Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Hamuezi kujua moyo wa mtu kupitia judgment za mitandaoni kibinadamu ukiacha tofauti zao inaumiza
 
Wema ni kweli kabisa kafurahi,team wema waliweza mtukana yeyote insta wema kimya,ila akitukanwa lulu alikua analianzisha mpaka wema anamuomba msamaha kwa niaba ya timu. Pesa na akili ya maisha alimzid sana
Mimi yule Dada japo nampenda ila kwa hili nampa 100&kafurahi
 
Wema ni kweli kabisa kafurahi,team wema waliweza mtukana yeyote insta wema kimya,ila akitukanwa lulu alikua analianzisha mpaka wema anamuomba msamaha kwa niaba ya timu. Pesa na akili ya maisha alimzid sana
Yule mtoto baada ya jela alitoka mtu mpya na bado Wema alikua na hasira za kujua aliekua anamuita mdogo wake kumbe alikua anamlia bwana ake na akiona yale mafanikio na hamna drama tena kwenye maisha ya Lulu alikua anaumia lazima..
 
Hahahaa ok mie nitakua naombea wote. Ila nikiwa namwombea geni nikidhan baraka zitamiminika kwako kumbe baraka zinenda miminika kwa mzungu mwenye jina lake hukoo majuuu,ukiombea numby kumbe mwenye jina lake ni viazi ardhin uwiii

Cha msingi tuishi kwa tahadhari na maombi kujiepusha na mabaya
[emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji2] [emoji2] numby acha ujinga

Eti tuombane mazuri kaaah
 
Ni kweli mkui.. mimi nimeongelea nilichoona ingawa yeye Hamisa anajua zaidi
Tunatofautiana roho wengine wepesi kusamehe yaliyo pita hawawezi kuishi na visasi uzuri na yeye mzazi anamtoto wa kike miaka hairudi nyuma huwezi jua la kesho.
 
Wema angejifunza kupitia lulu. Ka binti kanaiba mabwana za watu kimya kimya kanakula na kipofu kwa siri ila wema uwiiii matangazo mia kidogo na picha anavujisha mwenyewe ili aongelewe na kupaisha ka jina ka tzsweehat
Yule mtoto baada ya jela alitoka mtu mpya na bado Wema alikua na hasira za kujua aliekua anamuita mdogo wake kumbe alikua anamlia bwana ake na akiona yale mafanikio na hamna drama tena kwenye maisha ya Lulu alikua anaumia lazima..
 
Yule mtoto baada ya jela alitoka mtu mpya na bado Wema alikua na hasira za kujua aliekua anamuita mdogo wake kumbe alikua anamlia bwana ake na akiona yale mafanikio na hamna drama tena kwenye maisha ya Lulu alikua anaumia lazima..
Kabisaaaa!ila anajikosha tu
 
Hahahaa ok mie nitakua naombea wote. Ila nikiwa namwombea geni nikidhan baraka zitamiminika kwako kumbe baraka zinenda miminika kwa mzungu mwenye jina lake hukoo majuuu,ukiombea numby kumbe mwenye jina lake ni viazi ardhin uwiii

Cha msingi tuishi kwa tahadhari na maombi kujiepusha na mabaya
[emoji2] [emoji2] [emoji2] Mimi hapo ukiomba utaombea wanangu woteee!sasa wewe sijui nini hyooo
 
Wema angejifunza kupitia lulu. Ka binti kanaiba mabwana za watu kimya kimya kanakula na kipofu kwa siri ila wema uwiiii matangazo mia kidogo na picha anavujisha mwenyewe ili aongelewe na kupaisha ka jina ka tzsweehat
Mtu mzima kisheti kafulia kafukuzwa kwwny nyumba kwa kua anafuga mashoga!
 
Kabisa wale wote wanafiki tu. Bora idriss kasema ukweli kuhusu msiba wa kanumba ulivyomtouch na kuwa haki yake imepatikana. Wapo wengi walitaman waandike kama idriss..maisha ya Lulu wasanii wengi waliyataman sana
Yaani huko insta vituko kila msanii pole Lulu, kwa hili nimemsifu Idrissa hajataka kuwa mnafki..najua kawakilisha mawazo ya wasanii wengi waliotamani kuandika ila sababu ya unafki wamekaa kimya
 
Hapo sasa sijui hata maana ya ID yangu,ilitype tu nikaipachika hivyo hivyo.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] shosti umemuona doggie masta22 kamchamba hamisa eti mnaafiki na kasema tukimzogoa atafungua file

[emoji1] [emoji1] wakat sasa kafulia hakuna anaemjua hana kick naona anatala kick ya kuuza nguo zake kashaona zinachundaa
 
Back
Top Bottom