Mtoa mada rudi shule na utuondolee upumbavu wako huuDollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings
Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde
Nyie watu bhana em rudini shule muache kulalamika hovyoNdio madhara ya kuwa na waziri wa fedha anayejua hesabu za kutoa na kujumlisha tuu!.
Hata shs yetu dhidi ya Kenyan na Ugandan iko hoi taaban!!.
Halafu unaweza kukuta mtoa mada ni mke wa mtu na ana watoto wanne halafu anakuja kutuandikia upuuzi humuMbrrrr umeandika nn comrade?
Dayum inazidi kupanda tu
Mtoa mada amelewa huyu sio mzima kichwaniItakuwa sijui kabisa hesabu
Tena unaweza Kuta n mke wa piliHalafu unaweza kukuta mtoa mada ni mke wa mtu na ana watoto wanne halafu anakuja kutuandikia upuuzi humu
Yuko sahihiMtoa mada rudi shule na utuondolee upumbavu wako huu
Ah kama n mke wa pili bc yupo sahihi mana stress za mke mwenza sio la kitotoTena unaweza Kuta n mke wa pili
Ngoja aswitch account!
Mtoa mada rekebisha apo ni . Na sio , jifunze alama za uandishi unatuconfuse nkajua laki kudadekEbana wanajamvi inakuwaje?
Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.
Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings
Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde
Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.
Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.
Somalia's agricultural sector is the backbone of the economy, contributing to over 70 percent of total GDP, 80 percent of its employment, and about 50 percent of its exports.Kuna kitu gani Somalia na Haiti wana export hadi hela yao iwe na thamani kuliko yetu. Yani haiti
Ww nawe ndio wale waleYuko sahihi