Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Siamini kama Hamisa Kamaanisha

Wamemchoka,kwanza wameona ile nyota walitokua wanaisifia imefifia kama sio kupotea pili hana jipya mjini.(walitaman apate mwanaume mwenye hela waringishie timu nyingine,ndoto haijatimia miaka)
Hao wenye hela Mungu ampe yeye tuuu

Amebaki kutuuzia sura na magauni ya kumwaga tu no businesses no anything
 
Zikoje wakunyumba??
Hizo hapo wakunyumba me labda na huu ubonge wangu siziwezi labda waseme wenye miili yao hapana jamani
5ce5fbbc3fcf3ae83723d0415069cadd.jpg
ee18587bff5490ff0de86c3ee4535999.jpg
fb97009ce53d9477e5f7e23136c87392.jpg
 
Back
Top Bottom