Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,553
Nilitoka Kongowe saa 12 jioni nimefika Ubungo saa 2 unusuDuh hamna alietumia Kilwa road leo! Kuna foleni hio balaa
Mbagala nimetumia zaidi ya saa 1 unusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilitoka Kongowe saa 12 jioni nimefika Ubungo saa 2 unusuDuh hamna alietumia Kilwa road leo! Kuna foleni hio balaa
pesa ya mafuta bei gani ? pesa ya boss bei gani ? posho ya dereva ? posho ya konda ? mshahara wa dereva ??Hata hivyo watapata tu hela tena bila shida. Assume daladala itaenda mjini safari tano kwa siku. Kwa hiyo kwenda na kurudi ni trip 10. Kila daladala inabeba abiria 31. Kama kila abiria atatoa TZS 400, maana yake kwa siku konda atakusanya 10 x 31 x 400 = TZS 124,000. Hapo hatuhesabii anayepanda na kushuka njiani na mwingine kupanda.
Pia magari yatakuwa kwenye hali nzuri kwa sababu hawatayaoverload, hivyo kupungua kwa gharama ya service.
Sio lazima boss wako apate hela aliyojipangia, zama zinabadilika.pesa ya mafuta bei gani ? pesa ya boss bei gani ? posho ya dereva ? posho ya konda ? mshahara wa dereva ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi naamini hiyo ndiyo ilikuwa sababu ya watu kutembea kwa miguu kwa mjibu wa baadhi ya wachangiaji.Wengi wamelaza magari , hesabu ya boss kwa level seat huwez kupata
Sent using Jamii Forums mobile app
Usije logwa ukafanya biashara kama akili ndio hiziSio lazima boss wako apate hela aliyojipangia, zama zinabadilika.
Biashara gani?
Weee unafurahia wakati hesabu ya boss inasumbuana sumatra kodi iko pale pale kinachouma ni kwa nini mwendo kasi wao wajazwe kiasi na daladala wao levo siti
Yaani mimi mwenyewe nimeshangaa sana hilo swala na kuwashangaa wachangiaji wanavyotiririka bila kuwaza kwa kina kuwa foleni imepungua kutokana watu wengi kutokumove sana from one place to another na sio kwasababu daladala zimepakia level seat.Hebu tuongee kama watu wazima wenye akili timamu, foleni inapunguaje barabarani kwa watu kukaa level seat? Sio kwamba kuna factor nyingine imehusika?
Wewe una mawazo kuwa magari yataongezeka barabarani na hivyo kusababisha foleni. Shida sio wingi wa magari, tatizo ni matatizo, mfano haya yanayosababishwa na daladala na madereva wengine wazembe, na miundombinu mibovu. Hapahapa Dar kama kila gari likiendeshwa kwa kuzingatia sheria na taratibu kuna sehemu unaweza kusimama katikati ya barabara kwa muda mrefu na usione gari, ndio utatambua kuwa kumbe Dar hakuna magari ukilinganisha na majiji mengine duniani ambako hakuna foleni lakini magari ni mamilioni.Yaani mimi mwenyewe nimeshangaa sana hilo swala na kuwashangaa wachangiaji wanavyotiririka bila kuwaza kwa kina kuwa foleni imepungua kutokana watu wengi kutokumove sana from one place to another na sio kwasababu daladala zimepakia level seat.
Kama idadi ya abiria ni ile ile basi level seat itapelekea kuwa na foleni zaidi Barabarani mfano gar moja ilikuwa na uwezo wa kubeba abiria 50 sasa hivi hao abiria 50 itabidi wabebwe na daladala 2 so utaona kuna ongezeko la gari moja la zaida hapo.
Na ikiwa wamiliki wa daladala wataamua kupaki magari yao kutokana na gharama za uendeshaji kuwa kubwa kutokana na kupakia level seat hii itapelekea kuwa na msongamano wa abiria vituoni. refer vituo vya mwendokasi kimara na kwingineko
1) Kuna maofisi wamafunga hivyo abiria wamepungua kiasi. Corona ikiisha abiria wakarudi itakuaje?Hata kama corona ikiisha halafu mtu akatangaza kuwa sasa daladala zinaruhusiwa kujaza watu kama magunia kama ilivyokuwa mwanzo nitamshangaa sana. Kila mtu kukaa kwenye seat yake ni tija kwa afya ya msafiri, kiakili, kimwili na kisaikolojia. Kwa mara ya kwanza leo nimepanda daladala na kwenda ninakoenda na kurudi bila kichwa kuvurugika kwa sababu ya kelele, matusi, foleni na bughdha mbalimbali za daladala na makonda wao.
Kwa maoni yangu, huu ni utaratibu ambao waziri au mamlaka zinazohusika zilitakiwa kuchukua hatua tangu siku nyingi na kuusimamia. Ndio leo nagundua kuwa foleni na misongamano vituoni na barabarani kisababishi kikubwa kilikuwa ni daladala kujaza watu kama zitakavyo -- makonda wana msemo wao gari haijai. Ukiacha COVID-19, ndani ya daladala iliyobeba watu waliojaa kama magunia ni chanzo kingine cha kuambukizana magonjwa kwa njia ya hewa na kugusana/kubanana. Adha ya kubanana huku kukiwa na joto kama tanuru kwa daladala hasa za Dar ni chanjo cha stress na frustrations kwa watu wengi.
Daladala ikishapakia watu wakajaa kwenye seats tu haisimami popote isipokuwa kama inashusha. Daladala zilikuwa zinasimama vituoni au barabarani hata kama zimejaa kwa lengo la kuendelea kubeba abiria, hili ndilo tatizo lililokuwa linasababisha barabara zipitike kwa shida. Maoni yangu ni kuwa huu utaratibu uendelee, na watu vituoni waanze kupanda kwa foleni, yaani aliyefika wa kwanza mpaka wa mwisho.
Nimeweza kufika nilikokuwa naenda haraka sana kuliko kawaida, na kutambua kumbe nilipokuwa naenda ni pafupi mno.
Pamoja na haya "matrafiki" waache tabia zao za kuongoza magari badala ya taa, hawa ndio tatizo jingine kubwa. Hivi inakuwaje trafiki anajigeuza roboti na kuanza kuongoza magari kwa mikono? Taa za kazi gani? Nilishaambiwa mapolisi hawa wa barabarani huvuta magari ya upande fulani ili kumuwahisha mtu fulani ambaye ana uhusiano naye kwa namna moja au nyingine - kiongozi, hawara, mke/mme/rafiki/etc., ni mambo ya ajabu sana! Taa zipo na zinatosha kuongoza magari, labda kama zimezima.
Abiria kukaa level seat lisiwe tu zoezi la muda kwa sababu ya COVID-19, bali liwe ni zoezi endelevu kwa sababu ni zoezi la kistaarabu, linalojali afya na utu wa abiria.
Na yale mabomba ya kushika juu kwa waliokuwa wanasimama yaondolewe. Makonda waliyapenda sana!Hata kama corona ikiisha halafu mtu akatangaza kuwa sasa daladala zinaruhusiwa kujaza watu kama magunia kama ilivyokuwa mwanzo nitamshangaa sana. Kila mtu kukaa kwenye seat yake ni tija kwa afya ya msafiri, kiakili, kimwili na kisaikolojia. Kwa mara ya kwanza leo nimepanda daladala na kwenda ninakoenda na kurudi bila kichwa kuvurugika kwa sababu ya kelele, matusi, foleni na bughdha mbalimbali za daladala na makonda wao.
Kwa maoni yangu, huu ni utaratibu ambao waziri au mamlaka zinazohusika zilitakiwa kuchukua hatua tangu siku nyingi na kuusimamia. Ndio leo nagundua kuwa foleni na misongamano vituoni na barabarani kisababishi kikubwa kilikuwa ni daladala kujaza watu kama zitakavyo -- makonda wana msemo wao gari haijai. Ukiacha COVID-19, ndani ya daladala iliyobeba watu waliojaa kama magunia ni chanzo kingine cha kuambukizana magonjwa kwa njia ya hewa na kugusana/kubanana. Adha ya kubanana huku kukiwa na joto kama tanuru kwa daladala hasa za Dar ni chanjo cha stress na frustrations kwa watu wengi.
Daladala ikishapakia watu wakajaa kwenye seats tu haisimami popote isipokuwa kama inashusha. Daladala zilikuwa zinasimama vituoni au barabarani hata kama zimejaa kwa lengo la kuendelea kubeba abiria, hili ndilo tatizo lililokuwa linasababisha barabara zipitike kwa shida. Maoni yangu ni kuwa huu utaratibu uendelee, na watu vituoni waanze kupanda kwa foleni, yaani aliyefika wa kwanza mpaka wa mwisho.
Nimeweza kufika nilikokuwa naenda haraka sana kuliko kawaida, na kutambua kumbe nilipokuwa naenda ni pafupi mno.
Pamoja na haya "matrafiki" waache tabia zao za kuongoza magari badala ya taa, hawa ndio tatizo jingine kubwa. Hivi inakuwaje trafiki anajigeuza roboti na kuanza kuongoza magari kwa mikono? Taa za kazi gani? Nilishaambiwa mapolisi hawa wa barabarani huvuta magari ya upande fulani ili kumuwahisha mtu fulani ambaye ana uhusiano naye kwa namna moja au nyingine - kiongozi, hawara, mke/mme/rafiki/etc., ni mambo ya ajabu sana! Taa zipo na zinatosha kuongoza magari, labda kama zimezima.
Abiria kukaa level seat lisiwe tu zoezi la muda kwa sababu ya COVID-19, bali liwe ni zoezi endelevu kwa sababu ni zoezi la kistaarabu, linalojali afya na utu wa abiria.
Hakuna hela hapo mkuu, hujatoa hela ya Boss, mafuta, posho na pesa ya kiwiHata hivyo watapata tu hela tena bila shida. Assume daladala itaenda mjini safari tano kwa siku. Kwa hiyo kwenda na kurudi ni trip 10. Kila daladala inabeba abiria 31. Kama kila abiria atatoa TZS 400, maana yake kwa siku konda atakusanya 10 x 31 x 400 = TZS 124,000. Hapo hatuhesabii anayepanda na kushuka njiani na mwingine kupanda.
Pia magari yatakuwa kwenye hali nzuri kwa sababu hawatayaoverload, hivyo kupungua kwa gharama ya service.
We buyu kweli kabisaHata kama corona ikiisha halafu mtu akatangaza kuwa sasa daladala zinaruhusiwa kujaza watu kama magunia kama ilivyokuwa mwanzo nitamshangaa sana. Kila mtu kukaa kwenye seat yake ni tija kwa afya ya msafiri, kiakili, kimwili na kisaikolojia. Kwa mara ya kwanza leo nimepanda daladala na kwenda ninakoenda na kurudi bila kichwa kuvurugika kwa sababu ya kelele, matusi, foleni na bughdha mbalimbali za daladala na makonda wao.
Kwa maoni yangu, huu ni utaratibu ambao waziri au mamlaka zinazohusika zilitakiwa kuchukua hatua tangu siku nyingi na kuusimamia. Ndio leo nagundua kuwa foleni na misongamano vituoni na barabarani kisababishi kikubwa kilikuwa ni daladala kujaza watu kama zitakavyo -- makonda wana msemo wao gari haijai. Ukiacha COVID-19, ndani ya daladala iliyobeba watu waliojaa kama magunia ni chanzo kingine cha kuambukizana magonjwa kwa njia ya hewa na kugusana/kubanana. Adha ya kubanana huku kukiwa na joto kama tanuru kwa daladala hasa za Dar ni chanjo cha stress na frustrations kwa watu wengi.
Daladala ikishapakia watu wakajaa kwenye seats tu haisimami popote isipokuwa kama inashusha. Daladala zilikuwa zinasimama vituoni au barabarani hata kama zimejaa kwa lengo la kuendelea kubeba abiria, hili ndilo tatizo lililokuwa linasababisha barabara zipitike kwa shida. Maoni yangu ni kuwa huu utaratibu uendelee, na watu vituoni waanze kupanda kwa foleni, yaani aliyefika wa kwanza mpaka wa mwisho.
Nimeweza kufika nilikokuwa naenda haraka sana kuliko kawaida, na kutambua kumbe nilipokuwa naenda ni pafupi mno.
Pamoja na haya "matrafiki" waache tabia zao za kuongoza magari badala ya taa, hawa ndio tatizo jingine kubwa. Hivi inakuwaje trafiki anajigeuza roboti na kuanza kuongoza magari kwa mikono? Taa za kazi gani? Nilishaambiwa mapolisi hawa wa barabarani huvuta magari ya upande fulani ili kumuwahisha mtu fulani ambaye ana uhusiano naye kwa namna moja au nyingine - kiongozi, hawara, mke/mme/rafiki/etc., ni mambo ya ajabu sana! Taa zipo na zinatosha kuongoza magari, labda kama zimezima.
Abiria kukaa level seat lisiwe tu zoezi la muda kwa sababu ya COVID-19, bali liwe ni zoezi endelevu kwa sababu ni zoezi la kistaarabu, linalojali afya na utu wa abiria.
Kimara wanapanga foleni mkuu, tena leo foleni inaweza kufika nje[emoji28]Pita njia ya mbagala , temeke, buza , keko huko utakuta watu wanatembea kwa mguu je hicho ndio unakitaka? Ivi wale abiria wa mwendokasi wa kimara wanaogombania mwendokasi unahisi now wanafanyaje shuguri zao?
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hivyo vya njiani abiria wanashuka na wengine wanapanda. Tembea au fanya namna yoyote nenda kituoni penye gari, vituo haviko mbali na makazi. Nilichoeleza ni kwamba huu utaratibu unapunguza foleni na kuleta ustaarabu.1) Kuna maofisi wamafunga hivyo abiria wamepungua kiasi. Corona ikiisha abiria wakarudi itakuaje?
2) Abiria wanaopandia vituo vya njiani itakuaje nao kwa sasa?