Siamini kama bwawa la "stigler gorge" litamaliza tatizo la mgao wa umeme nchini

Siamini kama bwawa la "stigler gorge" litamaliza tatizo la mgao wa umeme nchini

Tulikuwa na rais kichaa ambaye aliwahi kutamka hadharani kuwa "mmi sishauriki, ten ukinishauri ndiyo unaharibu kabisa"

Huyu ndiye aliyeanza kumwaga mipesa kwenye mradi uliopitwa na zama wa kuzalisha umeme kwa maji. Mama anaingia madarakani tayari mipesa mingi imefukiwa pale. Anachofanya mama ni kuendelea kuimwaga mipesa ili walau turudishe hata 1 ya 10 ya mipesa iliyomwagwa pale.

Lkn kiukweli kwa mabadiliko ya tabia nchi yaliyoikumba dunia kujenga bwawa ni ushamba, upumbavu na kupoteza fedha. Dunia imehama huko hivi Sasa, ipo kwenye solar energy,, wind energy, geothermal energy, wave energy na nuclear energy.

China mpaka leo hii wapo site wanajenga bwawa la umeme nchini kwao. Je wachina hawana akili ?
 
Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.

Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.

Swali la kujiuliza ni hili..

Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?

NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
Hiyo yote ni miradi wa watu wachache
 
Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.

Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.

Swali la kujiuliza ni hili..

Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?

NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
Wewe kweli mwehu! Usikute hata account jf umefunguliwa na shemeji!! Wataalamu wamepima na kuona hivyo alafu wewe chokoraa tu mmoja huko ukerewe unakuja kuropoka utumbo
 
Wote tunajua bwawa hili linatumia maji ya mto/mito kama yalivyo mabwawa mengine tuliyo nayo hapa nchini.

Na kutokana na tatizo la mvua kwenye mabwawa yaliyopo tumekua tukiambiwa uzalishaji umeme umepungua kwasababu mvua zimepungua hivyo tujiandae kwa mgao.

Swali la kujiuliza ni hili..

Kwa uwepo wa mabadiliko ya tabia ya nchi na kutokana na ukweli kwamba bwawa la "stigler gorge" nalo linategemea mito/mvua je siku mvua zikipungua hatutakua na tatizo la mgao wa umeme?

NB: Hapa ninapoandika hii posti TANESCO wamekata umeme na simu ina 8% tu.
Kwanini hukuenda kufanya tathimini uongeze ubora na ufanisi kazi yako kuponda tu mitandaoni na kutoa komment za hovyo. Koma kabisa. Umeme unatosha na tutauza nje ya nchi
 
Back
Top Bottom