Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Best nakuona, upokonywe bwana...vijembe upigwe mitandaoni halafu baadae usikie aliesababisha kapata tatizo kwa asili yetu wanawake lazima utatoa meno 32 nje...hamissa hapo hajamaniisha
Yaani alikuwa anaandika na kufuta kutafuta maneno mazuri,nadhani katumia more than 1 hr kuiandaa hiyo caption. Maana anaandika kidogo anafuta,mara acheke hapo bado kuna mashost hajakaa nao karibu wapige vishoka wacheke halooooo za kwa nguvu. Mnafki tu,angenyamaza zake kimya kwani angeumwa!!!?
 
Nguo zenyewe uwiii bora nikasagule sagule mnadani. Zile nguo sio kabisa. Kafulia kama boss wake.

Cha kuchekesha baadhi team wema ndo team hamisa so doggy akianza ugomvi atachanganya wenzie
Team zari hawayumbishwii ht kidogoo kwa hapo kafulia tuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] anapaswa apambane na hali zake

Team wema ndo ndo wapuuuzi hawana Dira
Asipojiangalia atachunda na nguo zake
 
Yaani alikuwa anaandika na kufuta kutafuta maneno mazuri,nadhani katumia more than 1 hr kuiandaa hiyo caption. Maana anaandika kidogo anafuta,mara acheke hapo bado kuna mashost hajakaa nao karibu wapige vishoka wacheke halooooo za kwa nguvu. Mnafki tu,angenyamaza zake kimya kwani angeumwa!!!?
Anapenda kiki siku hizi na ndiyo alikua anakitaka kuwa midomoni mwa watu
 
Nguo zenyewe uwiii bora nikasagule sagule mnadani. Zile nguo sio kabisa. Kafulia kama boss wake.

Cha kuchekesha baadhi team wema ndo team hamisa so doggy akianza ugomvi atachanganya wenzie
Atadoda pia mpuuzi yule anaacha kua km usipojipanga mwenzie sasa hv yuko mbaali
 
Muna ana vitabia kama vya wema,maisha ya kuongozana kila kona,ubabe ubabe. Kujiweka juu mfano wema kila mtu anataka awe anamuita mama,muna anataka aitwe dada huku Lulu hapendi kujishusha maana anaona duniani hana dada
Muna anampenda sana lulu ila lulu ndo hataki ushoga na anamkwepa haswaa!

Kweli hii, niliona kipindi kile katoka jela alikua kama anampotezea hivi sema Muna akawa bado ana ile kumfuatilia fuatilia!
 
Lol! Kama alieza kwenda kummwagia zari hela wakati wa 40 ya tiffah kumbe anamla kisogo analala na diamond na kutaka kumpindua, nini kikufanye uamini yuko sincere kwa lulu, hamisa MNAFIKI wa taifa! Ni nyoka mwenye simu kali haswaaaa!
 
Muna ana vitabia kama vya wema,maisha ya kuongozana kila kona,ubabe ubabe. Kujiweka juu mfano wema kila mtu anataka awe anamuita mama,muna anataka aitwe dada huku Lulu hapendi kujishusha maana anaona duniani hana dada
Na alivyo na tabia za kuwabeba watu wa wenzie ni bora aendelee hivyo hivyo .

kipindi katoka jela akanzishaa ushoga na husna mwisho akambebea Seki....lulu ni silent killer sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Muna naona ndiyo maana walishindwana na Wema, wote walikutana wanapenda kujiweka juu
 
Enzi za SK wema alikua na jeuri sana anapiga watu club huku akijitapa maneno ya unajua mimi ni nani nchi hii. Mchokoze kidogo anakubandika kwa team yake full kuoga matusi. Wale mbwa hadi nguo na pafyum wakanunuliwa
Shoga aliyafanya...
Team wema walikuwa hatari,ukimjibu mmoja wote wanakuchamba mpaka unatamani kufa. Kikowapi siku hizi,wengine wanajiengua wenyeweee
 
Wema angejifunza kupitia lulu. Ka binti kanaiba mabwana za watu kimya kimya kanakula na kipofu kwa siri ila wema uwiiii matangazo mia kidogo na picha anavujisha mwenyewe ili aongelewe na kupaisha ka jina ka tzsweehat
Si queen of drama yule. Hajui kula akafuta mdomo, ye kila anachokula anataka tujue.
 
Na alivyo na tabia za kuwabeba watu wa wenzie ni bora aendelee hivyo hivyo .

kipindi katoka jela akanzishaa ushoga na husna mwisho akambebea Seki....lulu ni silent killer sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Muna naona ndiyo maana walishindwana na Wema, wote walikutana wanapenda kujiweka juu
Yaani lulu nae nyakunyaku wa chini chini..
 
Back
Top Bottom