Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Huwa wanasema wema anaitawala insta au mchokoze wema utaoga matusi ila kwa Lulu team wema wakamshindwa maana kuna kipindi walianza mtukana kisa mavazi na mauaji ya kanumba,hakuwakalia kimya aliwajibu changanya na boss wao wema mpaka wema akaomba yaishe. Lulu ana gari hana skendo ya kodi etc ila wema sasa kila kukicha anatimuliwa alipopanga
Huuuuuuraaaay....nimekupata, ukiondoa skendo za mauaji ya miujiza, Wema hamuezi lulu kwa lolote, kuanzia upstairs mpaka lifestyle..
 
Duuh maskin ma mbaba yamemsababishia matatizo bado tu yanamfata hadi gerezani
We acha tuu...mi nilichungulia hadi kwenye Camry yake nikaona mapochopocho na urembo kwenye siti ya nyuma ..duh nikamuonea huruma bidada
 
Labda lulu alikua na uhakika mkubwa wa kuachiwa huru. Hizo simu si angempa mama ake ,au alihofia zitawekwa bond kwa ajili ya pombe au? Bora angeziacha nyumban sehemu salama. Muna atajidakia madanga ya lulu kilaini
Hata mi nilishangaa sana, na mama ake alikuwa nae pembeni kabisa nikajiuliza kwanini asimpe mama ake au majizzo!?

Sema yule cha pombe mbaya, anajiremba lkn ulevi hauishi usoni, Jana yenyewe vituko alivyokuwa anafanya ni kama mtu aliyekuwa kanywa asee

Mmama kaona mikamera kajifanya eti kuzimia wakati katoka mle ndani akiwa fresh tu!...
 
Hahahaha lulu ana kazi kama mama mtu vituko tu huko mahakaman je nyumban patakuwaje

Mmh majizo no kwa kweli,ushawah ona mwizi anajipeleka polisi bila presha yoyote ,angempa majizo jamaa angefukua mengi kwenye simu. Kaona bora muna atamtunzia siri zake
Hata mi nilishangaa sana, na mama ake alikuwa nae pembeni kabisa nikajiuliza kwanini asimpe mama ake au majizzo!?

Sema yule cha pombe mbaya, anajiremba lkn ulevi hauishi usoni, Jana yenyewe vituko alivyokuwa anafanya ni kama mtu aliyekuwa kanywa asee

Mmama kaona mikamera kajifanya eti kuzimia wakati katoka mle ndani akiwa fresh tu!...
 
Hivyo vyakula kama kweli atakua anapelekewa ataneemesha wafungwa wenzie na baadhi ya askari. Kizuri kula na mwenzio ili apate heshima na kuishi vizuri huko
We acha tuu...mi nilichungulia hadi kwenye Camry yake nikaona mapochopocho na urembo kwenye siti ya nyuma ..duh nikamuonea huruma bidada
 
Kweli maana wema anachukulia u lastborn kwao mpka mtaan,enzi zile team yake walikua wanampamba kisa anajua english na kasomea shule nzuri baasi nae kichwa sauti ya kuigiza utoto.
Huuuuuuraaaay....nimekupata, ukiondoa skendo za mauaji ya miujiza, Wema hamuezi lulu kwa lolote, kuanzia upstairs mpaka lifestyle..
 
Hahahaha lulu ana kazi kama mama mtu vituko tu huko mahakaman je nyumban patakuwaje

Mmh majizo no kwa kweli,ushawah ona mwizi anajipeleka polisi bila presha yoyote ,angempa majizo jamaa angefukua mengi kwenye simu. Kaona bora muna atamtunzia siri zake
Yaani yule mmama utulivu sifuri asee...yaan ni hatulii mahakamani mara asimame ovyo, ageuza shingo ovyo ovyo, kuongea, halafu anapenda kamera sasa balaa...

Angempa basi hata mama ake asee...
 
8ef72e82b98f7d6ad43e01243d44379f.jpg


Hainingii akilini kabisa kama Hamisa anaweza kumuonea huruma Lulu to zis extent...
Machozi ya mamba muhimu
 
Naona hairuhusiwi,ukiwa mfungwa ni mali ya serikali,ugali maharage unakuhusu labda kama anapata kaupendeleo toka kwa wakubwa ndo huo msosi wa nje utamfikia napo mpaka alieleta auonje
Hivi magereza unaruhusiwa kupeleka misosi every day? Especially mtu akishahukumiwa?
 
Back
Top Bottom