Kuna watu mnapenda sana kuona wengine wakiwa kwenye mafarakano. If they try to make peace with each other mnaumia kimtindo. Hakuna baya alilofanya Hamisa. Kama bwana alishanyang'anywa na aliumia but again with time a heart break heals and one learns to accept and move on with life! Huyu intikafanya jamabo jema sana, waswahili wanasema majuto ni mjukuu. Yeye kaamua kumtakia mwenzie kheri, ni hatua mojawapo ya mapatano (isije kesho ikafika akajuta maana itabaki "lati kama ...") Kwa maslahi ya binti yake ambaye naamini mara kwa mara anaenda kwa baba na aunty Lulu anakuwepo, ni bora Hamisa has chosen to make peace!