Pre GE2025 Siasa ilimfanya Mchungaji Gwajima kuwa muongo

Pre GE2025 Siasa ilimfanya Mchungaji Gwajima kuwa muongo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ukitafuta Sana makosa ya watu, hata ya YESU utayapata tu. MBONA WAKIFANYA NJE YA WALIYOAHIDI AMUWASIFII
 
Sisi wakaazi wa Kawe hadi leo hatumuelewi mbunge wetu.

Hatumuelewi kwa maana yeye ni mchungaji yaani ni mtumishi wa Mungu.

Alituahidi
1.Kutununulia boti za uvuvi tukimchagua.

2.Alituahidi kutununulia Grader la kuchongea barabara zetu sisi wenyewe kama jimbo la kawe.

3.Alituahidi kutununulia matipa ya kusombea kifusi kwa ajili ya kutengenezea barabara zetu wana Kawe.

4.Alituahidi kutununulia treni wana Kawe kwa fedha zake za kutoka mfukoni mwake.

Leo hii yote ni hewa tupu na yeye anajiita kuwa ni mtumishi wa Mungu.

Inakuwaje mtumishi wa Mungu unakuwa muongo kiasi hiki ?
Hivi kuna haja ya huyu mtu kuendelea kujiita MCHUNGAJI?View attachment 2861655
Watanzania ni wajinga Sana embu fikiria na mwakani atakuja na ngonjera kama hizo na bado watamchagua

CCM ni laana katika taifa hili.
 
Sisi wakaazi wa Kawe hadi leo hatumuelewi mbunge wetu.

Hatumuelewi kwa maana yeye ni mchungaji yaani ni mtumishi wa Mungu.

Alituahidi
1.Kutununulia boti za uvuvi tukimchagua.

2.Alituahidi kutununulia Grader la kuchongea barabara zetu sisi wenyewe kama jimbo la kawe.

3.Alituahidi kutununulia matipa ya kusombea kifusi kwa ajili ya kutengenezea barabara zetu wana Kawe.

4.Alituahidi kutununulia treni wana Kawe kwa fedha zake za kutoka mfukoni mwake.

Leo hii yote ni hewa tupu na yeye anajiita kuwa ni mtumishi wa Mungu.

Inakuwaje mtumishi wa Mungu unakuwa muongo kiasi hiki ?
Hivi kuna haja ya huyu mtu kuendelea kujiita MCHUNGAJI?View attachment 2861655
Jasiri haachi asili

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom