Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

Si niliwaambia msioe! Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2020
Posts
6,958
Reaction score
16,358
Introduction:-
Hoya niaje wanaume wenzangu..
Kama nilivyoandika kwenye heading ""Kwanini mnaoa wakati Kuna kudhulumiwa humo?""

Scenario.
Nazungumza na wewe baharia mwenzangu
1. Upo Halmashauri unakomaa na mishale ya DED/TED/MED wako bila kusahau mijeledi ya madiwani wako, yaani unajichanga hasaa mpaka unapata ka plot halafu unao.

2. Upo za kitaaa, unakomaa kweli na hustle za kitaa, Mungu bariki mikwanja hii hapa, unaamua kujenga na kuoa

3. Upo zako abroad unabeba mpaka mabox. Unarudi bongo, ushusha bonge la mjengo.

4. Upo sehemu tamu ya serikali, unapiga ufisadi ""Nani kakwambia ufisadi ni rahisi hivyo"" Kuna TAKUKURU, TISS, CAG ila unawapiga dalizi wotee.
Then unamua kushusha mjengo na kuoa.

Yaani kivyovyote vile baharia mwenzangu ila "unatoili" kweli.
Then unashusha mjengo na kuamua kuoa.

Halafu anatokea mtoto wa wazazi kama wako unayemuita mke, eti kisa mmezaa pamoja anakuletea visaa halafu eti kirahisi ""UNAMWACHIA NYUMBA UKAAANZE UPYA😳😳😳""

What a f*ck..!!

Yaani kirahisi kabisa ndani ya mjengo wako unakimbia kisa ndoa ngumu ..!!

Ndugu zangu, my fellow men ""Hukuzaliwa kuteseka"" unamwachiaje mtu matunda ya hustle zako kids eti ""Huyu mwanamke nimemshindwa Bora nikaanze upya""

Hivi Mimi Mr. Liverpool A.K.A wauaji wa Man U (7up) eti nikomae kuuza hizi K.Vant na Konyagi hapa dukani.
Halafu nishushe mjengo, then atoa mtoto wa mtu kisa tu nimezaa nae au nimemuoa alete vitimbwi eti niishie ""Ngoja nimwachie nyumba nikaanze upya""

maaannn😳😳 what upyaaa..!!

Hebu cheki hizi comments 👇👇👇
What is this?? 🤷🤷

Ulikosea mwenyewe toka mwanzo, kosa uliwekeza kwenye uwanja wa mwanamke, kisa chako Kama Cha jirani yangu, mwanaume anafungiwa milango, anafukuzwa usku wa manane, Tena kwa sauti, uwanja wa mwanamke, ye kasapoti kwa kiasi chake Ila ananyanyaswa Sana anaomba msamaha Ila afunguliwi mlango na anaondokaga.

Umenikumbusha mbali. Kuna jamaa naye alikuwa na mke Mmachame Kila siku ugomvi jamaa anaamiwa aondoke nyumba yake. Mwamba katukanwa na kudharaulika sana ukizingatia wote wamechangia ujenzi . Walikuwa wamezaa mtoto mmoja, Jamaa akaona ni heri aondoke akaanze maisha upya.

Jamaa akaoa upya maisha yakaenda. Mwanamke aliyeona nyumba ndo Kila kitu, kaumwa Mwaka Jana amefariki. Jamaa kaudhulia msibani kiroho safi na heshima ya shada kapewa. Hii Dunia tunapita hakuna utakachoondoka nacho.

Neema tu ya Mungu tunapumua hatujui kesho yetu.

Story yako haitofautiana na ya jamaa yangu mmoja. Yeye alijenga mwanzo mwisho nyumba kwenye kiwanja cha mkewe. Hakuchukua muda baada ya nyumba kukamilika na wao kuaamia vikaanza vitimbwi ndani, mara paaaap akapata ugeni mkubwa wa mashemeji zake jamaa.
Wakisisitiza jamaa ahame kwenye nyumba.

Jamaa aliondoka akiwa na begi lake tu, huku akiendelea kulipa mkopo wa benki alioingia kipindi anafanya ujenzi wa nyumba hiyo.

Wanakwetu karudi magetoni.

Uko sahihi sana,JF imenifanya kuwa stable sana kwenye mahusiano yangu,mwanzoni nilijua yaliyokuwa yananikuta mimi nilidhani niko peke yangu,ila nimegundua majority ya wanaume wana maumivu
yanayofanana...

Kipindi nnanunua eneo la kujenga mzee aliandika jina lake baada ya langu
Siku naenda kufata ile hati ya mauziano nakuta jina lake...nkasema tu ah mzee aje au alisahau ...anyway nkapotezea zangu



Ila sasahiv naelewa Na pengine service zote nkatumia majina yake...

Unapotaka kuowa mkuu make sure una kitu mkononi na unajiweza kidogo kiuchumi
Kitu pekee nnachoweza kukuambia mkuu ni hiki

Asikudanganye mtu eti kuna mwanamke atakupenda wewe et umekaa tu ndani
Fedha ndio hasa heshima ya mwanaume
Tafuta fedha jijenge mwenyewe
Wale wanawake wakusema tuowane tutajenga pamoja
Wa mwisho kufanya hivyo alikua ni mama yako pekee
Hawa wengine wanataka uwe na kitu

CONCLUSION:
Tukiwaambia MSIOE mtaishia ooh
1. Nyie mashoga = kuoa hakuna uhusiano wowote na kula mbunye
2. Mmelelewa malezi sio = Wenye walezi yenu ndio mnawaachia nyumba wanawake.

Na kashfa nyengine kibaoo huku moyoni MNAJUTIA NDOA ZENU.

Anyway:- Endeleeni KUTESEKA na KUJENGA then KUANZA UPYA.

#YNWA
 
Ila tuache tu utani wanawake kwa upande mwingine ni changamoto sana!
Acha tu maisha yaendelee lakini sijawahi kuona importance wa nwanamke zaidi ya uzazi, baada ya kugundua ngono sio kitu cha muhimu kinachompa furaha ya moja kwa moja mwanadamu.
 
Taasisi ya ndoa miaka hii imekua ikimnufaisha sana mwanamke kuliko mwanaume.

Una hustle unaweka maisha vizuri. Then kabinti kanakuigizia upendo wa uwongo na kweli unaingia mazima unaoa.

Kumbe mwenzako alikua ana target mali zako. Anakufanyia visa mnaachana, mnagawana pasu kwa pasu unamuachia mjengo ambao anakuja kukaa na bwana ake wa ndoto zake. Bladifakeni!!!! [emoji34]

Sioi ng'o!!!
 
Taasisi ya ndoa miaka hii imekua ikimnufaisha sana mwanamke kuliko mwanaume.

Una hustle unaweka maisha vizuri. Then kabinti kanakuigizia upendo wa uwongo na kweli unaingia mazima unaoa.

Kumbe mwenzako alikua ana target mali zako. Anakufanyia visa mnaachana, mnagawana pasu kwa pasu unamuachia mjengo ambao anakuja kukaa na bwana ake wa ndoto zake. Bladifakeni!!!! [emoji34]

Sio ng'o!!!
Upo sawa.

Ila kwa mwingine kuwa na nyumba isiyo na mke na watoto anaiona hiyo nyumba kama pango tu, bora asafiri afurahie dunia kuliko kuwa na nyumba isiyo na watoto na mama yao.

Ujanani wakati tunaanza maisha tumekodisha zile appartment mnashare geti kuna jirani yangu alikuwa ana mke na watoto, sasa kuna wakati weekend mkewe alikuwa ana tabia anachukua watoto anaenda kwao kusalimia, Jamaa alikuwa anateseka aisee. Wakiwa hawapo atakuja akugongee, na malalamiko huyu shemeji yako hayupo. Watoto wake walikuwa wachangamfu sana, hata mm walikuwa wakinipa kampa kweli siku nipo nyumbani. Long time, good memories. Nitamtafuta yule mwamba.
images (9).jpeg
 
Back
Top Bottom