Siamini Shilingi ya Somali na Gourde ya Haiti ina thamani kuliko shilingi ya Tanzania

Siamini Shilingi ya Somali na Gourde ya Haiti ina thamani kuliko shilingi ya Tanzania

Sababu ya watu wa Haiti kutotumia alama ya nukta (.) kutenganisha hela ni kwa sababu ya mfumo wao wa sarafu.

Haiti hutumia gourde ya Haiti (HTG) kama sarafu yao rasmi, na gourde imegawanywa katika senti 100.

Kwa mujibu wa kanuni za hesabu za kimataifa, alama ya desimali hutumika kutenganisha sehemu kamili ya nambari kutoka kwa sehemu ya senti.

Hata hivyo, katika mfumo wa sarafu wa Haiti, senti haziitwi "senti" bali huitwa "centimes". Hii inasababisha kuchanganyikiwa iwapo wangeitumia alama ya nukta kutenganisha sehemu kamili ya nambari kutoka kwa senti, kwani alama ya nukta pia hutumika kutenganisha neno "centimes" kutoka kwa nambari kamili.

Ili kuepuka kuchanganyikiwa huku, watu wa Haiti wameamua kutumia alama ya mkato (,) kutenganisha sehemu kamili ya nambari kutoka kwa senti. Hii inasaidia kufafanua kuwa nambari iliyopo kabla ya alama ya mkato ni gourde kamili, na nambari iliyopo baada ya alama ya mkato ni sentime.

Kwa mfano, 100,00 ingemaanisha gourde 100 na senti 0, wakati 10,000,00 ingemaanisha gourde 10,000 na senti 0. Hii ni njia rahisi na yenye uwazi ya kutenganisha hela na senti katika mfumo wa sarafu wa Haiti.
Madini 🤝
 
Somalia's agricultural sector is the backbone of the economy, contributing to over 70 percent of total GDP, 80 percent of its employment, and about 50 percent of its exports.

Wanalima muda gani huku wanapigana muda wote ?
Gomba
 
Somalia's agricultural sector is the backbone of the economy, contributing to over 70 percent of total GDP, 80 percent of its employment, and about 50 percent of its exports.

Wanalima muda gani huku wanapigana muda wote ?
Somalia 🇸🇴 wanaexport animals Quality products kama vile hornes,skin,hide,hoof na products zingine za mifugo kama fresh carcases kuliko tanzania


NB; vita kila siku ipo wanapigana! Hapa ndy utaelewa kwann wabongo ni bongolala.
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
Kuna Mtu alisema waandishi wa Habari Tanzania hawajui kuandika Namba na wewe inaonekana ni Mwandishi.

132,38 badala ya 13,238.

Hata hivyo kwa hesabu zako Thamani ya Tanzania dhidi ya Dola ni kubwa kuzidi hizo za Haiti na Somali
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
Nadhani umefananisha GDP na hali ya kupanda thamani ya Usd. GDP yetu ni kubwa kama mara tatu hivi ya hao Somalia.

Ila kuhusu thamani Usd kuna mambo kadhaa hupandisha kwenye nchi, hata suala kukosekana utulivu wa kisiasa.

Lakini demand ya Usd huchochea sana inunuliwe kwa bei kubwa katika nchi. Kama vile sukari watu wakiitaka sana, inapanda bei.

Mahitaji ya dola yanapoongezeka ndivyo thamani yake inavyoongezeka. Mahitaji yakipungua, ndiyo thamani inapungua.

Pia, mfumuko wa bei wa ndani ya nchi nao hupandisha dollar, unakuta bidhaa imejazwa tozo hadi inapanda, basi inaamsha dola.

Hata trade deficits, yaani uagizaji bidhaa za nje ya nchi kuwa mkubwa kuliko bidhaa za ndani kuuzwa nje nayo inapandisha dola.

Maana mtahitaji kununua dollar nyingi ili muagize bidhaa huko nje, huku ninyi mkizipata chache kwa mauzo yenu madogo nje. Hiyo inaleta demand ya dollar, ni lazima ipande.

Ova
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
Haloo , Haloo Wariaa.....
Mbrrrrrrrrrrrr

1720134154870.png
 
Gdp per capital zao je? Kupima uchumi wa nchi kwa uimara wa sarafu tu ni ujinga.
 
Kwahiyo unataka mama aendelee kukopa ili thamani ya pesa yetu ipande?
Usiwe na haraka subiri DP World waanze kazi mapato yataongezeka na TSH itapanda thamani!
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
Tofautisha exchange rate na thamani ya sarafu. Exchange rate inategemea sana uongozi na usimamizi wa mzunguko wa pesa. Iwapo nchi inaingiza pesa kwenye mzunguko kiholelea kama Tanzania inavyofanya sasa, basi exchange rate ya sarafu yake itapungua. Somalia na Haiti hazina pesa nyingi kwenye mzunguko wake kwa hiyo exchange rate ya pesa yake ni strong.
 
Haina mashiko kulinganisha.

Nikuulize hili na kisha tafakari.

South korea won 1= 1.92Tsh

Je tunapimana misuli na wakorea kiuchumi kisa thamani za ela zetu zinakaribiana?
 
Hapa lazima uchanganyikiwe, je ni kweli shilingi ya kenya Ina nguvu kuliko Yen ya Japan?
1 USD = 161.03 Japanese Yen
1 USD = 128.25 Kenyan Shs
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
Ungesema pia hela yetu imeipita ya Iran na nchi kibao
 
Kuna Mtu alisema waandishi wa Habari Tanzania hawajui kuandika Namba na wewe inaonekana ni Mwandishi.

132,38 badala ya 13,238.

Hata hivyo kwa hesabu zako Thamani ya Tanzania dhidi ya Dola ni kubwa kuzidi hizo za Haiti na Somali
Sio kweli
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
Kwahiyo unataka na sisi tubadilishe mfumo wa uandishi kwa ajili yako sio?
 
Hata Tanzania hela yetu ina thamani kuliko Indonesian rupiah lakini Indonesia imetuacha mbali kimaendeleo
 
Mtoa mada hata kama kakosea kuweka alama lakini swali lake lina mantiki
Mfano mshangae Italy hela yake ya Lira iko chini sana dhidi ya shillingi ya Tanzania lakini ni nchi iliyopiga hatua kubwa mno kimaendeleo kwa viwanda na ni moja ya G7.
Marekani pamoja na dola yake kutumika sana duniani lakin haifui dafu kwa nchi ya kuwait
Japan ina maendeleo makubwa tungetegemea hela yake iwe juu kuliko marekan lakini hali sio hivyo

Wanauchumi tunaomba msaada
 
Back
Top Bottom