Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Kwa swala la lulu kwa sasa linahitaji kuweka tofauti zao pemben na kuombena mema.

Jela mpasikie tuu. Sio pazuri kabisa
Mbona kuna Watz kibao wapo Vifungoni. Tena wengine same cases lakin wamegongwa miaka kibao tu.
Mi nadhan kama kafanya kosa basi she deserve.
 
Kweli maana wema anachukulia u lastborn kwao mpka mtaan,enzi zile team yake walikua wanampamba kisa anajua english na kasomea shule nzuri baasi nae kichwa sauti ya kuigiza utoto.
English yenyewe haijui hakyanani..

Sio kwa English ile broken ya mwendokasi eti " ama" yaan anapenda hilo neno kila broken yake lazima aseme!
 
Hivyo vyakula kama kweli atakua anapelekewa ataneemesha wafungwa wenzie na baadhi ya askari. Kizuri kula na mwenzio ili apate heshima na kuishi vizuri huko
Lulu alizibuka akawa hawezekaniki,mpaka mama ake kipidni cha nyuma akawa akiulizea kwenye magazeti analalamika sana. Lakini toka aingie gerezani kipindi kile alirudi na heshima na kabadilika sana. Akawa na akili,kumzidi wema[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Usishangae sana kwani mastaa uchwara wa kibongo wanachekeana kwa jino pembe, yaani hawapendani hata kidogo.....kila mmoja analilia pumbu ili awekwe mjini na wanaume wasiojitambua.
 
Hiyo sio veryfied acc ya huyo mtu, unapata wapi ujasiri wa kuscreen shot na kumpersonalise mtu ambae huna hakika 100% ni mhusika?
We mgeni wa instagram eeh? kwani kama yeye sio muhusika kimeandikwa matusi hapo?
 
usinichekeshe mgeni wapi?[emoji23][emoji23][emoji23] msamehe bure
Mgeni wa insta.. anadhani kila account inakua verified tu. Sasa kama anajua hiyo sio acc ya Hamisa kwa kigezo sio verified tunamsaidia huyu mtu
 
Mbona Dai ali mwish birthday Majizo. Kwahyo haya ni yakale. Angekua zari ningesema unafiki
 
8ef72e82b98f7d6ad43e01243d44379f.jpg


Hainingii akilini kabisa kama Hamisa anaweza kumuonea huruma Lulu to zis extent...
Peleka huko hko
 
Back
Top Bottom