Tetesi: Si shwari, rais Magufuli kutangaza mazito August 31 siku moja kabla ya UKUTA

Tetesi: Si shwari, rais Magufuli kutangaza mazito August 31 siku moja kabla ya UKUTA

Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.

Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.

Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.

#UKUTA for Democracy!
Hii tension yote ni ya kujitakia. Haikupaswa kabisa kuwepo. Nadhani nimeeleweka. Narudia tena, haikupaswa kuwepo.
 
Kwa kuwa umemuona Baba yako na mama yako wakinyea ndoo kwa uchafu wao basi unadhani kila mtu! Mpumbavu mkubwa wewe. Peleka utaahira wako Lumumba siyo humu.

AC

HA KUWATISHA WATU WEWE BAK! Huna lolote zaidi ya kunyea ndoo...baada ya maneno yako machafu kumtukana Mheshimiwa Rais...
 
Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.

Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.

Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.

#UKUTA for Democracy!
Busara na sio nguvu zitaiepusha nchi yetu kuingia kwenye machafuko. Hawa jamaa wanataka wafanye mikutano yao kwa nini isiwe ruksa? Nimesikia na nimesoma huku jamvini kuwa maandamano ya UKUTA hayana tija. Sasa Kama ni hivyo si waachieni wafanye ? Mr President please don't let our country loose her integrity. Please let the people do what they want as long as they are not violating the constitution. Waachieni wafanye mikutano. Huo ndio upinzani!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Umeona eeh! hayana tija sasa wasi wasi wa nini. Na nyinyi si mfanye mikutano yenu ya kugipia debe ufyatuaji wa watoto wataosomeshwa bure hadi Sekondari kasha kutelekezwa? Tatizo ni nini hasa? Eh! Mungu inusuru nchi yetu.

Busara na sio nguvu zitaiepusha nchi yetu kuingia kwenye machafuko. Hawa jamaa wanataka wafanye mikutano yao kwa nini isiwe ruksa? Nimesikia na nimesoma huku jamvini kuwa maandamano ya UKUTA hayana tija. Sasa Kama ni hivyo si waachieni wafanye ? Mr President please don't let our country loose her integrity. Please let the people do what they want as long as they are not violating the constitution. Waachieni wafanye mikutano. Huo ndio upinzani!
 
Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.

Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.

Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.

#UKUTA for Democracy!
Atangaze tu ili alikoroge zaidi, tunamjua ye Mzee wa Mizuka...na wazingire tu ofisi, kwani sisi hulala ofisini kama yeye anavolala Ikulu?
 
Atangaze kuachana na udikteta uchwara na kuanza kuiheshimu katiba ya nchi atangaze Wabunge wote wa upinzani waliofukuzwa bungeni sasa wana haki ya kuruhusiwa kuingia Bungeni atangaze kuacha kuingilia na kuvuruga vikao vya Bunge ili kuwadhibiti wapinzani
we mse#$*nge nini, nani aliwafukuza wabunge wa upinzani? nakuuliza nani aliwafukuza? wee ku#$*ma nini? walitumwa na bibi zako ili watoje bungeni?
 
Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.

Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.

Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.

#UKUTA for Democracy!
Hawa jamaa wanatumia nguvu nyingi kuliko akili,Ni taabu polisiccm wanatumiwa kama hawana weledi,tatizo hata usalama wa taifa umekuwa ni usalama wa chama.Ni aibu aisee na Magu akitangaza hali ya hatari,basi aruhusu jeshi liingie mtaani.
 
Walisema vyama vya upinzani vimekufa wakati sasa waache waandamane waone kama watakosa watu
 
Kwi kwi kwi kwi lol! Ndiyo uwezo wako wa kupanga hoja ulipoishia hapo! Pole zako nyingi.

we mse#$*nge nini, nani aliwafukuza wabunge wa upinzani? nakuuliza nani aliwafukuza? wee ku#$*ma nini? walitumwa na bibi zako ili watoje bungeni?
 
nasikia baada ya kufanikiwa kwenye tamko la bavicha na sasa ukuta linakuja tamko la bawacha kuanzia October mosi?
hakuna kulala kwa serikali na polisi ni nginjanginja Mwanzo mwisho.
 
Duh bas watangaze iwe public holiday pia ili tukae majumbani tuwatizame wanaotunishiana misuli
mechoka mim na hiz habari na tishio za ukata sijui ukuta
 
Habari nilizopata kutoka jikoni zinasema kuwa siku ya August 31 mwaka huu, siku moja kabla ya UKUTA rais John Pombe Magufuli anatarajiwa kutangaza mambo mazito kwa watanzania.

Inasemekana kuwa rais anatarajiwa kuliweka jeshi la polisi katika tahadhari kubwa huku kukiwa na mazuio kadhaa yatakayo ambatana na tahadhari hiyo kwa jeshi la polisi.

Kwa mara ya kwanza katika historia ya nchi kunatarajiwa kuwa na operesheni nzito ya jeshi la polisi na huenda kukatumika nguvu kubwa zaidi katika kukabiliana na Chadema nchi nzima.

Aidha nimedokezwa kuwa ofisi zote za Chadema nchini zinatarajiwa kuzingirwa na jeshi la polisi siku hiyo ya september moja.

#UKUTA for Democracy!
Itakuwa umepatwa na kichaa nenda kapimwi .
 
Nadhani waziri wa mambo ya ndani anatosha. rais ana kazi nyingi!
 
Back
Top Bottom