Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Kuna maswali umeyahoji hadi mtu anajiuliza "is he really serious!!!"
Yaani kama sio nyie ambao huwa mnashadadia ujinga wa kuwabaka house girls humu. Mambo yakiwageukia ndio mnajua wapo mabinti wa "status zenu".

Haki itendeke, safi sana mke kasimama kama mama.
Mume anaenda jela miaka 30
Bila shaka kuna tatizo katika hiyo ndoa
 
INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!

BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.

SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...

1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.

2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.

3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?

4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?

5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?

CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!

Na hizi ndio NDOA ZENU.

Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.

Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!

Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Katika hiyo hali (mume kutembea na house girl), mwanamke mwenye kujiamiani, aliyechoka na tabia mbovu za mumewe ulitaka afanyeje?
Ulitaka aue mume?
Ulitaka aue housegirl?
Ulitaka ajiue?

Kwa hii scenario, sijaona tatizo lolote la kimsingi la kuilaumu taasisi ya ndoa.
 
INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!

BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.

SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...

1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.

2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.

3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?

4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?

5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?

CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!

Na hizi ndio NDOA ZENU.

Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.

Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!

Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Umeibua Hoja ambazo zinaibua BENEFIT OF DOUBT.

Watu wa 'Kataa Ndoa ' hapa watakuwa wamejizolea Points zingine za bure kabisa.
 
INTRODUCTION:
Nawasalimu kwa jina la muungano wa Tanzania...!!

BODY
Tarehe 18/04 Mtukufu Rais wetu alitengua uteuzi wa DED wa Mafia Bwana Kassim Seif Ndumbo, ila wajuzi wa mambo wanasema, kosa alilonalo ni kashfa ya kubaka binti (minor) ambae alikuwa "House girl" wake.

SCENARIO
Ila Mimi kwenye hii kesi/kashfa nina maswali yafuatayo...

1. Mkewe DED ndiye aliyeishikilia kidete kesi hii. Kwamba aliamua kuchagua upande wa binti na kumchomo mumewe mwenye hela.

2. Taarifa zinasema "Binti alikataa hela alizoletewa na polisi ili akaushe asiseme popote" Ila usisahau hapo kabla, binti na DED walikua na uhusiano..!! NI TAARIFA TU LAKINI.

3. Ni mwanaume gani anayepata mshahara wa LSSE 1, posho kibao, safari za kikazi kibao ila akaamua kwenda ku"date" na kabinti akaacha wanawake kibao ambao kwa status yake HAWEZI KUWAKOSA?

4. Kama binti na DED walikuwa na uhusiano, inakuaje keo Binti akatae pesa za bwana ake?

5. Inakuaje binti awe na uhusiano na DED halafu leo achoke ghafla aende kumshtaki DED polisi?

CONCLUSION
Anyway tuachie polisi wafanye kazi yao. Ila usisahau kwenye hii kesi mtoa taarifa mkuu ni MKE WA DED..!!

Na hizi ndio NDOA ZENU.

Endeleeni kushupaza shingo na KUOA.

Mwenzenu kakomaa na uchawa akapata uteuzi, leo hii uteuzi wake unatenguliwa na taarifa/kashfa kutoka kwa MKEWE..!!!

Pia soma: Mkurugenzi aliyetenguliwa Mafia, kuchunguzwa kwa Ubakaji
Huyo mke ana connection gani Serikalini hadi amkamatishe ugoni mumewe na kisha kuipindua meza ya tuhuma za ugoni na kuwa ni ya kubaka, kuwabana kabisa hadi mheshimiwa ashindwe kuruka kihunzi?

Halafu silipendi swali la wengi wanavyouliza eti: ...'kwanini mheshimiwa alishindwa kuruka na wa hadhi yake?..

Ebo! Wahadhi yake si ni mkewe?

Mwanaume yeyote hupenda kuruka na mwanamke ambaye ni mnyonge kwake.

Taarifa ya Serikali iliyotolewa kuhusu sakata hiyo uliisikia, msichana kaongezewa umri kawa na 18?

Hayo ni mazingira ya 'wokovu' yanatengenezwa, bado kwa daktari.

Mke asipoangalia aweza kubaki njia panda.
 
Katika hiyo hali (mume kutembea na house girl), mwanamke mwenye kujiamiani, aliyechoka na tabia mbovu za mumewe ulitaka afanyeje?
Ulitaka aue mume?
Ulitaka aue housegirl?
Ulitaka ajiue?

Kwa hii scenario, sijaona tatizo lolote la kimsingi la kuilaumu taasisi ya ndoa.
Nilitaka mwanamke asivae sucide bomb la kujilipua na kujiangamiza mwenyewe.

Kuna njia nyingi za wanandoa kukomeshana lakini kitumbua kisipaliwe na mchanga, kikaendelea kuliwa hata baada ya sakata.
 
Amenyooshwa vizuri na huyo mwanamke maana alishupaza shingo
kataa ndoa
Kataa Ndoa
Kataa ndoa
 
Na hiki wengi hawakijui. Umalaya ni mbaya ila jitahidi utafute vitu classic na sio kuwinda madada wa kazi.
Mtu anayetembea na mdada wa kazi yuko too low. Hivi inakuwaje? Namdharau sana mwanaume anayetembea na binti wa kazi. Yaani uchafu wake anaufanyia humohumo ndani loh. Na yeye ilikuwaje akaajiri mtoto? DED mzima loh.
 
huenda huyo DED kasingiziwa na mke wake.
huenda ndoa yao haiukuwa na maelewano.

nakumbuka sakata la Mbasha alifunguliwa kesi ya kubaka lkn hatimaye .......kila kitu kolijulikana.
Kuna picha imeiona mhhh. Kama ni yeye hajasingiziwa.
 
Mkuu umenishangaza sana, kwahiyo ulitaka mke afunike kombe DED aendelee kujilia dada wa kazi?
Tayari mke alikuwa na sababu ya kufanya hivyo kwa hasira na maumivu ya kusalitiwa tena kwa mtu ambae wanaishi nae.

Itoshe kusema ndoa sio kichaka cha kufichia maovu/waovu, haki itendeke hawa mabeki tatu wanadhalilishwa sana kuna nyumba unakuta kaliwa kuanzia na baba mpaka last born.

Kataa ndoa isikufanye ushindwe kuona hata uovu uliotendeka.
Nina madogo wawili wazuri kabisa wamenyooka, watoto wa afu mbili, ningependa kuwa shemeji yako!

Naamini with this mindset ukoo utakuwa salama 😍
 
Back
Top Bottom