Bepari la Kinyambo
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 852
- 1,081
Manara analeta upuuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida MO amepiga hela kisha ameitelekeza timu.Ilitakiwa moto kwa moto watoe hela nao kudhani ligi kuu .Ili Yanga nao wavae nembo ya MO na Vunja beiHahaha...
Makolo si nao wamwambie Mudi aweke mpunga ili Utopolo nao wavae jezi zenye yale makolo ya Mudi...
Hakuna haja, kuweka mpunga huko ni kunufaisha wengine bila sababu. Si vema kukitwaa chakula cha watoto na kuwatupia mbwa. Simba wavae tu wala hakuna shidaHahaha...
Makolo si nao wamwambie Mudi aweke mpunga ili Utopolo nao wavae jezi zenye yale makolo ya Mudi...
Shida MO amepiga hela kisha ameitelekeza timu.Ilitakiwa moto kwa moto watoe hela nao kudhani ligi kuu .Ili Yanga nao wavae nembo ya MO na Vunja bei
Hakuna haja, kuweka mpunga huko ni kunufaisha wengine bila sababu. Simba wavae tu wala hakuna shida
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbavu zanguHahah...
Tena jezi ya Utopolo inakuwa na logo ya Mo Xtra kwenye makalio kama majezi ya timu za uarabuni
Na kisheria na kikanuni nembo ya mdhamini mkuu ndio inayokaa ktk jezi ya timu ,na ndio maana ilitakiwa kama kanuni au sheria imebadilishwa kuwa kwamba ata mdhamini mwenza akae ktk jezi basi ilitakiwa wadau na vilabu washirikishwe ,hii ni sawa sawa bunge kupitisha sheria pasipo kushirikisha wabunge wenyeweKisheria bodi ya ligi/tff ndio wasimamizi wa mpira wa nchi hii, na mikataba yote hususani inayohusiana na udhamini wa ligi nzima , wao ndio wanaingia.Kwani huo udhamini wa azamu, Nbc bank, mbona hawakuhusishwa?na hata huko nyuma toka enzi za vodacom, tbl hawakuwahi kuhusishwa, na ndio maana huwa suala la logo huwa linaleta utata mala tu mdhamini anapokuwa ametangazwa?
Wakifanya hivyo watakua wametatua tatizo?Mbona simple tu MO na Vunja bei wapeleke ombi TFF la kudhamini ligi kuu.Ili Yanga nao wavae nembo original ya MO na Vunja bei.Niutani tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli we mpira hujui Wala hufuatilii ,nenda kaitazame Jersey ya Chelsea kifuani utaiona Nike pale .Ushabiki ukizid unageuka ujingaNike ina jezi gani mkuu?
Sasa wewe hiyo jezi ni ya chelsea au nike?Kweli we mpira hujui Wala hufuatilii ,nenda kaitazame Jersey ya Chelsea kifuani utaiona Nike pale .Ushabiki ukizid unageuka ujinga
[emoji23][emoji23]safi sana.
Hivi unajua mtaani Mashabiki wa Yanga wanavyo tuponda.Ikitokea Yanga wameifunga Simba na nembo yao ya GSM?Wakifanya hivyo watakua wametatua tatizo?
Adidas ni kampuni logo yao inaweza kuwa kwenye jezi za nike?
Umesoma barua ile lakini? Yanga imetajwa mara ngapi mle?Nani kakwambia hapa Yanga imehusishwa? Mbona wewe ndiyo unaonekana kuongozwa na mihemuko,umepna tu Simba wamepinga,ukaja na sababu zako kichwani kuwa Sababu GSM ni Yanga,tuonyeshe sehemu CEO wa Simba kaihusisha Yanga katika sababu alizozitoa
Na mashabiki wa Utopolo wengi ni machoko na wengine ni mataahira kama weweHizo ndio akili za mashabiki wengi wa mikia. Wengi ni vichaa na watoto. Wengi hawajitambui kama wewe hapo.
Kisheria bodi ya ligi/tff ndio wasimamizi wa mpira wa nchi hii, na mikataba yote hususani inayohusiana na udhamini wa ligi nzima , wao ndio wanaingia.Kwani huo udhamini wa azamu, Nbc bank, mbona hawakuhusishwa?na hata huko nyuma toka enzi za vodacom, tbl hawakuwahi kuhusishwa, na ndio maana huwa suala la logo huwa linaleta utata mala tu mdhamini anapokuwa ametangazwa?