Siamini Shilingi ya Somali na Gourde ya Haiti ina thamani kuliko shilingi ya Tanzania

Siamini Shilingi ya Somali na Gourde ya Haiti ina thamani kuliko shilingi ya Tanzania

Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
1 USD = 162 Japanese Yen

Kwa hiyo Haiti nao unataka kuniambia fedha yao ina nguvu kuliko Japan?

Nguvu ya fedha unaipima kwa thamani ya kitu inachokinunua baada ya kuibadili kwenye currency unayoitaka, na siyo pale mnapo badilishana hela
 
Mtoa mada yupo sahihi kwenye uwasilishaji wa mada. Nadhani kakosea kwenye kutenganisha namba. Badala ya kuweka nukta akaweka alama ya mkato. Hayo ni makosa ya kiuandishi
Kama yuko nje ya nchi atakuwa hajakosea, baadhi ya nchi za bara ulaya ndivyo wanaandika hizo tarakimu. Ila na yeye apunguze ujuaji, ilitakiwa aziandike kwa mfumo wetu uliozoeleka.
 
Ebana wanajamvi inakuwaje?

Siamini Shilingi ya Somali Somali shiling na Hela ya Haiti Haiti Gourde ina nguvu na thamani kuliko shilingi yetu ya Tanzania. Bado najiuliza na kushikwa na butwaa.

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD = 579,66 Somali Shillings

Dollar 1 ya kimarekani 1 USD= 132,38 Hatian Gourde

Hata hela ya Burundi ina nguvu na thamani kuliko yetu.

Hivi hii imekaaje? Wataalam wa uchumi msaada please.

Note:

Acheni kuniattack bure.

Huku nilipo hawatumii . Nukta wanatumia ,

Ndo maana nimeweka 579,66 somali Shilling na 132, 38 Hatian Gourde
Hayo hayana maana kwani kuna wakati ilikuwa Lire 2000 za Italy zilikuwa shilling 1 ya Tanzania je unaweza kufananisha uchumi wa Italy na wa Tanzania?
 
1 USD = 162 Japanese Yen

Kwa hiyo Haiti nao unataka kuniambia fedha yao ina nguvu kuliko Japan?

Nguvu ya fedha unaipima kwa thamani ya kitu inachokinunua baada ya kuibadili kwenye currency unayoitaka, na siyo pale mnapo badilishana hela
Hahaaa
 
Wewe ndio mpumbavu, jamaa kaja na kitu kizuri kutupa challenge wewe unaropoka. Shusha nondo acha kupaniki.

Wewe unazifahamu nchi zote? Unaweza kutupa thamani ya fedha ya kila nchi na bei ya mkate kwa kila nchi tuje tuchambue hoja hapa vizuri?

Wajinga kama nyie ndio hamtaki
 
Hapa tatizo ni shule ndogo .Maswala haya ya fedha za nchi siyo ya kuvamia tu.Wakati ule Lira 1 ya Italy iikuwa sawa na karibu Shilingi za kitanzania 1.4......
Kwa ujinga wako wewe kwa kuangalia thamani hiyo ya fedha dhidi ya shillingi yetu utasema maisha yetu na wataliani ni sawa. Rudi shule ndugu yangu ,Vyuo ni vingi siku hizi na hata kama huna akili utafanyiwa mtihani .
 
Back
Top Bottom