Si tuliambiwa GSM ataishia kwenye mabango? Imekuwaje tena nembo yake iwe kwenye jezi za Simba?

Kisheria bodi ya ligi/tff ndio wasimamizi wa mpira wa nchi hii, na mikataba yote hususani inayohusiana na udhamini wa ligi nzima , wao ndio wanaingia.Kwani huo udhamini wa azamu, Nbc bank, mbona hawakuhusishwa?na hata huko nyuma toka enzi za vodacom, tbl hawakuwahi kuhusishwa, na ndio maana huwa suala la logo huwa linaleta utata mala tu mdhamini anapokuwa ametangazwa?
 
Mbona simple tu MO na Vunja bei wapeleke ombi TFF la kudhamini ligi kuu.Ili Yanga nao wavae nembo original ya MO na Vunja bei.Niutani tu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyo CEO angeachana na hizo mambo, hiyo sio asili yetu wala asifikirie kwamba sisi mashabiki tuna noma na hiyo logo
Safi kabisa wewe unafaa kuwa kwenye management ya makolo
 
Tupia kapicha basi muzee.
 
Hayo Sasa Ni masuala ya kimkataba Baina ya hao GSM na waendeshaji wa ligi husika. Ninachopinga Ni kusema GSM Ni Yanga sc

Nani kakwambia hapa Yanga imehusishwa? Mbona wewe ndiyo unaonekana kuongozwa na mihemuko,umeona tu Simba wamepinga,ukaja na sababu zako kichwani kuwa Sababu GSM ni Yanga,tuonyeshe sehemu CEO wa Simba kaihusisha Yanga katika sababu alizozitoa
 
Hahaha...

Makolo si nao wamwambie Mudi aweke mpunga ili Utopolo nao wavae jezi zenye yale makolo ya Mudi...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…