Nadhani anamaanisha kuwa
1. Vituo vyetu vya daladala havina uwezo wa kupaki gari nyingi kwa hiyo daladala huwa zinapaki mostly barabarani huku zikipiga debe wakati abiri waliomo wanatosha aondoke, kitendo hicho kinasabisha jam kwa magari mengine na kuleta msongamano.
2. Kwa kuwa walikuwa hawatosheki hadi wenye nyomi daladala iliyo mbele humzuia mwenzake asipite ili kituo kinachofuata pia apige gap hii ndio issue ya kuchomekeana inaanzia hapo nayo inaimpact ya kukwaruzana na kupoteza muda kusuluhisha ugomvi hapo jam lazima.
My take.
Kwa kuwa abiri ni wale wale isipokuwa utawasomba kwa route nyingi basi pesa inayopatikana ni ile ile. Kitachoongezeka ni route huenda zikaongeza kuweka mafuta.
Lakini jam hutumia mafuta zaidi maana gari inakuwa iko ON inaenda mwendo mdogo at lower gear inatumia mafuta zaidi kwahiyo unaweza ukute unatumia mafuta mengi kuliko kurudia abiria. HILI LINAHITAJI UTAFITI
Leo niliona mambo mawili
1. Abiria wakitembea Mbagala to town
Barabara nyeupe unajikunjua dk 5 uko town hakuna jam
Hapo sijaua issue ni nini?
Kama kufunga shule zimefungwa muda, kama maofisi mengi yamefungwa sijui kama yamefungwa jana tu.
Labda tusubiri
Sent using
Jamii Forums mobile app