Pre GE2025 Siasa ilimfanya Mchungaji Gwajima kuwa muongo

Pre GE2025 Siasa ilimfanya Mchungaji Gwajima kuwa muongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sisi wakaazi wa Kawe hadi leo hatumuelewi mbunge wetu.

Hatumuelewi kwa maana yeye ni mchungaji yaani ni mtumishi wa Mungu.

Alituahidi
1.Kutununulia boti za uvuvi tukimchagua.

2.Alituahidi kutununulia Grader la kuchongea barabara zetu sisi wenyewe kama jimbo la kawe.

3.Alituahidi kutununulia matipa ya kusombea kifusi kwa ajili ya kutengenezea barabara zetu wana Kawe.

4.Alituahidi kutununulia treni wana Kawe kwa fedha zake za kutoka mfukoni mwake.

Leo hii yote ni hewa tupu na yeye anajiita kuwa ni mtumishi wa Mungu.

Inakuwaje mtumishi wa Mungu unakuwa muongo kiasi hiki ?
Hivi kuna haja ya huyu mtu kuendelea kujiita MCHUNGAJI?View attachment 2861655
Hizo ahadi kazitoa huko kwa waongo wenzake, siyo kanisani.
Kwani wewe hujui wanasiasa ni waongo Hadi leo?
 
Sisi wakaazi wa Kawe hadi leo hatumuelewi mbunge wetu.

Hatumuelewi kwa maana yeye ni mchungaji yaani ni mtumishi wa Mungu.

Alituahidi
1.Kutununulia boti za uvuvi tukimchagua.

2.Alituahidi kutununulia Grader la kuchongea barabara zetu sisi wenyewe kama jimbo la kawe.

3.Alituahidi kutununulia matipa ya kusombea kifusi kwa ajili ya kutengenezea barabara zetu wana Kawe.

4.Alituahidi kutununulia treni wana Kawe kwa fedha zake za kutoka mfukoni mwake.

Leo hii yote ni hewa tupu na yeye anajiita kuwa ni mtumishi wa Mungu.

Inakuwaje mtumishi wa Mungu unakuwa muongo kiasi hiki ?
Hivi kuna haja ya huyu mtu kuendelea kujiita MCHUNGAJI?View attachment 2861655
Kwani ameshamaliza awamu yake ya ubunge mpaka umuite muongo ?.....subiri ubunge ufike kikomo ndio udai utekelezaji wa ahadi zake.
 
Wala usisingizie siasa mkuu. Huyu si ndio

1. Alidanganya kufufua watu?

2. Alidanganya mkono wa baunsa?

Vyote hivyo alivifanya kabla hajaingia kwenye siasa.

Mtu muongo ni muongo tu. Huyu kwanza sio muongo pekee ni mzandiki na snichi
Alisema yeye kuwa Mbunge au waziri ni kujidhalilisha!!
 
Kwani ameshamaliza awamu yake ya ubunge mpaka umuite muongo ?.....subiri ubunge ufike kikomo ndio udai utekelezaji wa ahadi zake.
Wacha kujitoa ufahamu ndugu yangu.
Kashindwa kutimiza ahadi miaka minne itakuwa mwaka mmoja uliobakia?
 
Sisi wakaazi wa Kawe hadi leo hatumuelewi mbunge wetu.

Hatumuelewi kwa maana yeye ni mchungaji yaani ni mtumishi wa Mungu.

Alituahidi
1.Kutununulia boti za uvuvi tukimchagua.

2.Alituahidi kutununulia Grader la kuchongea barabara zetu sisi wenyewe kama jimbo la kawe.

3.Alituahidi kutununulia matipa ya kusombea kifusi kwa ajili ya kutengenezea barabara zetu wana Kawe.

4.Alituahidi kutununulia treni wana Kawe kwa fedha zake za kutoka mfukoni mwake.

Leo hii yote ni hewa tupu na yeye anajiita kuwa ni mtumishi wa Mungu.

Inakuwaje mtumishi wa Mungu unakuwa muongo kiasi hiki ?
Hivi kuna haja ya huyu mtu kuendelea kujiita MCHUNGAJI?View attachment 2861655
Mimi nabaki kwenye title yako, wala sitaki kusoma content, je, wakati anafufua misukule alikuwa mkweli?
 
Alisema yeye kuwa Mbunge au waziri ni kujidhalilisha!!
Sasa leo hii ndiyo anazidi kujidgalilisha kabisa maana ameshindwa kutimiza ahadi alizo zitoa kwa wananchi wa jimbo la kawe
 
Back
Top Bottom