Siasa inalipa!! Angalia unaodaiwa kuwa utajiri wa Baraza la Mawaziri Kenya!

Siasa inalipa!! Angalia unaodaiwa kuwa utajiri wa Baraza la Mawaziri Kenya!

Girland

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2016
Posts
2,489
Reaction score
4,253
Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe uhondo!

Hivi majuzi Rais wa Kenya William Ruto aliteua majina ya mawaziri wateule, hii ni baada ya kuvunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya GEN Z mwezi uliopita.

Katika utaratibu wa kawaida, wateule hufanyiwa usaili, ambapo pamoja na mambo mengine walihojiwa juu ya utajiri wao!

Angalia hapa
1. Dr Andrew Muhuia Ksh 214 Milioni, hii ni zaidi ya bilioni 4.28 za kitanzania
2. Aden Duale Ksh 980 Milioni zaidi ya shilingi Bilioni 19.6 za Kitanzania
3. John Mbadi Ksh 380 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 7.6 Bilioni
5. Davis Chirchir Ksh 509 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 10.14 Bilioni
6. Joho Ksh 2.5 billion, hii ni zaidi ya Bilioni 50 za kitanzania

Ukiangalia baraza hilo la mawaziri mwenye pesa kidogo kuliko wote anaitwa Eric Muga utajiri wa Ksh 31 Million zaidi ya Shilingi za kitanzania Milioni 620.

Hii inakupa picha gani? Je tuanzishe utaratibu huu hapa Tanzania kuhojii mali za viongozi ?

MWANAO MTAFUTIE KADI YA VYAMA VYA SIASA 😀😀KUNA PESA NDEFU!
 
Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe uhondo!

Hivi majuzi Rais wa Kenya William Ruto aliteua majina ya mawaziri wateule, hii ni baada ya kuvunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya GEN Z mwezi uliopita.

Katika utaratibu wa kawaida, wateule hufanyiwa usaili, ambapo pamoja na mambo mengine walihojiwa juu ya utajiri wao!

Angalia hapa
1.Dr Andrew muhuia Ksh 214 Milioni, hii ni zaidi ya bilioni 4.28 za kitanzania
2.Aden Duale Ksh 980 Milioni zaidi ya shilingi Bilioni 19.6 za Kitanzania
3.John Mbadi Ksh 380 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 7.6 Bilioni
5.Davis Chirchir Ksh 509 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 10.14 Bilioni
6.Joho Ksh 2.5 billion, hii ni zaidi ya Bilioni 50 za kitanzania

Ukiangalia baraza hilo la mawaziri mwenye pesa kidogo kuliko wote anaitwa Eric Muga utajiri wa Ksh 31 Million zaidi ya Shilingi za kitanzania Milioni 620.

Hii inakupa picha gani? Je tuanzishe utaratibu huu hapa Tanzania kuhojii mali za viongozi ?

MWANAO MTAFUTIE KADI YA VYAMA VYA SIASA 😀😀KUNA PESA NDEFU!
ni jambo la kawaida sana, na kuhoji mali za viongozi wa uma Tanzania lipo na sio Jambo la hiyari ni kwa mujibu wa Sheria 🐒

iko fomu maalumu kwa watumishi kujaza mali na fedha walizonazo ina hoji hayo na mengine mengi tu🐒
 
Una uhakika gani kuwa wametajirikia kwenye siasa na walikuwa makapuku kabla ya kuingia kwenye siasa?
Tuletee taarifa za mali zao kabla ya kuingia kwenye siasa tujiridhishe.
 
Utaratibu huo ukianzishwa Tanzania kila waziri atasema anamiliki nyumba ndogo kijijini kwao, gari la ubunge labda na vihela kidogo visivyozidi milioni 10.
 
ni jambo la kawaida sana, na kuhoji mali za viongozi wa uma Tanzania lipo na sio Jambo la hiyari ni kwa mujibu wa Sheria 🐒

iko fomu maalumu kwa watumishi kujaza mali na fedha walizonazo ina hoji hayo na mengine mengi tu🐒
Lakini cha ajabu mwananchi unaruhusiwa kuangalia taarifa za huyo kiongozi ila utakayoyaona ibaki kuwa siri yako!
 
ni jambo la kawaida sana, na kuhoji mali za viongozi wa uma Tanzania lipo na sio Jambo la hiyari ni kwa mujibu wa Sheria 🐒

iko fomu maalumu kwa watumishi kujaza mali na fedha walizonazo ina hoji hayo na mengine mengi tu🐒
Mbona hua haziwekwi hadharani?
 
Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe uhondo!

Hivi majuzi Rais wa Kenya William Ruto aliteua majina ya mawaziri wateule, hii ni baada ya kuvunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya GEN Z mwezi uliopita.

Katika utaratibu wa kawaida, wateule hufanyiwa usaili, ambapo pamoja na mambo mengine walihojiwa juu ya utajiri wao!

Angalia hapa
1.Dr Andrew muhuia Ksh 214 Milioni, hii ni zaidi ya bilioni 4.28 za kitanzania
2.Aden Duale Ksh 980 Milioni zaidi ya shilingi Bilioni 19.6 za Kitanzania
3.John Mbadi Ksh 380 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 7.6 Bilioni
5.Davis Chirchir Ksh 509 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 10.14 Bilioni
6.Joho Ksh 2.5 billion, hii ni zaidi ya Bilioni 50 za kitanzania

Ukiangalia baraza hilo la mawaziri mwenye pesa kidogo kuliko wote anaitwa Eric Muga utajiri wa Ksh 31 Million zaidi ya Shilingi za kitanzania Milioni 620.

Hii inakupa picha gani? Je tuanzishe utaratibu huu hapa Tanzania kuhojii mali za viongozi ?

MWANAO MTAFUTIE KADI YA VYAMA VYA SIASA 😀😀KUNA PESA NDEFU!
Kenya ni nchi ya kibepari.

Hata Tanzania tukiwa wawazi utashangaa mwenyewe.
 
Ushawahi kujiuliza wanasiasa mfano mawaziri wana utajiri kiasi gani? Je unajiuliza kwanini matajiri wakubwa duniani wanaingia kwenye siasa? Siyo nchi za kiafrika tu, hata Ulaya?Fuatana nami nikupe uhondo!

Hivi majuzi Rais wa Kenya William Ruto aliteua majina ya mawaziri wateule, hii ni baada ya kuvunja baraza la mawaziri kufuatia maandamano ya GEN Z mwezi uliopita.

Katika utaratibu wa kawaida, wateule hufanyiwa usaili, ambapo pamoja na mambo mengine walihojiwa juu ya utajiri wao!

Angalia hapa
1.Dr Andrew muhuia Ksh 214 Milioni, hii ni zaidi ya bilioni 4.28 za kitanzania
2.Aden Duale Ksh 980 Milioni zaidi ya shilingi Bilioni 19.6 za Kitanzania
3.John Mbadi Ksh 380 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 7.6 Bilioni
5.Davis Chirchir Ksh 509 Milioni zaidi ya Shilingi za kitanzania 10.14 Bilioni
6.Joho Ksh 2.5 billion, hii ni zaidi ya Bilioni 50 za kitanzania

Ukiangalia baraza hilo la mawaziri mwenye pesa kidogo kuliko wote anaitwa Eric Muga utajiri wa Ksh 31 Million zaidi ya Shilingi za kitanzania Milioni 620.

Hii inakupa picha gani? Je tuanzishe utaratibu huu hapa Tanzania kuhojii mali za viongozi ?

MWANAO MTAFUTIE KADI YA VYAMA VYA SIASA 😀😀KUNA PESA NDEFU!
Wabunge wengi wa Kenya wanakuwa tayari ''wanazo'' wanapoingia bungeni. Hili ni tangu zamani. Si mara nyingi sana Kenya ukakuta maskini anaingia bungeni.
 
Wabunge wengi wa Kenya wanakuwa tayari ''wanazo'' wanapoingia bungeni. Hili ni tangu zamani. Si mara nyingi sana Kenya ukakuta maskini anaingia bungeni.
Hata Tanzania wapo wenye nazo, swali ni je huoni Kama kuna haja ya kudeclare Mali zao?
 
Suleman aliziacha hata hao nao wataziachaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Mpaka ufe cha moto utakiona! Kwanini uteseke duniani? Unapoenda utafurahi lakini haimaanishi duniani uishi maisha ya dhiki
 
Utaratibu huo ukianzishwa Tanzania kila waziri atasema anamiliki nyumba ndogo kijijini kwao, gari la ubunge labda na vihela kidogo visivyozidi milioni 10.
Kulidanganya bunge sio jambo linaloweza kukubalika
 
Back
Top Bottom