Siamini Baltasar Engonga alikuwa na hela za kuwarubuni wake za watu wazito waliohusika kwenye sakata hili. Tatizo ni wanawake wenyewe

Siamini Baltasar Engonga alikuwa na hela za kuwarubuni wake za watu wazito waliohusika kwenye sakata hili. Tatizo ni wanawake wenyewe

Kwa kifupi jamaa alimla shangazi yake yani
Shangazi mama mdogo sijui binadamu mpwa mama mkubwa mbona hao wanalikaga tu vizuri na Mungu anapotezea.

Hawa ambao hawaliki na hairusiwi kabisa ni bibi yako, mama yako na binti yako baas. Lakini wengine ni eligible without hesitation.

Cc mwandende

Nyau de adriz
 
Mwakaleli alishaharibu kitambo ni baada ya kumla mke wa aliyekua mwalimu wake wa kipaimara wakati huo jamaa akiwa bado ni kinda wa miaka 16 tu ndiyo akaona soo akatimkia zake huko Equatorial Guinea. Sema kwao kwa mzee Mwaegonga hela ipo.
Unataka kusemaje!
Huyu mhuni ni Mtanzania? Au jina lake ndio imeonekana mnyakyusa?
 
List ya wanawake anaotajwa kuwashughulikia Baltasar Mwaegonga ni kama ifuatavyo:

1. Wake wa mawaziri 20,
2. Mke wa mchungaji kanisa anakosali
3. Mtoto wa mdogo wake rais wa nchi
4. Mke wa mjomba wake mjamzito
5. Mke wa mkuu wa polisi
6. Mke wa mkuu wa idara ya usalama wa rais
7. Wake wa maafisa waandamizi wa jeshi
8. Mke wa mwanasheria mkuu wa serikali
9. Mke wa mdogo wake
10. Mke wa mlinzi wa rais
11. Wafanyakazi wenzake
12. Wake wa ndugu jamaa na marafiki

Idadi inatajwa kuwa wanawake takribani 400.

Huyu jamaa Ni mnyakyusa iliyekuwa na makazi yake huko nchini Equatoria Guinea, anaitwa Baltazar Mwaegonga na ni mwamba kwelikweli fikiria ujasiri wa kunyandua wake wa maafisa wa jeshi, polisi, usalama na mawaziri mpaka mke wa baba mchungaji wake aliutoa wapi? Kapeperusha vyema sana bendera ya Tukuyu.

Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Ukiwa na pesa na yeye akawa na pesa anataka kile ambacho hana. Hawa wenye pesa wanataka masihara zaidi
 
Na huu ndo ukweli sasa sio wewe kisa eti ni afisa usalama basi muda wote hata ukiwa hom unasoma mavitabu ya kijasusi tu. Kumbuka ana boda boda wake huyo oohoooo!!!
Hawa watu wajinga sana. Ndio maana watu kama kina Elon Musk, Jeff Bezos na wengine hawataki kabisa habari ya kuwa na mke. Atataka attention yako kila wakati kwa vitu vya kipumbavu sana. Hawana ukomo wa watakavyo. Mnunulie ndege, atatoka na boda anaemletea pipi au chocolate
 
Sema kwa vimbumbu hv vinavyonuka visamaki Yann kumaliza nguvu hakuna tuzo ya mshunduaji bora Sema kula nyama nyamaza
100 ni minimal amount tu, ili kujaribu angalau kumfikia mkurugenzi mwandamizi kiongozi wetu BALTASAR
 
Kuwa selective kama alivofanya kiongozi wetu, chukua wanaojielewa. Kuna vimbumbu ni vitamu na vinanukia utatamani hata kula kwa meno
kama ile moja sijui ndo mke wa mchungaji yule kasuka nywele mistari mitatu ya kurudi nyuma anakata mauno kiufundi balaa alafu anaiskilizia kabisa. Kiukweli wala hawajapewa hela wale.
 
Back
Top Bottom