Siamini Baltasar Engonga alikuwa na hela za kuwarubuni wake za watu wazito waliohusika kwenye sakata hili. Tatizo ni wanawake wenyewe

Siamini Baltasar Engonga alikuwa na hela za kuwarubuni wake za watu wazito waliohusika kwenye sakata hili. Tatizo ni wanawake wenyewe

Hii habari kweli ila Kuna uhongo ndani yake.
Sio kwamba ni 400 women mimi nimeona video kama 40 hivi.
Video hizo kama kumi na 3 hivi ni Ke mmoja.
Tena video kama zaidi ya 8 hivi anashiriki mapenzi ya jinsia Moja.
Video kama 4 ndo huyo na jamaa sehemu tofauti tofauti.
Kuna video ya mdada mmoja vipo mbili.
Na Kuna jamaa alimtekodi mkewe analalamika yeye video zake zipo 3 ila hazijasambaa.

Kuna sources zingine zinasema huyu ni mke wa waziri flani, source yengine zinasema ni mke wa police mkubwa kitengo gani . Ukiangalia ni Ke Moja 1.

Kuna clip nyingine wanasema ni mke wa waziri sehemu zingine wanasema ni ke wa mkuu wa police.

Habari ni ya kweli ila Kuna upotoshaji mkubwa.
Ni kwamba wamekuta video 400.
Na wanawake tofauti ila sio Kila video ni Ke tofauti .

According to government Yao. Wake wa viongozi sehemu tofauti tofauti ni 20 tuu.
Wengine hao sio wake wa wakubwa.
Ni wake wa watu wa kawaida wengine ni Malaya wengine ni mabinti wanafanya kazi sehemu Moja.
Kwamba kuna video alikuwa anawaingilia wanaume wenzie?
 
Sina full context ya hiyo taarifa. Lakini kwa udadisi tu kuna uwezekano hao wanawake wote ni Wafanyakazi au wasomi wanaotafuta kazi. Sababu mwanamke ni kiumbe kilichokuwa-programmed kuhudumiwa, na yeye ata automatically reciprocate hiyo treatment kwa mwili wake. Au wanaita kurudisha fadhila kwa kiswahili. It's in their nature. Hivyo ni vizuri mwanamke akiolewa akae nyumbani alee familia na mwanaume awe full support system.

Vinginevyo huko kazini ndio kutageuka nyumba na boss anayempa mshahara atamuona equivalent au kama mume. Na ndio maana wanawake wengi wenye kazi (hasa sekta binafsi) hawaheshimu ndoa zao, sababu ameolewa mara mbili. Kifuatacho tumia akili yako mwenyewe.

Alafu hao wanawake ni wakawaida kinyama, ni below, below average. Ina make sense kuwapata kirahisi sababu hawana soko, hivyo yoyote atayeonesha interest hata kama ni kiwete hawawezi kataa.
 
Kuna dogo nilikuwa namwita freemason mdogo,yule dogo alikuwa anapendwa sana na wanawake wa rika lote

Nilishangaa mpaka kibinti kimoja kilikuwa kinajifanya kilokole sana kikawa kinawatolea nje jamaa tena kwa ukali lakin cha ajabu alitulia kwa huyo dogo freemason na mpaka kufikia kuwa na mapenzi ya wazi
Vidogo vingine vimechanjia sio bure kipo kimoja huku kilitolewa bush huko na jamaa flan ana ka kasaluni alafu humo humo saluni alidizaini kachumba kadogo sana jamaa akamwambia dogo awe analala tu humo humo sasa dogo kavunja bikra za videm kibao pale maeneo na kadogo hakakataliwi videm vinakuja tu tena vingine vya kishua kabisa vingine kwao maadili yanazingatiwa hasa na vinawazingua majamaa wengine kibao lakini et vinakuja kunyoa kwa dogo na vinafunga safari toka umbali kiasi kumbe baada ya kunyoa dogo anaviingiza chemba anavinyoa tena ***** dogo mpaka walitaka wamfukuze mtaa
 
List ya wanawake anaotajwa kuwashughulikia Baltasar Mwaegonga ni kama ifuatavyo:

1. Wake wa mawaziri 20,
2. Mke wa mchungaji kanisa anakosali
3. Mtoto wa mdogo wake rais wa nchi
4. Mke wa mjomba wake mjamzito
5. Mke wa mkuu wa polisi
6. Mke wa mkuu wa idara ya usalama wa rais
7. Wake wa maafisa waandamizi wa jeshi
8. Mke wa mwanasheria mkuu wa serikali
9. Mke wa mdogo wake
10. Mke wa mlinzi wa rais
11. Wafanyakazi wenzake
12. Wake wa ndugu jamaa na marafiki

Idadi inatajwa kuwa wanawake takribani 400.

Huyu jamaa Ni mnyakyusa iliyekuwa na makazi yake huko nchini Equatoria Guinea, anaitwa Baltazar Mwaegonga na ni mwamba kwelikweli fikiria ujasiri wa kunyandua wake wa maafisa wa jeshi, polisi, usalama na mawaziri mpaka mke wa baba mchungaji wake aliutoa wapi? Kapeperusha vyema sana bendera ya Tukuyu.

Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Ziko wapi? link iko wap?
 
List ya wanawake anaotajwa kuwashughulikia Baltasar Mwaegonga ni kama ifuatavyo:

1. Wake wa mawaziri 20,
2. Mke wa mchungaji kanisa anakosali
3. Mtoto wa mdogo wake rais wa nchi
4. Mke wa mjomba wake mjamzito
5. Mke wa mkuu wa polisi
6. Mke wa mkuu wa idara ya usalama wa rais
7. Wake wa maafisa waandamizi wa jeshi
8. Mke wa mwanasheria mkuu wa serikali
9. Mke wa mdogo wake
10. Mke wa mlinzi wa rais
11. Wafanyakazi wenzake
12. Wake wa ndugu jamaa na marafiki

Idadi inatajwa kuwa wanawake takribani 400.

Huyu jamaa Ni mnyakyusa iliyekuwa na makazi yake huko nchini Equatoria Guinea, anaitwa Baltazar Mwaegonga na ni mwamba kwelikweli fikiria ujasiri wa kunyandua wake wa maafisa wa jeshi, polisi, usalama na mawaziri mpaka mke wa baba mchungaji wake aliutoa wapi? Kapeperusha vyema sana bendera ya Tukuyu.

Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Tatizo viboba wengi hawawezi kuwa Kuna wake zao acha wasaidiwe
 
Hivi atashitakiwa kwa kosa gani?
Hana kosa hata moja. Maana walijipeleka wenyewe na hakuwabaka. Tena ukiangalia zile video wanatoa ushirikiano wa kutosha na wanajua kabisa kuwa wanarekodiwa. Wengine ndiyo kwanza wanarekebisha kamera au kujisogeza kabisa kwenye kamera. Mnyakyusa wa watu hana kosa!

IMG-20241106-WA0007.jpg
 
List ya wanawake anaotajwa kuwashughulikia Baltasar Mwaegonga ni kama ifuatavyo:

1. Wake wa mawaziri 20,
2. Mke wa mchungaji kanisa anakosali
3. Mtoto wa mdogo wake rais wa nchi
4. Mke wa mjomba wake mjamzito
5. Mke wa mkuu wa polisi
6. Mke wa mkuu wa idara ya usalama wa rais
7. Wake wa maafisa waandamizi wa jeshi
8. Mke wa mwanasheria mkuu wa serikali
9. Mke wa mdogo wake
10. Mke wa mlinzi wa rais
11. Wafanyakazi wenzake
12. Wake wa ndugu jamaa na marafiki

Idadi inatajwa kuwa wanawake takribani 400.

Huyu jamaa Ni mnyakyusa iliyekuwa na makazi yake huko nchini Equatoria Guinea, anaitwa Baltazar Mwaegonga na ni mwamba kwelikweli fikiria ujasiri wa kunyandua wake wa maafisa wa jeshi, polisi, usalama na mawaziri mpaka mke wa baba mchungaji wake aliutoa wapi? Kapeperusha vyema sana bendera ya Tukuyu.

Soma: Guinea: Kigogo anaswa na video 400 za ngono na wake wa viongozi mashuhuri, mwanasheria Mkuu aingilia kati
Na sidhani kama ni tatizo mtu kuamua kuliwa yeye kama yeye Kwa starehe zake binafsi ikiwa amezikosa huko kwingineko.

Lakini haiondoi ukweli kwamba yule Jamaa alikuwa anatumia njia ya kutembea na wanawake Kwa faida za kuuza porno
 
Vidogo vingine vimechanjia sio bure kipo kimoja huku kilitolewa bush huko na jamaa flan ana ka kasaluni alafu humo humo saluni alidizaini kachumba kadogo sana jamaa akamwambia dogo awe analala tu humo humo sasa dogo kavunja bikra za videm kibao pale maeneo na kadogo hakakataliwi videm vinakuja tu tena vingine vya kishua kabisa vingine kwao maadili yanazingatiwa hasa na vinawazingua majamaa wengine kibao lakini et vinakuja kunyoa kwa dogo na vinafunga safari toka umbali kiasi kumbe baada ya kunyoa dogo anaviingiza chemba anavinyoa tena ***** dogo mpaka walitaka wamfukuze mtaa
aIsee ni maajabu

Huyo dogo ninae msema cha ajabu hata hakuwa na pesa sana,mwonekano wako alikuwa mfupi ila sio sana,mweusi ila pamba zilikuwa zinamkaa poa sana ,afu alikuwa smart kias
 
Mzigo huo hapo wale wa connection🔥🔥 PAWS Landfill gas! PAWS is the new leader! 🐾
 
Inaonekana huyu jamaa ni handsome boy ndio maana wanawake wanampapatikia awaonjee mpiko
Anajua kutia vizuri. Wanawake wakasimuliana ndiyo maana hata kwenye video wanaonekana kuwa na hamu sana na dudu yake na wanagugumia sana
 
Back
Top Bottom