Enzi za Mwendazeke ukienda tu against na matakwa ya Serikali yake unapotezwa au unakula risasi hadharani.
Leo hii hadi viongozi wa Serikali wanaikosoa Serikali hiyo hiyo wanayotumikia bado mnalalamika? Kipindi kile mbona mlikuwa hamfungui midomo, badala yake mkakazana kuita watu wasaliti na wenye kutumiwa na mabeberu? Naunga mkono huyo jamaa kufukuzwa kazi mara moja, it's a serious misconduct na ni kinyume cha collective responsibility. Kama anaona mwajiri wake hafanyi vizuri angejiuzulu kwanza ndo aanze kutema cheche zake akiwa upinzani au raia huru asiyefungamana na mwajiri yeyote.