wangu ni ujinga Ila LEO YAMEMKUTA.acha kushauri watu ujinga
We kiazi Wacha kushabikia upumbavu, mpumbavu wewe!We kiazi wacha kushabikia uzinzi pumbavu! Kwa huo mbichwa wako si ajabu unaweza kumbaka hata mama yako na ukaona ni sawa.
Kuna kitu unachokijua ambacho wengine hatukijui kuhusu hii kesi? Kulala na binti under 18 automatically ni rape regardless kama alikukubalia ama la! Kwa nini iwe hakuna rape? 😳Hakuna RAPE iliyotokea.
Muache KUOA VICHAAA
Watawaua.
#YNWA
Hakuna ubakaji wowotee uliotokea.Mtoa mada kanishangaza sana,yaani anaona ni sawa kwa huyo binti kubakwa(hata kama walikua wapenzi binti ni chini ya miaka 18 anahesabika kama minor hana maamuzi sahihi).