Siamini nilichokishuhudia: daladala level seat, hakuna foleni, hakuna kelele, abiria hawasukumani, makonda hawatukani, unafika haraka unakoenda

Kwa nchi na raia waliostaarabika, level seat ndo hutumika
Nchi zilizoendelea sana town buses zina viti vichache kwa ajili ya wazee na walemavu wengine ni kusimama. Basi lenye leseni ya watu 90, lina seat 30 na watu 60 wasimame.
 
Nchi zilizoendelea sana town buses zina viti vichache kwa ajili ya wazee na walemavu wengine ni kusimama. Basi lenye leseni ya watu 90, lina seat 30 na watu 60 wasimame.
Mantiki ni watu wasibanane na kubebwa kama magogo. Ni sawa na gari za airport, watu wengi husimama lakini hawabanani. Muundo wa daladala na seats zake level seat ndio mpango sahihi.
 
Ila hasara kwa wamiliki wa mabasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…