[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] muna machupi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji1] [emoji1] [emoji1] muna machupii loooh!!ndo maana walishindwa kuelewana
Team Wema wanataka kujikosha wanaumia zaidi kufungwa kwa Lulu wengine hawatakiwi kuumia[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] shosti umemuona doggie masta22 kamchamba hamisa eti mnaafiki na kasema tukimzogoa atafungua file
[emoji1] [emoji1] wakat sasa kafulia hakuna anaemjua hana kick naona anatala kick ya kuuza nguo zake kashaona zinachundaa
Kabisa. Wanafki balaa,ukiwa na wewe atasema wengine,akiwa na mwingine atakusema wewe.Kwa tabia za wasanii hasa wakike ni bora tu awe mbinafsi
Mange anamchukiq Lulu sababu ya mdogo wake Wema na mdogo wake mpya wa hiyari HamisaHuyo doggy anachekesha alipewa ushauri na dongo juu na milly akapanic.
Sasa akifungua faili la hamisa anadhan atapata support ya team zari ambao wapo upande wa lulu hapo atakua kachemsha maana hakuna aliyesahau matusi ya doggy ya udhalilishaji mno.
Mange mwenyewe anataman ashangilie kwa post maana anamchukia lulu kinyama,katoto kadogo kanapendeza kumzidi yeye aliye ulaya
Muna na Lokole kweli wameonyesha mshikamano sana, nakumbuka kipindi kile Lulu yuko mahabusu Muna alihangaika sana. Ila wengine pole za mitandaoni tu.Yaani nimebaki nacheka tu, atleast Muna na lokole hawa nawaelewa walikua nae bega kwa bega.
Hivi ni nzuri?? maana hata sijazionaTeam zari hawayumbishwii ht kidogoo kwa hapo kafulia tuu[emoji1] [emoji1] [emoji1] anapaswa apambane na hali zake
Team wema ndo ndo wapuuuzi hawana Dira
Asipojiangalia atachunda na nguo zake
Shoga aliyafanya...
Team wema walikuwa hatari,ukimjibu mmoja wote wanakuchamba mpaka unatamani kufa. Kikowapi siku hizi,wengine wanajiengua wenyeweee
Zilipendwa sasa hivi anayatamani yale maisha ila ndo alimtafutia baba wa watu matatizoEnzi za SK wema alikua na jeuri sana anapiga watu club huku akijitapa maneno ya unajua mimi ni nani nchi hii. Mchokoze kidogo anakubandika kwa team yake full kuoga matusi. Wale mbwa hadi nguo na pafyum wakanunuliwa
Si queen of drama yule. Hajui kula akafuta mdomo, ye kila anachokula anataka tujue.
Wanakuchamba mpk makaburi ya kwenuShoga aliyafanya...
Team wema walikuwa hatari,ukimjibu mmoja wote wanakuchamba mpaka unatamani kufa. Kikowapi siku hizi,wengine wanajiengua wenyeweee
Kweli hata ingekua mimi furaha ingezidi huzuni..Best nakuona, upokonywe bwana...vijembe upigwe mitandaoni halafu baadae usikie aliesababisha kapata tatizo kwa asili yetu wanawake lazima utatoa meno 32 nje...hamissa hapo hajamaniisha
Sio selfish,wema ambae anaunga mashoga kila siku kiko wapi na mashoga zake???snura,kajala,aunt wote chaliiii
Mnalizimisha Hamisa awe na roho mbaya kama nyie?
Mwizi haswaaa wa chini chini na ndo maana hataki ushoga maana hachelewi kukubebea haswa akiwa na pesa mondi mwenyewe kamlaNa alivyo na tabia za kuwabeba watu wa wenzie ni bora aendelee hivyo hivyo .
kipindi katoka jela akanzishaa ushoga na husna mwisho akambebea Seki....lulu ni silent killer sana[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Muna naona ndiyo maana walishindwana na Wema, wote walikutana wanapenda kujiweka juu