Siasa anazozifanya Tundu Lissu ni za kizamani mno, Watanzania wanashangaa na kumpuuza

Siasa anazozifanya Tundu Lissu ni za kizamani mno, Watanzania wanashangaa na kumpuuza

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
FB_IMG_1683864815163.jpg
Watanzania wamesha advance mno kwa siasa kama anazozifanya Tundu lissu, wanashangaa lakini wengi wanamkebei na kuona huyu jamaa anajaribu kutengeneza attention kwa UMMA kizamani kabisa kwa watu wenye maono makubwa mno nadhani kumpita yeye mwenyewe.
 
Tulieni Dawa iwangie Ndugu walamba Asali.

Tundu Lissu anataka msibebwe, hataki Asali, anataka mpambane .

Hizo Huwa ni Akili za watu wanaojiamin.
 
View attachment 2618535
Watanzania wamesha advance mno kwa siasa kama anazozifanya Tundu lissu, wanashangaa lakini wengi wanamkebei na kuona huyu jamaa anajaribu kutengeneza attention kwa UMMA kizamani kabisa kwa watu wenye maono makubwa mno nadhani kumpita yeye mwenyewe.

Kwani kafanyeje, embu dadavua nasi tujue cha kueleza hapa.
 
Tulieni Dawa iwangie Ndugu walamba Asali.

Tundu Lissu anataka msibebwe, hataki Asali, anataka mpambane .

Hizo Huwa ni Akili za watu wanaojiamin.

Kwa hiyo yeye tundu hataki asali, na wengine kina kigogo, zito, nk.
 
View attachment 2618535
Watanzania wamesha advance mno kwa siasa kama anazozifanya Tundu lissu, wanashangaa lakini wengi wanamkebei na kuona huyu jamaa anajaribu kutengeneza attention kwa UMMA kizamani kabisa kwa watu wenye maono makubwa mno nadhani kumpita yeye mwenyewe.
Hata Katiba yetu ni ya kizamani na ya kiduanzi mno, mbona hilo hauliongelei?

CCM yenyewe na serikali navyo ni vya kizamani mno.
 
Mimi naona TL hapendi na haamini katika njia za ujanja ujanja na kujikomba. Hii sifa wanayo watu wenye akili nyingi, ndo maana wasomi wengi nchi hii huwakuti kwenye siasa maana wanajua haziko transparent na zinaendeshwa na unafiki na mazongezonge mengi.​
 
Tulieni Dawa iwangie Ndugu walamba Asali.

Tundu Kipungo anataka msibebwe, hataki Asali, anataka mpambane .

Hizo Huwa ni Akili za watu wanaojiamin.
Hakuna lolote, mtanzania huyu mwelewa wa leo mwenye kutafakari kwa kina HAPELEKESHWI KWA SIASA ZA KIZAMANI ZA KUFUATA MKUMBO.
 
View attachment 2618535
Watanzania wamesha advance mno kwa siasa kama anazozifanya Tundu lissu, wanashangaa lakini wengi wanamkebei na kuona huyu jamaa anajaribu kutengeneza attention kwa UMMA kizamani kabisa kwa watu wenye maono makubwa mno nadhani kumpita yeye mwenyewe.
Huna hoja wewe kapuku , Lissu atawanyoosha safari hii , Wauaji wakubwa nyie

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Mimi naona TL hapendi na haamini katika njia za ujanja ujanja na kujikomba. Hii sifa wanayo watu wenye akili nyingi, ndo maana wasomi wengi nchi hii huwakuti kwenye siasa maana wanajua haziko transparent na zinaendeshwa na unafiki na mazongezonge mengi.​
Nature ya watu kama tundu Lissu ni U-lecturer, uongezi, uongeaji Jamii hii haijawahi kuwa watendaji wazuri pale wanapopewa shughuli za umma kwa utekelezaji.
 
Back
Top Bottom