Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku toka asubuhi wanafyatua mabomu ya machoz sijui ndo mazoez yenyewe, hii hali inanikumbusha enzi za mtikila, wakati anabebwa na walala hoi huku serikali haitaki abebwe mpaka nyerere alipoingilia kati na akasema mwacheni anayetaka kubebwa kama jeneza na abebwe, hapo polosi wakaacha kumzingira cha ajabu baada ya hapo hakuna aliyejitokeza kumbeba mtikila mpaka umaarufu wake ukapotea hadi mauti yanamkuta hakuwa na umaaru wa kutishia serikali.The greatest fear is when you fear the unknown.
Akihutubia hiyo tarehe 31 basi ujue anawaogopa ye awaache tu aone kama wataandamana.
Ila pia polisi wamechoka mwezi mzima mazoezi ya kumkabili usiemjua inasikitisha sana!!!
Kuna solution moja pekee katika sintofahamu ya sasa hivi ni kwa Mkuu mwenyewe wa nchi kurealize kuwa siku alipotangaza kuwapa 'likizo' ya lazima vyama vya siasa vya upinzani hadi mwaka 2020, akiri kuwa ulimi uliteleza na aviruhusu vyama vyote vya siasa vifanye shughuli zao za siasa kwa mujibu wa Katiba ya nchi na Sheria ya vyama vya siasa.Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.
Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.
Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.
#UKUTA for Democracy!

Hivi Chadema wana ofisi kweli za kuzingirwa na polisi? Pale Ufipa polisi wawili tu wanatosha ofisi ina vyumba vitatu.Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.
Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.
Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.
Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.
#UKUTA for Democracy!
halafu watu hawajui tu.....mazingira kama haya yule adui wa tatu (eg Al Shabab) ndimo anamoweza kujipenyeza na kufanya vitu vyake.The greatest fear is when you fear the unknown.
Akihutubia hiyo tarehe 31 basi ujue anawaogopa ye awaache tu aone kama wataandamana.
Ila pia polisi wamechoka mwezi mzima mazoezi ya kumkabili usiemjua inasikitisha sana!!!
Si mrahisi kiivyo. Kwanza mahojiano hawezi. Na anaona akiwaruhusu atakuwa kama kashindwa vile.. Criminal mindedHili linahitaji busara zaidi mkulu si vinginevyo! Onyesha utu wako ruhusu mikutano ya kisiasa iendelee, TUTAPONA!