- Thread starter
- #21
Turudi shule vipi mkuu? Leo bungeni walikuwa wakijadili kuhusu bei ya sukari katika nchi tulizopakana. YaaniNyie watu bhana em rudini shule muache kulalamika hovyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Turudi shule vipi mkuu? Leo bungeni walikuwa wakijadili kuhusu bei ya sukari katika nchi tulizopakana. YaaniNyie watu bhana em rudini shule muache kulalamika hovyo
Ww hushangai Ukraine amecheza UEROSomalia's agricultural sector is the backbone of the economy, contributing to over 70 percent of total GDP, 80 percent of its employment, and about 50 percent of its exports.
Wanalima muda gani huku wanapigana muda wote ?
Mbona wanaku crash bila data ? Somalia wana export agricultural productsEndeleeni kukata mauno tu na kusifu huku marinda yamelegea.
Mtoa mada yupo sahihi kwenye uwasilishaji wa mada. Nadhani kakosea kwenye kutenganisha namba. Badala ya kuweka nukta akaweka alama ya mkato. Hayo ni makosa ya kiuandishiMtoa mada rudi shule na utuondolee upumbavu wako huu
Edit weka nukta badala ya hiyo mikato uliyowekaTurudi shule vipi mkuu? Leo bungeni walikuwa wakijadili kuhusu bei ya sukari katika nchi tulizopakana. Yaani
Sahihi 🔨Mtoa mada yupo sahihi kwenye uwasilishaji wa mada. Nadhani kakosea kwenye kutenganisha namba. Badala ya kuweka nukta akaweka alama ya mkato. Hayo ni makosa ya kiuandishi
Kwahy huko ulipo na huku muda n sawa? 😂Niko huku Skendinevia ndo maana wenyewe hawatumii nikita wanatumia ,
View attachment 3033824
Sababu ya watu wa Haiti kutotumia alama ya nukta (.) kutenganisha hela ni kwa sababu ya mfumo wao wa sarafu.Ulichoandika na ulichokusudia tofauti. Jifunze tofauti ya , na .
Nafikiri watakuwa wanatumia Bonde la Mto JubaSomalia's agricultural sector is the backbone of the economy, contributing to over 70 percent of total GDP, 80 percent of its employment, and about 50 percent of its exports.
Wanalima muda gani huku wanapigana muda wote ?
safi sana bro kwa kuweka sawa.Sababu ya watu wa Haiti kutotumia alama ya nukta (.) kutenganisha hela ni kwa sababu ya mfumo wao wa sarafu.
Haiti hutumia gourde ya Haiti (HTG) kama sarafu yao rasmi, na gourde imegawanywa katika senti 100.
Kwa mujibu wa kanuni za hesabu za kimataifa, alama ya desimali hutumika kutenganisha sehemu kamili ya nambari kutoka kwa sehemu ya senti.
Hata hivyo, katika mfumo wa sarafu wa Haiti, senti haziitwi "senti" bali huitwa "centimes". Hii inasababisha kuchanganyikiwa iwapo wangeitumia alama ya nukta kutenganisha sehemu kamili ya nambari kutoka kwa senti, kwani alama ya nukta pia hutumika kutenganisha neno "centimes" kutoka kwa nambari kamili.
Ili kuepuka kuchanganyikiwa huku, watu wa Haiti wameamua kutumia alama ya mkato (,) kutenganisha sehemu kamili ya nambari kutoka kwa senti. Hii inasaidia kufafanua kuwa nambari iliyopo kabla ya alama ya mkato ni gourde kamili, na nambari iliyopo baada ya alama ya mkato ni sentime.
Kwa mfano, 100,00 ingemaanisha gourde 100 na senti 0, wakati 10,000,00 ingemaanisha gourde 10,000 na senti 0. Hii ni njia rahisi na yenye uwazi ya kutenganisha hela na senti katika mfumo wa sarafu wa Haiti.
Karibu sana mkuusafi sana bro kwa kuweka sawa.
asante kaka.Karibu sana mkuu
Mtoa mada rudi shule na utuondolee upumbavu wako huu
Mzee wetu Lowassa tusamehe, uliona mbali sana ulipokuja na falsafa ya ELIMU, ELIMU, ELIMU, pumzika pema