Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Ukraine, mwaka 2005Nchi gani serikali ilikuwa na silaha zote na bado ilishindwa na wananchi wasio na silaha bila huruma na kuangalia ubinadamu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukraine, mwaka 2005Nchi gani serikali ilikuwa na silaha zote na bado ilishindwa na wananchi wasio na silaha bila huruma na kuangalia ubinadamu?
Unajua jinsi gani Hossein Mubarak wa Egypt alivyokuwa anaogopeka kwa mkono wa chuma,nini kilimkuta?Iliangushwa na NATO. Au unataka kusema ni nguvu ya umma
Sasa wazungu wasingetusaidia si jpm angetunyonga wote. Thanks to wazunguWazungu wanaipa dunia tabu sana, wanaamini kila wanachoanzisha kinapaswa kufuatwa na kutekelezwa kokote duniani.
Dunia ya sasa imeharibika sababu ya demokrasia. Demokrasia ni nzuri lakini imesababisha matatizo sana.
Hivi kweli serikali yenye kila zana inawezaje kushindwa au kuangushwa na nguvu za wananchi ambao hawana silaha? Kama hii dhana inafanya kazi vizuri ingekuwa ishakomboa nchi kama Urusi,Uchina,Uganda na N. Korea na nchi nyingine ambazo demokrasia kwao ni mwiko.
Watu pekee wanaoweza kupambana na serikali labda waasi au jeshi. Yani silaha kwa silaa sio silaha kwa mkono mtupu. Utatolewa utumbo bure na watu wataendelea na maisha.
Ufilipino mwaka 1986 na 2001Nchi gani serikali ilikuwa na silaha zote na bado ilishindwa na wananchi wasio na silaha bila huruma na kuangalia ubinadamu?
Armenia 2018, Georgia 2003Nchi gani serikali ilikuwa na silaha zote na bado ilishindwa na wananchi wasio na silaha bila huruma na kuangalia ubinadamu?
Acha uvivu wa kutaka kuambiwa, kawaulize au soma kama hao madikteta waliondoka kwa sababu walikuwa na huruma halafu uje utuambie wewe kwa nini hao wengine kwenye hizo nchi nyingine hawana huruma.Unataka kuniambia serikali yao haikuwa na silaha za chuma? Au ni huruma tu ya kuogopa kuuwa watu wengi? Hiyo nguvu ya umma mbona haifanikiwi kwenye nchi nyingine?
Dunia iliingilia bana,yani nguvu ya umma haiwezi kushinda serikali bila kupata misaada nje. Ndio maana unaona nchi imara kama China na Urusi hazikubali uingiliaji wowote wa nje inahusu kuwashughulikia wanaharakati wake.Pia unaweza kwenda hapo Afrika Kusini karibu kuwauliza makuburu sababu zilizowafanya waachie madaraka wakati walikuwa na silaha zote bora duniani.
Ndio ila lazima umma uanzishe habari zikisambaa ndio wadau wa jumuiya ya Madola waingilie kati au UN huko waingilie pambano na kuwaamuru CCM wasepeDunia iliingilia bana,yani nguvu ya umma haiwezi kushinda serikali bila kupata misaada nje. Ndio maana unaona nchi imara kama China na Urusi hazikubali uingiliaji wowote wa nje inahusu kuwashughulikia wanaharakati wake.
Bila Mataifa makubwa kama US,UK na kuingilia kati umma wa watz unaweza kuiangusha serikali, wewe unaamini kabisa mkuu?Ndio ila lazima umma uanzishe habari zikisambaa ndio wadau wa jumuiya ya Madola waingilie kati au UN huko waingilie pambano na kuwaamuru CCM wasepe
Sio rahisi watanzania ni waoga sana😅Bila Mataifa makubwa kama US,UK na kuingilia kati umma wa watz unaweza kuiangusha serikali, wewe unaamini kabisa mkuu?
Yeye bado anaamini kwenye mabomuUshindi katika mapambano siku zote ni matokeo ya ushirikiano "cooperation" zaidi kuliko silaha au wingi ndio maana unaona chama cha kikomunisti cha China(CCP) chenye wanachama milioni 95 tu kimeweza kuwatala watu bilioni 1.2 au Uingereza ambayo ni robo ya Tanzania tu kuna wakati ilitawala theluthi moja ya dunia katika kilele cha himaya yake.
Futa hizo fikira zao za kizamani anza kuwaza upyaWazungu wanaipa dunia tabu sana, wanaamini kila wanachoanzisha kinapaswa kufuatwa na kutekelezwa kokote duniani.
Dunia ya sasa imeharibika sababu ya demokrasia. Demokrasia ni nzuri lakini imesababisha matatizo sana.
Hivi kweli serikali yenye kila zana inawezaje kushindwa au kuangushwa na nguvu za wananchi ambao hawana silaha? Kama hii dhana inafanya kazi vizuri ingekuwa ishakomboa nchi kama Urusi,Uchina,Uganda na N. Korea na nchi nyingine ambazo demokrasia kwao ni mwiko.
Watu pekee wanaoweza kupambana na serikali labda waasi au jeshi. Yani silaha kwa silaa sio silaha kwa mkono mtupu. Utatolewa utumbo bure na watu wataendelea na maisha.
Unamaanisha chadema ni chama tepetepe na legelege kwa wanachama wao ambao walitangaza hivi karibu kufikia milioni 8??Wazungu wanaipa dunia tabu sana, wanaamini kila wanachoanzisha kinapaswa kufuatwa na kutekelezwa kokote duniani.
Dunia ya sasa imeharibika sababu ya demokrasia. Demokrasia ni nzuri lakini imesababisha matatizo sana.
Hivi kweli serikali yenye kila zana inawezaje kushindwa au kuangushwa na nguvu za wananchi ambao hawana silaha? Kama hii dhana inafanya kazi vizuri ingekuwa ishakomboa nchi kama Urusi,Uchina,Uganda na N. Korea na nchi nyingine ambazo demokrasia kwao ni mwiko.
Watu pekee wanaoweza kupambana na serikali labda waasi au jeshi. Yani silaha kwa silaa sio silaha kwa mkono mtupu. Utatolewa utumbo bure na watu wataendelea na maisha.
Sijui kama una kumbukumbu sawasawa, hebu kumbuka mapinduziya miaka mitatu iliyopita ktk nchi za kaskazini mwa afrika, wananchi walitumia nguvu ya umma kuondoa serikali zilizojigamba kwa mabomu, silaha za kijeshi na vifaru juu lakini ziliondolewa!Nchi gani serikali ilikuwa na silaha zote na bado ilishindwa na wananchi wasio na silaha bila huruma na kuangalia ubinadamu?
Amandla Awethu!Wazungu wanaipa dunia tabu sana, wanaamini kila wanachoanzisha kinapaswa kufuatwa na kutekelezwa kokote duniani.
Dunia ya sasa imeharibika sababu ya demokrasia. Demokrasia ni nzuri lakini imesababisha matatizo sana.
Hivi kweli serikali yenye kila zana inawezaje kushindwa au kuangushwa na nguvu za wananchi ambao hawana silaha? Kama hii dhana inafanya kazi vizuri ingekuwa ishakomboa nchi kama Urusi,Uchina,Uganda na N. Korea na nchi nyingine ambazo demokrasia kwao ni mwiko.
Watu pekee wanaoweza kupambana na serikali labda waasi au jeshi. Yani silaha kwa silaa sio silaha kwa mkono mtupu. Utatolewa utumbo bure na watu wataendelea na maisha.
Pale Ulitumika ubinadamu sababu tu sio kama serikali ilishindwa. Mbona kwa Asad walishindwa?Sijui kama una kumbukumbu sawasawa, hebu kumbuka mapinduziya miaka mitatu iliyopita ktk nchi za kaskazini mwa afrika, wananchi walitumia nguvu ya umma kuondoa serikali zilizojigamba kwa mabomu, silaha za kijeshi na vifaru juu lakini ziliondolewa!