Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huuuuuuraaaay....nimekupata, ukiondoa skendo za mauaji ya miujiza, Wema hamuezi lulu kwa lolote, kuanzia upstairs mpaka lifestyle..Huwa wanasema wema anaitawala insta au mchokoze wema utaoga matusi ila kwa Lulu team wema wakamshindwa maana kuna kipindi walianza mtukana kisa mavazi na mauaji ya kanumba,hakuwakalia kimya aliwajibu changanya na boss wao wema mpaka wema akaomba yaishe. Lulu ana gari hana skendo ya kodi etc ila wema sasa kila kukicha anatimuliwa alipopanga
We acha tuu...mi nilichungulia hadi kwenye Camry yake nikaona mapochopocho na urembo kwenye siti ya nyuma ..duh nikamuonea huruma bidadaDuuh maskin ma mbaba yamemsababishia matatizo bado tu yanamfata hadi gerezani
Hata mi nilishangaa sana, na mama ake alikuwa nae pembeni kabisa nikajiuliza kwanini asimpe mama ake au majizzo!?Labda lulu alikua na uhakika mkubwa wa kuachiwa huru. Hizo simu si angempa mama ake ,au alihofia zitawekwa bond kwa ajili ya pombe au? Bora angeziacha nyumban sehemu salama. Muna atajidakia madanga ya lulu kilaini
Hata mi nilishangaa sana, na mama ake alikuwa nae pembeni kabisa nikajiuliza kwanini asimpe mama ake au majizzo!?
Sema yule cha pombe mbaya, anajiremba lkn ulevi hauishi usoni, Jana yenyewe vituko alivyokuwa anafanya ni kama mtu aliyekuwa kanywa asee
Mmama kaona mikamera kajifanya eti kuzimia wakati katoka mle ndani akiwa fresh tu!...
Tatizo Domo haongi....anazidi kumpanua P yake tu burePale ndo roho yake ilipo bidada na kuna rumors kuwa bado wanakulana na domo
We acha tuu...mi nilichungulia hadi kwenye Camry yake nikaona mapochopocho na urembo kwenye siti ya nyuma ..duh nikamuonea huruma bidada
[emoji23] [emoji23] [emoji23]International carolite users?? wabongo hamfaika kabisa
Huuuuuuraaaay....nimekupata, ukiondoa skendo za mauaji ya miujiza, Wema hamuezi lulu kwa lolote, kuanzia upstairs mpaka lifestyle..
jeuri ya fedha.. sasa matumizi yote ya kazi gani lakini. Si wangempikia tu nyumbani.
lulu alimchukua ama hamisa ndo kitombi alikuwa analala na mond akaachwa?Sababu ya bifu lao la kuchukuliwa bwana na Lulu
Yaani yule mmama utulivu sifuri asee...yaan ni hatulii mahakamani mara asimame ovyo, ageuza shingo ovyo ovyo, kuongea, halafu anapenda kamera sasa balaa...Hahahaha lulu ana kazi kama mama mtu vituko tu huko mahakaman je nyumban patakuwaje
Mmh majizo no kwa kweli,ushawah ona mwizi anajipeleka polisi bila presha yoyote ,angempa majizo jamaa angefukua mengi kwenye simu. Kaona bora muna atamtunzia siri zake
Machozi ya mamba muhimu![]()
Hainingii akilini kabisa kama Hamisa anaweza kumuonea huruma Lulu to zis extent...
Hivi magereza unaruhusiwa kupeleka misosi every day? Especially mtu akishahukumiwa?Hivyo vyakula kama kweli atakua anapelekewa ataneemesha wafungwa wenzie na baadhi ya askari. Kizuri kula na mwenzio ili apate heshima na kuishi vizuri huko
Hivi magereza unaruhusiwa kupeleka misosi every day? Especially mtu akishahukumiwa?
Weekend tu, siku za kawaida Labda wafanye kimagendoHivi magereza unaruhusiwa kupeleka misosi every day? Especially mtu akishahukumiwa?
Cha pombe hatarii na anavyojua kuropoka hovyo akilewa sasa!!Yaani yule mmama utulivu sifuri asee...yaan ni hatulii mahakamani mara asimame ovyo, ageuza shingo ovyo ovyo, kuongea, halafu anapenda kamera sasa balaa...
Angempa basi hata mama ake asee...
Hii ni official instagram pg ya hamisaPamoja na kwamba nachukia unyakunyaku wa hamisa ila hapa namtetea. Hio sio account ya hamisa bali ni fan page. Account halisi ya hamisa kwenye mabeto haina double tt