Si niliwaambia msioe? Hebu tujiulize haya juu ya DED Mafia na Mkewe

Kwa ufupi

Alichagua kuwa na mnyonge wengine Hawa kwasiku wanaliwa maratatu Hadi 8 ,wann

Akaona afadhari ,anayemfungia ndani kila akirudi ya moto , akinashangazi hadi wakoke MKAA waipashe
Aah kmmke nimecheka kinoma
 
Kama amebaka asukumwe ndani tu, kwanini umharibie binti wa miaka 16
 
ukaharibu maisha ya binti wa watu, kisa kimshahara chako cha 50k??
Unaharibu maisha yake... ?

Assume hujam repu, ni binti wa miaka 19, katoa ridhaa, umem tega tega kwa namna yeyote halali, kwa kuwa charming, au kwa kumpa hela atumie wazazi, au kwa kuwa mpole na mwenye huruma kwake kuliko li mama lenye nyumba. Mkazoena akakulegezea.

Unaharibu vipi maisha yake ukilala nae ?
 
Hapo usikute, mke Nae siku nyingi ana nahusuano, Sasa beki tatu imekua sababu ya kuvunja mahusuano ili awe huru kuingia ktk mahusuano mapya
 
hiyo ni ajali tu
mbona ajali zinatokea za vyombo vya moto na bado tunapanda na kuendelea kuvinunua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…