Tetesi: Si shwari, rais Magufuli kutangaza mazito August 31 siku moja kabla ya UKUTA

Tetesi: Si shwari, rais Magufuli kutangaza mazito August 31 siku moja kabla ya UKUTA

Chadema hawaishiwi na siasa za ramli na mazingaombwe.....
UKUTA ni kiinimacho, hakuna uhalisia hapo....
 
Atangaze kuanza kuiheshimu katiba ya nchi, atangaze Wabunge wote wa upinzani waliofukuzwa bungeni sasa wana haki ya kuruhusiwa kuingia Bungeni, atangaze kuacha kuingilia na kuvuruga vikao vya Bunge ili kuwadhibiti wapinzani au mpaka kieleweke, asidhani yeye yuko juu ya katiba na hivyo kuweza kufanya lolote huku akiendelea kuidharau katiba ya nchi na kuwanyima haki waliyopewa wapinzani ndani ya katiba.
Vifaranga wa Mbowe wanachekesha sana, Eti JPM aingilie kanuni za bunge, duuu.. Kurudisha wabunge bungeni, huku nje mnasema anavunja sheria, kwahiyo akirudisha Wabunge bungeni atakua havunji sheria na kanuni za bunge..
 
Kweli ya iliyo kweli na haki Hutozimwa kwa vitisho na nguvu za kijeshi. Hakuna aishiye kwa nguvu zake mwenyewe. Ushahidi bayana ni KIFO.
 
Sasa ninyi UKAWA si huwa mnajifananisha na yaliyotokea uarabuni? Andamaneni sasa maana huko Misri waliandamana mbela ya vifaru vya jeshi! Sasa itakuwa aibu yenu mkikimbia defenda za polisi!
Ni dhahiri kuwa sasa hivi CCM hawana ubavu wa kujitetea kuhusu uvunjwaji wa katiba/sheria. Wako bize kushangilia maandalizi ya polisi na kuwatishia watz, ili kuficha AIBU. Hiyo imeshaingia kwenye records.
 
"I don't even call it violence when it's in self defense, I call it intelligence" Malcom X
 
Tuuachie muda,tumebakiza masaa kadhaa kuifikia hiyo siku.Mara ya kwanza 1st/Sept ilionekana iko mbali,naona vichwa vinawapata moto kuona wajenzi wa UKUTA hawajakata tamaa.
 
The greatest fear is when you fear the unknown.
Akihutubia hiyo tarehe 31 basi ujue anawaogopa ye awaache tu aone kama wataandamana.
Ila pia polisi wamechoka mwezi mzima mazoezi ya kumkabili usiemjua inasikitisha sana!!!
inafaa IGP awashukuru sana chadema Kwa sababu wamewafanya polisi wafanye mazoezi wapunguze Vitambi wengi walikuwa wamenenepa sana .
 
Mimi najua lazima tarehe 31, mwishon mwa mwezi wa 8 lazima atasisitiza serikali kuhamia dodoma tu alafu ndio tanzania ya viwanda ijiandae.
 
Chadema imesaidia Afya za polis kuimarika sana baada ya kufanya mazoezi Mwezi mzima na endapo operation ya UKUTA isingetangazwa pengine wangesalia na Vitambi vyao pasipo kufanya mazoezi .
 
badala ya kujenga nchi anaishia kufukuzana fukuzana tu na wapinzani,maaendeleo hakuna kila siku teua ,tengua tu....
Pesa inayotumika kupambana na UKUTA ni nyingi sana ni Pesa ambayo ingeweza kujenga shule kibao na kujenga hospital ingine kubwa ya rufaa , lakini sasa wameelekeza mamilion yote kwenye UKUTA pasipo kutafuta ufumbuzi Kwa njia za Amani na kuokoa hizo Pesa .
 
Hawa jamaa wanatumia nguvu nyingi kuliko akili,Ni taabu polisiccm wanatumiwa kama hawana weledi,tatizo hata usalama wa taifa umekuwa ni usalama wa chama.Ni aibu aisee na Magu akitangaza hali ya hatari,basi aruhusu jeshi liingie mtaani.
Polis wengi wanaishi uswahilini na wananchi wamepanga huko wemgine wamejenga humo huku wemgine wanaishi vituoni kwenye nyumba za ajabu zisizo na ubora wa kuishi Asikari , badala ya kutumia hiyo Pesa kuwajengea nyumba nzuri na kuboresha makazi Yao wanatumia hiyo Pesa kununulia mabomu ya machozi na kuhangaika kunyamazisha UKUTA huku Lizabon na kikundi chake wakila Pesa nyingi Kwa ajili ya kuchochea vurugu CUF kupitia mgongo wa Lipumba ambaye sasa kawa mchunaji wa Pesa za CCM mpaka wakakosa Pesa za kufanya mkutano Mkuu lakini za Lipumba zipo mda wote.
 
"KIONGOZI ANAYEONGOZA MIHOYO YA WATU, ATATUMIA KIASI KIKUBWA CHA BAJETI KUFANYA MAMBO YA MAENDELEO. LAKINI KIONGOZI ANAYEONGOZA MIILI YA WATU ATATUMIA KIASI KIKUBWA CHA BAJETI KUNUNUA MABOMU YA MACHOZI"-----Shaban Robert.
 
Polis wengi wanaishi uswahilini na wananchi wamepanga huko wemgine wamejenga humo huku wemgine wanaishi vituoni kwenye nyumba za ajabu zisizo na ubora wa kuishi Asikari , badala ya kutumia hiyo Pesa kuwajengea nyumba nzuri na kuboresha makazi Yao wanatumia hiyo Pesa kununulia mabomu ya machozi na kuhangaika kunyamazisha UKUTA huku Lizabon na kikundi chake wakila Pesa nyingi Kwa ajili ya kuchochea vurugu CUF kupitia mgongo wa Lipumba ambaye sasa kawa mchunaji wa Pesa za CCM mpaka wakakosa Pesa za kufanya mkutano Mkuu lakini za Lipumba zipo mda wote.
Mnajua Serekali itatumia pesa kudhibiti. badala ya kufanya maandamano na badala yake kuhamasisha maendeleo na mnajua kabisa mnapoleta fyokofyoko Polisi itatumia hizo pesa bado mnaanadamana, Chanzo cha matumizi ya pesa ni nani?
 
Wewe jamaa unaletaga habari za jikoni kabisa...
[emoji122][emoji122][emoji122]
Tumeanza kuyaona sasa.
 
"Our lives begin to end the day we become silent about things that matter" Martin Luther King, Juniour.
 
Back
Top Bottom